Nimeipenda sanaaa point yako ya pili hiyo. Hakika unafaa kuobwa ushauli.Mkuu wa kazi nina mambo 2 hapo ya kukuambia...
1. Kwa maneno mengine ninafikiri unatafuta mwanamke wa kupunguzia machungu af akijielewa huyo ndo awe mkeo sio? Ipo ile page ya love connect sijui.
2. Unamuumiza sana dadaako achana na hiyo tabia ya kumwambia mambo ya ndoa yako na kama na yeye huwa anakumbia basi shida ilianza kwenye malezi.
Oveeeer!
taratibu weee heee....Mianamke huwa ni mishenzi sana dawa yao ni kuipiga miti tu na kuitupilia mbali hakuna kuoa .....shabash
Akili za ngono kamwe hazijawahi kuongoza vyema familia, endelea kupiga miti mjombaMianamke huwa ni mishenzi sana dawa yao ni kuipiga miti tu na kuitupilia mbali hakuna kuoa .....shabash