Kuna wanaoshangaa kwanini nyumba za NHC zina bei sana kulinganisha na kujenga nyumba yako hii ndiyo sababu
Tuchukulie NHC wamejenga nyumba kwa 1
Tsh 100M. Inabidi waongeze faida yao mfano 10% halafu kodi ni 18% Hivyo nyumba ya tsh 100M inabidi iuzwe tsh 128M. Wakati nyumba ile ile ukijenga wewe kwa kila kitu sawa itakuwa tsh 100M. Kibaya zaidi % ya faida wanaweka zaidi ya 10% bado matakataka mengine unakuta inafika mpaka 40% ya gharama. Hivyo serikali iangalie hili
Tuchukulie NHC wamejenga nyumba kwa 1
Tsh 100M. Inabidi waongeze faida yao mfano 10% halafu kodi ni 18% Hivyo nyumba ya tsh 100M inabidi iuzwe tsh 128M. Wakati nyumba ile ile ukijenga wewe kwa kila kitu sawa itakuwa tsh 100M. Kibaya zaidi % ya faida wanaweka zaidi ya 10% bado matakataka mengine unakuta inafika mpaka 40% ya gharama. Hivyo serikali iangalie hili