USHAURI: Simuelewi mume wangu

Wewe ni mke wake na si hawara, tengeneza mazingira ya kuzungumza nae kirafiki psychalogical friendily talk. Majibu na suluhisho vyote vipo ndani yenu.
 


1. Hali yake ya uchumi.
2. Kazini kwake kila kitu kiko sawa?
3. Uliwahi kumkosea? Au kuna tabia amekuambia haipendi kwako?
4. Je matumizi yake ya simu ikoje? Kabadilika au kawaida?
5. Anarudi nyumbani muda gani? Je anachelewa? Kuna wakati analala nje kwa kisingizio cha safari?

Haya ni baadhi ya maswali yanayoweza kusaidia kupata angalau mzizi wa tatizo.
 
Ana umri gani? kazi zake ni za kutumia nguvu?
 
Hamna kulogwa hapo....mikeka tu inamchanganya...addiction ya betting ni mbaya zaid ya kufuta sigara..unaweza kuta asilimia 70 ya ubongo kaiamishia kweny betting..hapo kwel kutakuwa na kunyanduana?mfano chukula jana man city alivyofanya mambo ya kalylinda kwa kuwachania wengi...lazma tu nguvu zikate
 
Dawa ni kuchepuka tu hakuna namna
 
Mosi, hamjui mnachotak na namna kupata
Pili , Usitake yote kwa pamoja
Tatu, mke hatakiw kulala uchi , hakikish anapat chakula kwa wakat na mapumzko ya kutosha
 
 
 
Kupitia nyuzi zako, inaonesha umejifungua jun tena kwa operation.. obviously hujarecover vizuri lakin unawaza ngono tu
 
Mnapokuwa kwenye tendo inamchukua muda gani kupata bao? isijekuwa inamchukua muda mrefu sana.Kama anachukua muda mrefu jua tatizo liko kwako.
 
Yaap ...unaenda kusoma ule uzi wa soko la hisa Dar es salaam (DSE) lilivoshuka, unakuta wachangiaji ni watatu

Hii ndio TZ
Kila sehemu kuna washabiki wake uwalaumu wa hukohuko, yaani wewe uende taifa ukute uwanja umejaa lkn uende jimkana ukute mashabiki kiduchu halafu uanze kuwalaumu walioenda taifa.
 
Amina, kila nikijaribu kuongea nae anaishia kunambia tatizo anachoka sana hili ndo jibu lake kila nikimuuliza hana jibu lingine
Hata achoke vp mbususu haijawahi kosa soko, ile ni sawa na mtu anayefanya kazi ngumu na za kuhitaji nguvu bila kustua na kvant usiku hawezi kupata usingizi na kesho yake kazi haziendi.
 
Huyo dawa yake ndogo.
Mtegeshee Viagra kwenye chakula.
Kuna royal honey,black cobra,G7 chocolate na kadhalika.
Kila siku unamchanganyia alafu tulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…