Ushauri: Tabia ya mke wangu kunidharau inaniumiza sana

Ushauri: Tabia ya mke wangu kunidharau inaniumiza sana

Duuh mkuu paka akiwa hayupo jua panya hutawala , na si mara nying kilichombali machoni kikawepo moyoni so huyo kuna mtu yupo karib nae anakuseidia yale majukumu yakuridhisha mwil kiufup piga chin
 
Hapo kwenye umri wa mtoto ndio naona usumbufu kwako....
kisheria mtoto anatakiwa kulelewa na baba kama kafikisha miaka 7 au uthibitisho kuwa mzazi wa kike hawezi kumlea kwa matatizo ya kiafya na pia kama hana kupata cha kutosha kumlea.

naona vita kubwa ya kumgombea mtoto na yeye atakushinda plus unatakiwa kutoa pesa ya malezi ya mtoto na kumpata mama yake....patamu hapo.

kama unaweza ..... mwamishe mtoto mpeleke mbali na dadako na pia hakikisha hawezi kujua mpaka atapofikisha miaka 7 then mjulishe na mchukuwe mwanao kisheria asijeleta fyoko baadae.
pole sana mkuu....hawa viumbe no wounder MUNGU alisema tuishi nao kwa akili alijua ni wapuuzi na akili hawana kabisa.
angalizo. ....KAMA UMEAMUA KUMUACHA MKEO MWACHE NA USITHUBUTU KUMRUDIA... YATAYOKUPATA UTAKOSA WA KUMLILIA.
Msaada mzuri hapa umepata kwa ushauri huu.
 
Hapo kwenye umri wa mtoto ndio naona usumbufu kwako....
kisheria mtoto anatakiwa kulelewa na baba kama kafikisha miaka 7 au uthibitisho kuwa mzazi wa kike hawezi kumlea kwa matatizo ya kiafya na pia kama hana kupata cha kutosha kumlea.

naona vita kubwa ya kumgombea mtoto na yeye atakushinda plus unatakiwa kutoa pesa ya malezi ya mtoto na kumpata mama yake....patamu hapo.

kama unaweza ..... mwamishe mtoto mpeleke mbali na dadako na pia hakikisha hawezi kujua mpaka atapofikisha miaka 7 then mjulishe na mchukuwe mwanao kisheria asijeleta fyoko baadae.
pole sana mkuu....hawa viumbe no wounder MUNGU alisema tuishi nao kwa akili alijua ni wapuuzi na akili hawana kabisa.
angalizo. ....KAMA UMEAMUA KUMUACHA MKEO MWACHE NA USITHUBUTU KUMRUDIA... YATAYOKUPATA UTAKOSA WA KUMLILIA.
Hata mtoto ataki kukaaa na mama yake piaa ndio maaan nimezuia mwanangu kufika kwao pia shule ambayo alikuwa anasoma awali nimemuamisha pia shuleni nimewapa maelezo MTU ambae anatakiwa kumuona mwanangu ni Dada yng na mm na baba yake mdogo
 
Kuna wakati yatupasa kuwasikiliza wote ndipo tuchangie, yawezekana ulikuwa unamfanyia vitimbi akavumilia tu maana hana jinsi alipopata kibarua akashukuru Mungu amejinasua kwenye mateso.
 
