Ushauri: Serikali kupitia TRA iwakamate wananchi wanaotoka kununua vitu bila risiti

Kama nimetoka kwenye duka la hardware nimebeba mzigo wa mil.2 nimekamatwa nikapigwa faini hata mil.1 huo ujenzi si utakuwa mwakani tena.
 
Duh aisee kwa mwendo huu tutafika kweli. Badala ya kusema labda serikali itazame namna ya kuongeza malipo kwa njia ya mifumo kama bank kupitia debit cards, mobile money na zinginezo ili taarifa zote ziwe electronically, wewe unaongea mashudu gani sijui hapa.
 
Hiyo Mbona imefanyika Sana kariakoo kipindi cha mwanzo cha Jiwe lakini wafanyibiashara nao wakajiongeza ikafia mbali
 
Serikali inatakiwa ipunguze Kiwango cha VAT kwa ujumla ili wananchi tuweze kudai risiti na wafanyabishara wasione tabu kuzitoa hizo risiti.
 
Sheria ya kuwakamata wanunuzi wasio na risiti waliobeba mzigo izingatiwe maafisa wa TRA wawe wanakaa mtaani kufanya operation za watu wanaonunua halafu hawapewi risiti isiangaike na maduka iangaike na wananchi.

Yaani unamkamata unamuweka ndani then anatoa pesa kulingana na mzigo alionunua.

Serikali pia igawe bure machine za EFD kwa wafanyabiashara wote hata wadogo watakuwa wakikatwa kidogo kidogo kwenye kodi inayekusanywa.

Sheria zipo zifutwe lasivyo kodi ya ya trion 2 hatutaipata.

NB: leo nimenunua mafuta sehemu akaniambia mashine imeharibika ya kutoa risiti nikamwambia naomba nitoe mwenyewe akanipa nikatoa risiti ikatoka.

Pia viwepo vipindi kwenye TV vya kuwafundisha wananchi juu ya matumizi ya hizi Machine za kutolea Risiti.

Mwigulu Fanya kazi kwenye kodi hakuna mchezo ili mradi tu msivunje sheria.
Elimu ya kutosha kwanza. Nakubaliana na wewe.

Kuanza kukamata tu hovyo haitasaidia. Wengine watoto, wengine wageni, wengine hawajui kusoma wala kuandika, etc. Sanasana italeta taharuki tu. Mahabusu yenyewe ya kuweka watu ndani zipo wapi?

Hata hizo risiti unazopewa sasa, unaweza kujua kama genuine ama la?

Nakubaliana na wazo lako la kugawa hizo mashine bure kabisa lakini kusiwe na makato. Iwe ni mali ya TRA. Ikiharibika unawarudishia, wanakupa nyingine. Mfanyabiashara asitoe hata senti kupewa hiyo mashine.
... ha ha ha! Eti EFD zinarekodi mauzo tu hazihangaiki na hayo mengine sijui kodi ya pango, kodi za mainspaa, utilities - sijui umeme, maji, mishara, n.k. hayo hayawahusu Mkuu. Unatakiwa gharama zake uwe umeziongeza kwenye bei ya bidhaa au huduma unazouza.
Actually hilo la efd system kuwa na rekodi za mauzo na manunuzi ya mlipakodi ni the best thing likiweza kufanikiwa.

Yaani TRA akija kwangu mfanyabiashara anioneshe mauzo na manunuzi yangu. Ukinunua bidhaa anayetoa risiti ni lazima aweke TIN yako. Kwa sasa hivi utaratibu ni wa hovyo kabisa .....yaani unaenda sheli kununua mafuta (hata kwa bidhaa nyingine), lakini risiti unayopewa haina uhusiano wowote na utambulisho wa gari lako wala wewe uliyelipia. Hii ni area TRA wanaweza Ku address na ikaleta incentive zaidi kwa wafanyabiashara kutumia machine za efd.

Tatizo jingine linahusiana na hili ni la risiti kufutika baada ya muda. Hii sio sawa. TRA walitizame tena. Kwa teknolijia ya sasa hili halipaswi kutokea.
 
Mbongo unambembeleza hivyo ataenda? Mimi niliwahi kuleta uzi humu kuwa tumsaidie mama Samia kwa kuwa Sasa hivi kariakoo suala.la risiti ya EFD ni Kama halipo Tena.

Nikashambuliwa Sana na watu humu, sikujua kuwa watu hawapendi kulipa kodi
Acha serikali iendelee kutubembeleza kulipa kodi ili tuone tutafika wapi. Kwa mbali naona tumeanza kuwaomba IMF watusaidie kugharamia SGR na Nyerere dam construction. Kodi ilipwe kwa hiari, tusilazimishane. Ni udikteta na ukandamizaji wa haki za binadamu kulazimishana kulipa kodi.

