Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Relief Mirzska

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
13,976
Reaction score
22,409
Waungwana,

Ninae rafiki yangu ambae anajua mimi napenda sana kusafiri as my hobby. Like a week or so, alinipigia simu kuniomba nipendekeze kwake nchi gani atembelee atakapopata likizo yake ifikapo November mwaka huu. Kwa kweli nashindwa kumshauri kutokana na vigezo vyake hivyo nikaona sio mbaya nikaja nikaomba ushauri humu on his behalf.

Budget yake ni USD 2,500 kwa yeye na mke wake na mtoto wao wa mwaka mmoja.

Alikuwa anataka kwenda Egypt lakini hali ya usalama ya Egypt imemfanya ai-cancel hiyo trip, South Africa ameshawahi kwenda so it's not an option, Morroco could be but it's super expensive. Dubai there is nothing to see ukiacha majengo tu, Oman it's not ideal. South east Asia may be but he is not sure.

Moja ya important factor to consider ni distance because mke wake hataki kupanda flight itakayochkua zaidi ya masaa nane.

Turkey and Jordan were very good options kwake ila tatizo huko kutakuwa na baridi ikifika November na wao wana mtoto mdogo.

Wadau hebu nisaidieni na ambae yupo serious kumtengenezea hiyo itinerary anaweza hata kumpa hela ya soda.

Hizi vitu ni real time consuming na vinahitaji uwe na muda haswa. Vinachosha pia.

Karibuni kwa ushauri wandugu
 
Mkuu mbona sehemu zipo nyingi sanaa

Mwambie aende china akadhuru lile daraja la kioo

Au iceland kule kuna hotel za chini ya bahari ata enjoy

Au Atakama Namibia kwenye jangwa la atakama kuna adventures nyingi tu na ni cheap kwa kiasi chake

Au Italy akahudhurie matamasha ya miziki ya asili ya watu wa italy

Au Brazil...., huko ndo kuna alot of adventures

Au mwambie akatembelee hata mbuga ya serengeti
 
Mkuu mbona sehemu zipo nyingi sanaa

Mwambie aende china akadhuru lile daraja la kioo

Au iceland kule kuna hotel za chini ya bahari ata enjoy

Au Atakama Namibia kwenye jangwa la atakama kuna adventures nyingi tu na ni cheap kwa kiasi chake

Au Italy akahudhurie matamasha ya miziki ya asili ya watu wa italy

Au Brazil...., huko ndo kuna alot of adventures

Au mwambie akatembelee hata mbuga ya serengeti
Ahsante sana mkuu, tena sana!

Nilimuangalizia China nkakuta Rwandair wana offer nzuri sana na ingewafaa. In Novmber wanayo route ambayo ingewacost 954 USD for all of them return tickets (very cheap) tatizo hiyo flight ilikuwa ni 36 hours so kwao haiwezekani.

Iceland, Italy haitowezekana kwa sababu ya baridi na mtoto. Brazil is a good option lakini tatizo la long flight hours linajirudia.

I will Google Namibia, but kama unajua chochote about Namibia tell me kidogo
 
Mkuu Kizzy Wizzy

Nimetoka kuangalia Namibia just now tena kwenye website ya serikali ya www.namibiatourism.com.na na I dont think it's a good option.

Wameweka 10 reasons for you to visit Namibia na zote naona ni vurugu tupu.

1. They speak English in Namibia
2. Birds
3. You can go camping
4. The desert is truly beautiful
5. Protection of the environment
6. It is a safe and politically stable country
7. The wildlife
8. The different cultures
9. Hiking
10. Namibia is still relatively unknown

Sasa hizo mkuu naona kama weak points over why they should visit there
 
Hiyo bajeti iwe angalau $5,000 kwenda nchi za watu humjui mtu ni vizuri kuwa na pesa ya kutosha ili usiadhirike.

Waungwana,

Ninae rafiki yangu ambae anajua mimi napenda sana kusafiri as my hobby. Like a week or so, alinipigia simu kuniomba nipendekeze kwake nchi gani atembelee atakapopata likizo yake ifikapo November mwaka huu. Kwa kweli nashindwa kumshauri kutokana na vigezo vyake hivyo nikaona sio mbaya nikaja nikaomba ushauri humu on his behalf.

Budget yake ni USD 2,500 kwa yeye na mke wake na mtoto wao wa mwaka mmoja.

Alikuwa anataka kwenda Egypt lakini hali ya usalama ya Egypt imemfanya ai-cancel hiyo trip, South Africa ameshawahi kwenda so it's not an option, Morroco could be but it's super expensive. Dubai there is nothing to see ukiacha majengo tu, Oman it's not ideal. South east Asia may be but he is not sure.

Moja ya important factor to consider ni distance because mke wake hataki kupanda flight itakayochkua zaidi ya masaa nane.

Turkey and Jordan were very good options kwake ila tatizo huko kutakuwa na baridi ikifika November na wao wana mtoto mdogo.

Wadau hebu nisaidieni na ambae yupo serious kumtengenezea hiyo itinerary anaweza hata kumpa hela ya soda.

Hizi vitu ni real time consuming na vinahitaji uwe na muda haswa. Vinachosha pia.

Karibuni kwa ushauri wandugu
 
mwambi aende santorini ugiriki
Kama nlivyokwambia mzee baba, hii kazi ni ngumu kweli.

Tarehe 6 November Egypt air wanaruka from Dar to Athens na nauli ni USD 612 (return tickets) ila flight yenyewe ni for 32 hours. Unaondoka dar saa kumi na moja alfajiri na unafika ugiriki tarehe 7 November saa sita na nusu mchana
 
Hiyo bajeti iwe angalau $5,000 kwenda nchi za watu humjui mtu ni vizuri kuwa na pesa ya kutosha ili usiadhirike.
The problem that I can see sio budget kivile, tatizo ni masharti. Kwa mfano kama ni mimi mbona ningeelekea to Greece kwa hiyo route itakayochkua 32 hours bila matatizo. Ila jamaa wife wake hawezi long flights. Mimi mwaka Jana nlikwenda Malaysia kwa budget ya kawaida tu na kila kitu kilikwenda sawa mzee
 
Back
Top Bottom