JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Hapana.
Serikali iboreshe mifumo ya e-payment nchini halafu ingepitisha sheria malipo ya biashara yoyote kuanzia 500,000 yawe kwa njia ya electeonic,
kisha TRA waweke mfumo wa reconcilliation za efd report vs finance transaction report vs stock report za mfanyabiashara kila mwezi, kila kanda.
Serikali iboreshe mifumo ya e-payment nchini halafu ingepitisha sheria malipo ya biashara yoyote kuanzia 500,000 yawe kwa njia ya electeonic,
kisha TRA waweke mfumo wa reconcilliation za efd report vs finance transaction report vs stock report za mfanyabiashara kila mwezi, kila kanda.