Viva JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka kwa kilugha yahani wenye maduka waachwe ubane watumiaji huu ni ufedhuli kama kuna ukwepaji kodi jua mfumo wa kodi sio mzuri jiulize kwanini watu wanakwepa kulipa Kodi? Tuanze apo
Je kodi tunakutana nayo katika maisha ya kila siku?
Ukinijibu maswali ayo nitakwambia kwanini hatulipi baadhi ya kodi maana nchi hii hakuna mtu asiyelipa kodi inategemea ni aina ipi ya kodi unayozungumzia.
Inachekesha kwa kweli. Kumbana mfanyabiaahara ni kumkandamiza ila kumbana mteja si kumkandamiza. Awamu hii tutaona vituko vingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ya kuwakamata wanunuzi wasio na risiti waliobeba mzigo izingatiwe maafisa wa TRA wawe wanakaa mtaani kufanya operation za watu wanaonunua halafu hawapewi risiti isiangaike na maduka iangaike na wananchi.

Yaani unamkamata unamuweka ndani then anatoa pesa kulingana na mzigo alionunua.

Serikali pia igawe bure machine za EFD kwa wafanyabiashara wote hata wadogo watakuwa wakikatwa kidogo kidogo kwenye kodi inayekusanywa.

Sheria zipo zifutwe lasivyo kodi ya ya trion 2 hatutaipata.

NB: leo nimenunua mafuta sehemu akaniambia mashine imeharibika ya kutoa risiti nikamwambia naomba nitoe mwenyewe akanipa nikatoa risiti ikatoka.

Pia viwepo vipindi kwenye TV vya kuwafundisha wananchi juu ya matumizi ya hizi Machine za kutolea Risiti.

Ili risiti mtu akiambiwa hazitoki ahakikishe mwenyewe kama kweli machine ni mbovu.

Pia tenda za utengenezaji wa hizi machine zitangazwe kila wilaya iwepo kampuni inayoshugulikia haraka zikiharibika.

Mwigulu Fanya kazi kwenye kodi hakuna mchezo ili mradi tu msivunje sheria.
Ni ushamba tu wa Mwendazake na haturudi huko. Kuchukua risiti ni HIARI ya mtu world wide.

Nimefanya shopping worldwide iwe SA, Kenya, UK, Italy hata Asia. Pale ninapotaka ku claim VAT Airport ndipo ninafai risiti.

Huyu Mwendazake baada ya kuwa frustrate Big taxpayers akakosa makusanyo. Kwa hiyo akataka akakusanye kwenye ma petrol stations, maduka ya nguo, restaurants na hadi kwa mama Ntilies.

EDF machine na risiti siyo dawa ya kuzuia wakwepa Kodi. Pamoja na hizo EDF machines wafanyabiashara walikuwa wanakwepa tu.

Ushauri kwa TRA weka misingi rafiki ya watu kulipa Kodi including viwango vya chini. Jadilini na wafanyabiashara Ni vitu gani vinawakwaza na namna bora ya kulipa Kodi. Hangaikeni na BIG TAX Payers, waacheni hawa wadogo wakue then muje mukusanye wakishakuwa wame grow
 
Acha serikali iendelee kutubembeleza kulipa kodi ili tuone tutafika wapi. Kwa mbali naona tumeanza kuwaomba IMF watusaidie kugharamia SGR na Nyerere dam construction. Kodi ilipwe kwa hiari, tusilazimishane. Ni udikteta na ukandamizaji wa haki za binadamu kulazimishana kulipa kodi.

Viva JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kutumia SGR na Stiglers project kama msukumo wa kukusanya Kodi.

Kama mradi haukufanyiwa feasibility study sawasawa ambayo inaonyesha utapata wapi fedha za ku-finance ujenzi, tusihamishie mzigo kwa wananchi kuwabambika kodi za kidwanzi.

Mwendazake alianzisha miradi mikubwa kwa pupa bila kupima uwezo wa nchi kugharamia ujenzi.
 
Sheria ya kuwakamata wanunuzi wasio na risiti waliobeba mzigo izingatiwe maafisa wa TRA wawe wanakaa mtaani kufanya operation za watu wanaonunua halafu hawapewi risiti isiangaike na maduka iangaike na wananchi.

Yaani unamkamata unamuweka ndani then anatoa pesa kulingana na mzigo alionunua.

Serikali pia igawe bure machine za EFD kwa wafanyabiashara wote hata wadogo watakuwa wakikatwa kidogo kidogo kwenye kodi inayekusanywa.

