USHAURI: Rais Magufuli vunja ATCL. Anzisha Tanzania Airways ama Kilimanjaro Airways

Wadau, amani iwe kwenu.

Nimetafakari sana juu ya hili shirika letu la ndege hasa baada ya madudu kibao yaliyoainishwa na CAG. Hakika nashawishika kusema kuwa Shirika hilo halina sababu ya kuwa hai mpaka sasa kwa sababu zifuatazo;
  1. Linakula fedha za walipakodi ilhali production yake ni ziro.
  2. Imejenga taswira mbaya na hivyo hata kama tutakuwa na ndege 100, halitaaminika tena na wadau wa usafiri wa anga.
  3. Jina la ATCL halitoi utambulisho wa moja kwa moja kwa nchi yetu tofauti na wenzetu wanaotumia Kenya Airways ama Rwandan Air
  4. Siku zote kipya kinyemi. Kama tutakuwa na shirika jipya la ndege litakuwa na ufanisi zaidi tofauti na kuweka mvinyo mpya kwenye glas ya zamani.
  5. Mentality ya wafanyakazi wa shirika hilo imejengeka katika kubebwa na kudekezwa hivyo hata kama tutaongeza ndege mwisho wa siku watahujumu tu
  6. Hawajatueleza kwa nini ndege zimepungua kutoka 9 hadi 2 na hivyo kama tukiendelea kuwanunulia ndege, tutaishia kwenda kwenye negative.
  7. Madudu yaliyobainishwa na CAG haiwezekani kulikarabati shirika hilo badala yake tunapaswa kulisambaratisha na hapo Mheshimiwa Rais utakuwa umejiwekea rekodi ya kuharibu kibaya ili kuwa na kizuri
Kwa mantiki hiyo, nakushauri Rais wangu fanya maamuzi sahihi. Hata kama utatumbua majipu yote yaliyoota hapo ATCL, vijipu uchungu vitaendelea kujitokeza na hivyo utajikuta unafanya kazi ya kukamua majipu tu kwa miaka yako 10 bila ya ufanisi wa shirika hilo. Wastaafishe watumishi wote wa ATCL, Anzisha shirika jipya, Tangaza nafasi za Ajira utaona jinsi watu kutoka Kenya Airways, Ethiopian Airways, FastJet, Precission Air na hata Rwandan Air watakavyomiminika kuomba kazi na hapo ndipo tutakapokuwa na shirika bora kabisa la ndege.

Nimalizie kwa kusema kuwa "KULINUNULIA NDEGE MPYA SHIRIKA LA ATCL NI SAWA NA KUPANDISHA GHOROFA KWENYE MSINGI WA NYUMBA ISIYO YA GHOROFA"
Rwandair awajakua sababu ya brand name mkuu ukifwatiliia zipo njianyingi kufikia hapo mojawapo unajua mji wa goma??unakumbuka sebene la m20+ unajua walikuwa wanafanya nn Kyle..+ jiongeze utaelewa kwann wamarekan wanamwaga ndege ovyo Kyle bilakujua AMA kuangalia soko AMA biashara wanayofanya n profitable AMA lah....by the way wanaendeleankufanya kwa loss kubwa tu wakiamini profit aiji leowaala Kesho but rem wanaendeleankuongeza ndege hapo n tatizo

Huku kwetu n tofauti madeniyanawasha kilakonaa just for info usiojua MPAKA Kesho kuna nchi ikikanyaga ndege ikasoma airtanzania AMA Tanzania air ndio mwishowake MPAKA walipe deni la -2000 huamini peleka jinalako Tanzania airways Yemen uone saga lake.....
 
Hakuna haja ya serikali kuwa na shirika la ndege acha watu binafsi waunde yao washindane serikali isismamie fairplay na ikusanye kodi,nchi nyingi hazina huo upuuzi wa kumiliki mashirika ya ndege ni mambo ya cold era
 
Hii ni kweli kabisa, ndege zetu tuziite "Air Tanzania , the home of kilimanjaro, Serengeti and Zanzibar. "Achana na wings of kilimanjaro maana mtalii atajua kilimanjaro ni ka attachment tu kakuvutia abiria, pia tukisema air kilimanjaro bado tutakuwa hatujaitangaza Tanzania. Jina nililopendekeza ndo sahihi zaidi, kwani linaitangaza nchi na vivutio vyake. Mtu chake bwana asikwambie Mtu , twende kazi
 
Hakuna haja ya serikali kuwa na shirika la ndege acha watu binafsi waunde yao washindane serikali isismamie fairplay na ikusanye kodi,nchi nyingi hazina huo upuuzi wa kumiliki mashirika ya ndege ni mambo ya cold era

Nina mashaka na uraia wako, kwa comment yako sidhani kama wewe ni mtanzania, mamluki mko wengi humu, na ww ni mmoja wapo.
 
MPWA SHIKAMOO POPOTE ULIPOOO
BINAFSI NISINGEPENDA KUDEAL NA SWALA LA BRANDING NK...KUNA MAMBO MENGI ATCL WANAITAJI KUFANYA BEFORE KUJAHUKO..NINGEFURAHI UNGENIONYESHA TUNAMALIZAJE MADENI YA ATCL BEFORE LKN FOR TWIGA N OTHER MAKOROKOCHO...UNA MAWAZO MAZURI..LAKINI USICHOKIJUA N MLANGO WA GIZA..KABLA YA KUFIKIRIA KUWAONDOA WAFANYAKAZI

NIONYESHE MWANGA WAPI SERKL ITAPATAHELA KULIPA WANAOONDOKA

KABLAYAKUWAFUKUZA AMA KUWAONDOA SAWA WAZOJEMA NENDA ULIZA WAPIWANAPATA PESA ZA PPF AMBAZO AZIJALIPWA MIAKA KADHAA LAKN ZINAKATWA....