Dah unanikumbusha jamaa yangu ila yeye ni Muethiopia tulikuwa tunafanya kazi pamoja muda mrefu nchi za watu, alikuwa anasomesha mchumba wake USA na karibu likizo zoote alikuwa anaenda huko. Dada kagraduate jamaa karudi toka likizo USA tuna muona kabadilika, yupo peke yake muda mwingi, hamuongelei mchumba wake tena kama alivyozoea, anacharaza kinywaji sana, anakuwa mmbishi sana kazini na mgomvi, utendaji wa kazi ukaanza kuwa mbaya sana sana.Ila muda woote hatukuwa tunajua ni kitu gani kimemtokea. Kuna wakati aliugua akapewa likizo ya muda mfupi ya matibabu, aliporudi ikawa mambo yaleyale - Cha kushangaza kuna siku aliamua kuondoka kurudi nchini kwakwe bila ofisi kujua. Ofisi ikaamua kumfuta kazi na vifaa vya kazi akaambiwa aviwasilishe hukohuko nchini kwake kwenye ofisi yetu ya Addis Ababa...... Baadaye taharifa zikaja kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia ya mwenzetu kumbe ni mchumba wake. Inasemekana alipoenda likizo ya mwisho mwanamke wake alimwambia amepata mchumba mwingine hivyo yeye asahau mahusiano yao kabisa.... Jamaa yake mpya wa huyo aliyekuwa mchumba wake naye akasiliba kabisa kwa kumuonya kuwa asijaribu kuingilia mahusiano na demu wake anayedai mpya kwake la sivyo atamchapa risasi. Na jamaa tunamjua ni mwoga sana hivyo aliamua kurudi bila kutunishiana misuli na mwizi wake.......Baadaye Boss wetu wa kazi alisikitika sana alipopata hizi details na kuishia kusema laiti angelijua tatizo lilikuwa ni la mahusiano angempa msaada zaidi wa kisaikolojia badala ya kumfukuza.....Alikuwa jamaa poa sana sana kazini ..Dah mahusiano wakati mwingine huzaa majanga jamaa alipoteza kazi nzuri nadhani na waliokuwa wanamtegemea nyumbani nao waliathirika pia.
Ni afadhari ujikite kwenye shughuri zako za msingi maana ukimwazia sana huyo demu akili inaweza haribika kaka, amekutana na maisha mapya huko...
 
Kaka hakuna kitu nimetokea kanda maaalimu ya kipolisi hawawezi kunifanya lolote

Tatzo shemej wa kisomali hawana msalie mtume wanakuja sasa shemej inabd ukajilipue kambi ya jeshi ukikataa wanakukata vidole
 
Dah unanikumbusha jamaa yangu ila yeye ni Muethiopia tulikuwa tunafanya kazi pamoja muda mrefu nchi za watu, alikuwa anasomesha mchumba wake USA na karibu likizo zoote alikuwa anaenda huko. Dada kagraduate jamaa karudi toka likizo USA tuna muona kabadilika, yupo peke yake muda mwingi, hamuongelei mchumba wake tena kama alivyozoea, anacharaza kinywaji sana, anakuwa mmbishi sana kazini na mgomvi, utendaji wa kazi ukaanza kuwa mbaya sana sana.Ila muda woote hatukuwa tunajua ni kitu gani kimemtokea. Kuna wakati aliugua akapewa likizo ya muda mfupi ya matibabu, aliporudi ikawa mambo yaleyale - Cha kushangaza kuna siku aliamua kuondoka kurudi nchini kwakwe bila ofisi kujua. Ofisi ikaamua kumfuta kazi na vifaa vya kazi akaambiwa aviwasilishe hukohuko nchini kwake kwenye ofisi yetu ya Addis Ababa...... Baadaye taharifa zikaja kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia ya mwenzetu kumbe ni mchumba wake. Inasemekana alipoenda likizo ya mwisho mwanamke wake alimwambia amepata mchumba mwingine hivyo yeye asahau mahusiano yao kabisa.... Jamaa yake mpya wa huyo aliyekuwa mchumba wake naye akasiliba kabisa kwa kumuonya kuwa asijaribu kuingilia mahusiano na demu wake anayedai mpya kwake la sivyo atamchapa risasi. Na jamaa tunamjua ni mwoga sana hivyo aliamua kurudi bila kutunishiana misuli na mwizi wake.......Baadaye Boss wetu wa kazi alisitikika sana alipopata hizi details na kuishia kusema laiti angelijua tatizo lilikuwa ni la mahusiano angempa msaada zaidi wa kisaikolojia badala ya kumfukuza.....Alikuwa jamaa poa sana sana kazini ..Dah mahusiano wakati mwingine huzaa majanga jamaa alipoteza kazi nzuri nadhani na waliokuwa wanamtegemea nyumbani nao waliathirika pia.
Ni afadhari ujikite kwenye shughuri zako za msingi maana ukimwazia sana huyo demu akili inaweza haribika kaka, amekutana na maisha mapya huko...
Wanawake wanaturudisha nyuma sanaa
 
Wanaume huwa hatunaga cha kupoteza zaid ya muda na mara nyingine huwa tunapoteza nguvu ikiwa hapatakua na manufaa, wanaume tumeumbwa kwa maamuz magumu na tunaishi kwayo, ulpoteza nguvu ukapata mtoto ulkua sahih ila unataka kupoteza muda kurudisha penz la moto, kabla hujaungua heb pita hivi mzee na mwanao.
 
Back
Top Bottom