Sheria zipo zifutwe lasivyo kodi ya ya trion 2 hatutaipata.

NB: leo nimenunua mafuta sehemu akaniambia mashine imeharibika ya kutoa risiti nikamwambia naomba nitoe mwenyewe akanipa nikatoa risiti ikatoka.

Pia viwepo vipindi kwenye TV vya kuwafundisha wananchi juu ya matumizi ya hizi Machine za kutolea Risiti.

Ili risiti mtu akiambiwa hazitoki ahakikishe mwenyewe kama kweli machine ni mbovu.

Pia tenda za utengenezaji wa hizi machine zitangazwe kila wilaya iwepo kampuni inayoshugulikia haraka zikiharibika.

Mwigulu Fanya kazi kwenye kodi hakuna mchezo ili mradi tu msivunje sheria.
Kwahiyo hai wananchi ndo watakuwa wakiwasilisha mahesabu ya Kodi tra?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
uko sahihi lakini ungekuwa sahihi zaidi kama ungeshauri zaidi elimu itolewe kwa walipa kodi,hizo gharama za vikosi kazi zingeelekezwa kwenye kutoa elimu faida ingekuwa kubwa zaidi
 
Unafikiri kuna nyenzo za kutosha kuwakabili watanzania toka saa kumi alfajiri hadi saa nane usiku?
 
Nchi ina maafisa tehama kibao waliosoma ndani na nje ya nchi, hamuajiri, hamuwapi nafasi kuonesha uwezo mmekalia mbinu za enzi za ujima tu, TRA ndio anayetoa loophole ya watu kukwepa kodi, wakiona yanawashinda wanaanzisha taskforce na sheria kandamizi.
 
Sheria ya kuwakamata wanunuzi wasio na risiti waliobeba mzigo izingatiwe maafisa wa TRA wawe wanakaa mtaani kufanya operation za watu wanaonunua halafu hawapewi risiti isiangaike na maduka iangaike na wananchi.

Yaani unamkamata unamuweka ndani then anatoa pesa kulingana na mzigo alionunua.

Serikali pia igawe bure machine za EFD kwa wafanyabiashara wote hata wadogo watakuwa wakikatwa kidogo kidogo kwenye kodi inayekusanywa.

Sheria zipo zifutwe lasivyo kodi ya ya trion 2 hatutaipata.

NB: leo nimenunua mafuta sehemu akaniambia mashine imeharibika ya kutoa risiti nikamwambia naomba nitoe mwenyewe akanipa nikatoa risiti ikatoka.

Pia viwepo vipindi kwenye TV vya kuwafundisha wananchi juu ya matumizi ya hizi Machine za kutolea Risiti.

Ili risiti mtu akiambiwa hazitoki ahakikishe mwenyewe kama kweli machine ni mbovu.

Pia tenda za utengenezaji wa hizi machine zitangazwe kila wilaya iwepo kampuni inayoshugulikia haraka zikiharibika.

Mwigulu Fanya kazi kwenye kodi hakuna mchezo ili mradi tu msivunje sheria.
Hivi mkuu sheria inasemaje kama nimekopa dukani! je nitapelewa risiti siku nikilipa au napewa kabla ya kulipa?
 
Sheria ya kuwakamata wanunuzi wasio na risiti waliobeba mzigo izingatiwe maafisa wa TRA wawe wanakaa mtaani kufanya operation za watu wanaonunua halafu hawapewi risiti isiangaike na maduka iangaike na wananchi.

Yaani unamkamata unamuweka ndani then anatoa pesa kulingana na mzigo alionunua.

Serikali pia igawe bure machine za EFD kwa wafanyabiashara wote hata wadogo watakuwa wakikatwa kidogo kidogo kwenye kodi inayekusanywa.

Sheria zipo zifutwe lasivyo kodi ya ya trion 2 hatutaipata.

NB: leo nimenunua mafuta sehemu akaniambia mashine imeharibika ya kutoa risiti nikamwambia naomba nitoe mwenyewe akanipa nikatoa risiti ikatoka.

Pia viwepo vipindi kwenye TV vya kuwafundisha wananchi juu ya matumizi ya hizi Machine za kutolea Risiti.

Ili risiti mtu akiambiwa hazitoki ahakikishe mwenyewe kama kweli machine ni mbovu.

Pia tenda za utengenezaji wa hizi machine zitangazwe kila wilaya iwepo kampuni inayoshugulikia haraka zikiharibika.

Mwigulu Fanya kazi kwenye kodi hakuna mchezo ili mradi tu msivunje sheria.
Wamachinga wanatoa risiti?
Wauza-genge nao?
Huo ni wimbo uliochuja tangu juzi!
 
Back
Top Bottom