njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,371
- 976
Kwa hali ilivyo napendekeza Mhe. Kigwangala (Mzalendo) aongezewe ulinzi.
Nilikuwa naangalia video ya alichokiongea kuhusu kumsimamisha Mkurugenzi na mikakati ya kuiweka wizara salama, nimehisi vita hii ni kubwa inayohitaji ulinzi imara kwani inashabihiana na vita ya madwa ya kulevya.
Ikibidi apewe hata kwa muda wakati hii fagiafagia inapita...
Viongozi wengine wenye misimamo km hii wapewe ulinzi wa kutosha.
Nilikuwa naangalia video ya alichokiongea kuhusu kumsimamisha Mkurugenzi na mikakati ya kuiweka wizara salama, nimehisi vita hii ni kubwa inayohitaji ulinzi imara kwani inashabihiana na vita ya madwa ya kulevya.
Ikibidi apewe hata kwa muda wakati hii fagiafagia inapita...
Viongozi wengine wenye misimamo km hii wapewe ulinzi wa kutosha.