Ghayo El Yehudi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 901
- 1,866
Mzuka Wana Jamvi ?
Binafsi napongeza juhudi za serikali kuhakikisha nchi isiingia machafukoni kwa ajili ya watu wachache na katika kuzuia mambo hayo ya ajabu.
Fujo sio solution na zina madhara makubwa kuliko Faida , kama unaona serikali inateka watu jiulize mbona wewe haujatekwa wala Bibi yako Kijijini ? Kaa tulia fanya yako usitake kushindana na Dola mtaumia na hasara utapata wewe na watu wako wa karibu.
VIongozi ni product ya Jamii ukiona sehemu Kuna uongozi mbaya basi Jamii ndio imeoza zaidi , wengine kinachowarudisha nyuma hawajapewa madaraka tu ila wakioata fursa na ufisadi na dhuluma tu , kama tunataka kutoboa reforms zianze kufanyika kwenye ngazi ya Familia na Jamii una Kuta mtu kuendesha Familia yake tu ya watu watano inamshinda halafu anataka reform ya ghafla kwa Fujo inchi nzima kweli ?
Wabongo wengi akili zetu zinaweza upuuzi kutwa umbea , udaku , anasa , Simba na Yanga nk halafu kwa aina ya watu hawa ndio unategemea mabadiliko, how is development to be brought brother when...................?
Narudi kwa Keyboard Warrior kama unaona hakuna haki bora tukiwashe acha kulalamika mitandaoni na kujitutumua kama shujaa nyuma ya Keyboard vaa Combat kusanya Familia mukakinukishe au toka wewe kama kweli ni mwamba 🪖, maana kulalamika nyuma ya Keyboard hata mtoto mdogo anaweza , hata Mama lishe anaweza pamoja na Mama wa nyumbani ila mwamba unakuwa hauna maneno mengi ni actions tu , maana siku zote kulalamika hakusaidii kitu.
Binafsi napongeza juhudi za serikali kuhakikisha nchi isiingia machafukoni kwa ajili ya watu wachache na katika kuzuia mambo hayo ya ajabu.
Fujo sio solution na zina madhara makubwa kuliko Faida , kama unaona serikali inateka watu jiulize mbona wewe haujatekwa wala Bibi yako Kijijini ? Kaa tulia fanya yako usitake kushindana na Dola mtaumia na hasara utapata wewe na watu wako wa karibu.
VIongozi ni product ya Jamii ukiona sehemu Kuna uongozi mbaya basi Jamii ndio imeoza zaidi , wengine kinachowarudisha nyuma hawajapewa madaraka tu ila wakioata fursa na ufisadi na dhuluma tu , kama tunataka kutoboa reforms zianze kufanyika kwenye ngazi ya Familia na Jamii una Kuta mtu kuendesha Familia yake tu ya watu watano inamshinda halafu anataka reform ya ghafla kwa Fujo inchi nzima kweli ?
Wabongo wengi akili zetu zinaweza upuuzi kutwa umbea , udaku , anasa , Simba na Yanga nk halafu kwa aina ya watu hawa ndio unategemea mabadiliko, how is development to be brought brother when...................?
Narudi kwa Keyboard Warrior kama unaona hakuna haki bora tukiwashe acha kulalamika mitandaoni na kujitutumua kama shujaa nyuma ya Keyboard vaa Combat kusanya Familia mukakinukishe au toka wewe kama kweli ni mwamba 🪖, maana kulalamika nyuma ya Keyboard hata mtoto mdogo anaweza , hata Mama lishe anaweza pamoja na Mama wa nyumbani ila mwamba unakuwa hauna maneno mengi ni actions tu , maana siku zote kulalamika hakusaidii kitu.