technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,844
- Thread starter
- #81
Asantee karibuNatamani ningekuwa na uwezo wa kufanya kitu kwenye ajira yako uliyonayo sasa; iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri! Umenigusa sana
Asantee karibuNatamani ningekuwa na uwezo wa kufanya kitu kwenye ajira yako uliyonayo sasa; iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri! Umenigusa sana
Pole sanaNiliwahi kulambwa viboko 30 na walimu 10 plus kichura na pushapu.
Utakuta nae alipigwa sana tena huenda kapigwa kichwani sana mpaka ubongo umepata hitilafuImrejrshr ili akaendrlee kuua watoto wa watu, huyo mwalimu cha kumsaidie wamtibie ugonjwa wa akili, mtu alie timamu hawezi kumpiga mtoto namna ile
Umeongea jambo kubwa sana, kuna wakati tulikua tunafanya mradi fulani ambao ulihusisha health care workers na spesifically nurses, sasa tulipoenda Kigoma tulizungumza na manesi na ile siku ya mwisho wa seminar tukawaomba manesi waandike jambo lolote ambalo wanajutia kuwafanyia wagonjwa na mpaka sasa linawacost/wanajutia....na tuliwapa karatasi tukawaambia wasiandike majina yao wala vituo vyao vya kazi ili kulinda privancy zaoUtakuta nae alipigwa sana tena huenda kapigwa kichwani sana mpaka ubongo umepata hitilafu
Je unajua ya kuwa wauwaji wengi na wakorofi na majambazi na wenye roho mbaya ni wale ambao wamepigwa sana udogoni bila huruma
Shule anapigwa na akienda nyumbani anapigwa na baba na kaka zake pia
Nina mashaka hata manesi wengi ni wagonjwa wa akili kwa kipigo
Nitafanya utafiti wangu kwa kuwauliza maana kuna mwanasheria mmoja alifanya utafiti kwa wauwaji waliopo jela na kufanikisha kusamehewa kwa baadhi na kupelekwa hospital badala ya jela
Shule sio jeshi wewe. Kuna taratibu zimewekwa jinsi ya kumuadhibu mwanafunzi baada ya kutokea walimu wengi wasiyo na maadili.Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Daa Eeh Mungu tunusuru, najua mliumia sana kwa Habari zao hizoUmeongea jambo kubwa sana, kuna wakati tulikua tunafanya mradi fulani ambao ulihusisha health care workers na spesifically nurses, sasa tulipoenda Kigoma tulizungumza na manesi na ile siku ya mwisho wa seminar tukawaomba manesi waandike jambo lolote ambalo wanajutia kuwafanyia wagonjwa na mpaka sasa linawacost/wanajutia....na tuliwapa karatasi tukawaambia wasiandike majina yao wala vituo vyao vya kazi ili kulinda privancy zao
Kiukweli wakati tunasoma zile karatasi tulijikuta kila mtu analia anashindwa kuendelea kusoma, manesi wana roho ngumu sana na wengine wameua kwa makusudi, wamesababisha vilema vya maisha na ulemavu wa kudumu kwa sababu ya hasira, msmbo magumu sana wagonjwa wanapitia kwa sababu ya manesi
Siku nikipata muda nitakuja na uzi nisimulie baadhi ya visa ambavyo vilinifanya nikalia sana
Asante mkuuIfikie wakati watu wakubali tu ukweli; kazi ya ualimu ni ngumu sana. Na kimsingi walimu wanatakiwa waishi kwa tahadhari kubwa.
Nitatenga muda nimsome huyo DaktariDaa Eeh Mungu tunusuru
Mimi niko nje ya nchi na matukio yanayotokea huwa wanayafuatilia kwa kina na undani zaidi mpaka wapate mwisho wake na kulitatua au kusaidia kwa kiasi kikubwa
Kweli kuna watu makatili mpaka unasema hawa sio binadamu
Kwa muda wako hebu msome Dr Harord Shipman
Nilikuwa London mwaka 2000 wakati kesi inaunguruma
Huyu mzee aliuwa wazee wengi sana na alikuwa anawachoma Sindano za sumu huku akifurahia jinsi wanavyokufa
Alimaliza karibu kijiji
Wauguzi wanatisha sana they are capable of doing anything
Hebu jitahidi uandike huo uzi nasi tuchangie
When its right, its right haijalishi wangapi wanakubali. Like wise when its wrong. Hapa umeongea kweli tupu. Sisi wengine tunajua wenyewe tuu fimbo zimetusaidia kiasi gani. Mtoto wa kiafrika bila mjeredi, humuwezi.Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Sasa kama unataka afeli unampeleka shulen kufanya nn?Wewe ndio pimbi kabisa aisee. Yaani unafurahia mtoto kuteswa vile kwani huyo mwanafunzi akifeli wewe mwalimu unapata hasara gani? mbona shule zetu hizi za kishua hakuna adhabu kali na wanafaulu/ hiyo nguvu ya kuchapa na kutoa adhabu waitumie kufundisha wataelewa tu
Ingekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenye
HUO NI USHAURI AU POVU NA AMRIIngekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenyewe
ChaguaHUO NI USHAURI AU POVU NA AMRI
Akaongeze Umri Ili aende gerejjiSasa kama unataka afeli unampeleka shulen kufanya nn?
Ila ufaulu wenu ulikua hafifu. Wanafunzi wengi walikimbia au kuacha shule kisa viboko. Halafu mpaka leo sindo hao wanafunzi wa miaka ya 50 ndio wanatuongozea nchi na wameshika maofisi? Unaona namna tulivo ktk umaskini sasa? Kisa nyie... viboko havifai.Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Bila yule ticha mwanao angkuwa kasharibiwa zamaniMbaya ni vile alivyomkanyaga miguu pia.
Binti yangu aliwahi chapwa fimbo sabini hapo kiluvya.
Niliziba masikio na mdomo kama sijasikia kitu. Nilimlaani yule ticha
Sasa ni lecture assistant huko
Oh... hell noBila yule ticha mwanao angkuwa kasharibiwa zamani
Mshukuru mwalimu kwa kusaidia kumpata huyo assistant lecturer ambaye technically nae ni mwalimy no matter her professional.
inafaa uchunguzweIngekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenyewe