Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Bro me nadhani mtafute mwanasaikolojia anaweza kukusaidia
Nimesoma comment zako zinaonyesha unamaanisha kila neno unaloliandika
Mtafute akusaidie naamini mambo yatakua sawa


Sent using Jamii Forums mobile app
bro hadi leo miaka mi tano imepitaliano sijaichukua video ya ndoa yetu..coz I hate that day
 
Daa kumbe hujaolewa. Naomba unikaribishe pm tuyajenge mana MIE kazi zangu sio za kukaa eneo moja jamani.ivyo hutaboreka ama kupata shida ya kulala na mwanaume kila siku.

Naomba unikaribishe!!!

Na tatizo la msiokaa nyumbani mnaongoza kwa mechi za ugenini
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu.nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...aisee napata tabu sana.sasa hapa napata tabu sana.wadau.sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kokristo

IMG_1617.JPG
 
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sana!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwangu nikupe faraja kipenz Cha moyo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazingira gani jamani, mimi mwenyewe ni muanga mke wangu unaweza ukakaa hata mwezi usipo force kula mzigo ndio imetoka sometimes nakumbuka michepuko yangu nikitaka mzigo kwa michepuko napewa tena show ya kibabe

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kubadilisha mazingira, msafiri hata mahala for a week... Italeta hamsha hamsha
Otherwise she aliolewa nawe for a reason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we acha hizi ndoa hizi sometimes kuzikimbilia sio poa kabisa. Kuna wakati nakumbuka sana maisha yangu ya ubachela lkn ndo siwezi kuyarudi. Kuna wakati mke anakua mkali hadi unamuogopa [emoji22]
mimi nina 5 years in marriage.,,,am 31 years old,,,I hate the dayear I tied the knot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio unafanya wanaume wengine wema akina sis tunaonekana mafara. Pumbav. Eti ulioa basi tu?

Are you outof your mind man? Ulikuwa umefungamacho wakati unaoa?
Aisee wenzako tunatafuta mke wa kuoa ww unasema umechoka. Come on
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu.nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...aisee napata tabu sana.sasa hapa napata tabu sana.wadau.sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kokristo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni moja kati ya threads za mleta mada.

Mimi namshauri akasome alichokiandika humo!


- KANA -
Hahaahhaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We acha tu unawaza ngoja nimpumnzishe miezi 2 ukidhani atakuwa na ham, siku ukimgusa mwenziokatulia tuliiiiii kama sex dol. Unajipandia unashusha kamoja dk. 5 unalala, na mgegedo kwamume mwenye afya huwa 3 round

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we acha hizi ndoa hizi sometimes kuzikimbilia sio poa kabisa. Kuna wakati nakumbuka sana maisha yangu ya ubachela lkn ndo siwezi kuyarudi. Kuna wakati mke anakua mkali hadi unamuogopa [emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio unafanya wanaume wengine wema akina sis tunaonekana mafara. Pumbav. Eti ulioa basi tu?

Are you outof your mind man? Ulikuwa umefungamacho wakati unaoa?
Aisee wenzako tunatafuta mke wa kuoa ww unasema umechoka. Come on

Sent using Jamii Forums mobile app
I expected thought like this
there is no wrong about what I feel
that's my reality
 
May be labda nijaribu kufanya ivyoo nione kama kuna utofauti but uyu wife wangu tangu tupo kwwnye mausiano ndivyo alivyokuwa any way ngoja nisome upepo
Jaribu kubadilisha mazingira, msafiri hata mahala for a week... Italeta hamsha hamsha
Otherwise she aliolewa nawe for a reason

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro hadi leo miaka mi tano imepitaliano sijaichukua video ya ndoa yetu..coz I hate that day

I kind feel and understand you
Watanzania tuna tabia ya ku fake life sana
Jeff bezos kaachana na mke wake na ndoa yao imekaa kwa miaka 25
Me nadhani inabidi kujiangalia mwenyewe ndani ya moyo wako what you need usiangalie watu watanionaje watanichukuliaje
Jiangalie will you be able to live without her??
How much you love her?
Ikitokea mmeachana can you handle vitu kama kugawana mali na nn??
Who will take care of the kids?
Na maswali kibao ukiweza jijibu yote utaweza kuamua nn cha kufanya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom