Mtoto namuachia ndugu yngMkuu hapo hamna mke, fadhila mfadhili mbuzi ....
I support you uondoke ila sikushaur umuache mtoto.
Ila mkuu amuache mtoto kweli?Upo sahihi kamanda. Kama uliyoandika hapa ni sahihi basi upo sahihi kwa asilimia 800.
Piga chini mhudumie mwanao tafuta mtoto mwingine mzuri utulie.
Ndugu yangu sijui ni mapepo ama nguvu za giza mana ukifikiria huez pata jibu la haraka ..Haya maisha kwel hayana formula m2 umeona umsaidie msaidiane katka maisha mara ghafla anabadlka.... Ungemuacha vilevile nayo ingekua shida maskin pole jipe moyo... Upendo ni gharama unaweza ruka mkojo ukakanyaga kinyesi mfate uko aliko and talk to her ucwe una assume tu ukiwa arusha nenda mzungumze.... Upendo ni gharama sana kumpenda m2 ni gharama kubwa na lazma ukubal yote ila kuna muda ukifka inabd umuache mtu kwa ajil yako mwaya.... Kukaa kmya co suluhisho... Soln ni kuongea nae na ukajua msmamo wake uko wapi katika ndoa...!
Mtoto ana 4year kwa upendo nikajua tutasaidian maisha mtoto aliniachia akiwa na mwaka 1 ckutak kumpeleka MTU nikitaka niteseke mwenyew na mwanangu mwenyew pia hataki kukaaa na MTU zaidi ya baba yakeUza kila kitu bro. Hudumia mtoto,kama keshafikisha 7yrs itakua vizur zaidi coz utakua salama kisheria pia. Yani huyo mwanamke usije kujaribu kumrudia hata atoe machozi ya damu
Mtoto si anabaki kwa dada yake mkuu..au pale nilipomwambia atafute mtoto mwingine mzuri? Nimemaanisha mtoto/mwanamkeIla mkuu amuache mtoto kweli?
hilo limwanamke si ata mfeed maneno mabovu kuhusu baba yake na sidhan kama atakua mama mzuri
Ndio maaan mwanaume anafikilia kuua ukiona MTU ameua ujue kweli ametendwa sanaaaNdugu yangu sijui ni mapepo ama nguvu za giza mana ukifikiria huez pata jibu la haraka ..
Huyo anakuchezea tu hamna kitu hapo ndugu yangu.Nilienda kuongea nae akaomba nimsamehe lkn nilipondoka tu hakuna kilichobadilik
Upo sahihi kamanda. Kama uliyoandika hapa ni sahihi basi upo sahihi kwa asilimia 800.
Piga chini mhudumie mwanao tafuta mtoto mwingine mzuri utulie.
Nashukuru sanaaaa mkuu inaumiza sanaaHuyo anakuchezea tu hamna kitu hapo ndugu yangu.
Mtoto wako ndo faraja yako kwa sasa
hangaika.na mwanao kwa sasa
Bas kama hivo sawa ila uhakikishe kunakua na mawasiliano yako na ya mtoto kupitia ndugu yako huyo ukishaondokaMtoto namuachia ndugu yng
Dah sasa kama.hatak anataka kukaa na wewe tu baba yake, ukiondoka itakuwaje? Embu fikiria tena mkuu unamwachaje mtoto....mi nsingeweza kabisa kumuacha mwanangu aisee, yan mwaka mmoja hilo limwanamke limeondoka amekuachia umeweza kumuangalia hadi ana miaka 4 sasa ...sasa unashindwa nn kuondoka nae ..Mtoto ana 4year kwa upendo nikajua tutasaidian maisha mtoto aliniachia akiwa na mwaka 1 ckutak kumpeleka MTU nikitaka niteseke mwenyew na mwanangu mwenyew pia hataki kukaaa na MTU zaidi ya baba yake