UKITAKA ZAIDI KUJUA NAME AMA HAYOMAJINA AYA MSINGISANA NISAIDIR KUJUA ZILE KESI MAHAKAMANI VS ATCL ZINAISHAJE NA ZILEHUKUMU MNASAIDIAJE KULIPA WANANCHI...

OUT OF THAT JIULIZE KUNA MARUBANI WAKO ZAIDI YA 20 WA BOEING NYUMBAN MDAWOTE SERIKL IMESHINDWA KUWALIPA KIINUA MGONGO NAKUWAPUMZISHA MPAKA WANAPOPATA NDEGE KUBWA MWAKA WA SITA SAIDIA WANAPATA WAPI HELA ZAKUWALIPA...

WAPO MA ENGN ZAIDI YA SABA AMA NANE WANAENDELEA KAZI BADAA YAKUSTAAFU WENGINE WANA MIAKA 65+ WAMERUDISHWA KAZINI SABABU YAKUKOSA PESA ZAKUWALIPA VIINUA MGONGO TOA MSAADA NAO WANAPATAPESA WAPI WAONDOKE...

NEXTY NTAKUPA JINA KAMILI

Mpwa naona unatetea kibarua chako kwa nguvu zote.
 
Aaa lizaboni.Mimi kwangu umekuwa tulizo la ubongo wangu,hasa pale unapo pambana kwa point na watani wa upande ule.Ila leo umechomoka na point bomba sana.mi napenda shirika liitwe "the kilimanjaro air line" mnyama twiga asikose kwenye nembo!!! .UOTE="Lizaboni, post: 16022605, member: 138049"]Wadau, amani iwe kwenu.

Nimetafakari sana juu ya hili shirika letu la ndege hasa baada ya madudu kibao yaliyoainishwa na CAG. Hakika nashawishika kusema kuwa Shirika hilo halina sababu ya kuwa hai mpaka sasa kwa sababu zifuatazo;
  1. Linakula fedha za walipakodi ilhali production yake ni ziro.
  2. Imejenga taswira mbaya na hivyo hata kama tutakuwa na ndege 100, halitaaminika tena na wadau wa usafiri wa anga.
  3. Jina la ATCL halitoi utambulisho wa moja kwa moja kwa nchi yetu tofauti na wenzetu wanaotumia Kenya Airways ama Rwandan Air
  4. Siku zote kipya kinyemi. Kama tutakuwa na shirika jipya la ndege litakuwa na ufanisi zaidi tofauti na kuweka mvinyo mpya kwenye glas ya zamani.
  5. Mentality ya wafanyakazi wa shirika hilo imejengeka katika kubebwa na kudekezwa hivyo hata kama tutaongeza ndege mwisho wa siku watahujumu tu
  6. Hawajatueleza kwa nini ndege zimepungua kutoka 9 hadi 2 na hivyo kama tukiendelea kuwanunulia ndege, tutaishia kwenda kwenye negative.
  7. Madudu yaliyobainishwa na CAG haiwezekani kulikarabati shirika hilo badala yake tunapaswa kulisambaratisha na hapo Mheshimiwa Rais utakuwa umejiwekea rekodi ya kuharibu kibaya ili kuwa na kizuri
Kwa mantiki hiyo, nakushauri Rais wangu fanya maamuzi sahihi. Hata kama utatumbua majipu yote yaliyoota hapo ATCL, vijipu uchungu vitaendelea kujitokeza na hivyo utajikuta unafanya kazi ya kukamua majipu tu kwa miaka yako 10 bila ya ufanisi wa shirika hilo. Wastaafishe watumishi wote wa ATCL, Anzisha shirika jipya, Tangaza nafasi za Ajira utaona jinsi watu kutoka Kenya Airways, Ethiopian Airways, FastJet, Precission Air na hata Rwandan Air watakavyomiminika kuomba kazi na hapo ndipo tutakapokuwa na shirika bora kabisa la ndege.

Nimalizie kwa kusema kuwa "KULINUNULIA NDEGE MPYA SHIRIKA LA ATCL NI SAWA NA KUPANDISHA GHOROFA KWENYE MSINGI WA NYUMBA ISIYO YA GHOROFA"[/QUOTE]
 
Nina mashaka na uraia wako, kwa comment yako sidhani kama wewe ni mtanzania, mamluki mko wengi humu, na ww ni mmoja wapo.

Acha uduwanzi wewe,Nchi nyingi Serikali haina directly control za Mashirika ya ndege,nenda hapo Kenya au Marekani.
 
******** mkubwa wewe na mamluki ni wewe na mama yako

Acha usengerema, hivi kweli wewe ni mtanzania kweli!!mwenye uchungu na nchi yako? Angalia nchi zote ndogo zinazotuzunguka zina mashirika yao ya ndege, na wanayatumia kujitangaza kimataifa, mfano rwandair, air malawi, air mozambique, air zambia, Zimbabwe airline, uganda air, kenya air ways (mpinzani jirani), leo wewe mla viroba unaibuka unasema haina haja ya kuwa na shirika hili la Air Tanzania ila tuwaachie private companies!!!! Kweli??? Then hao private companies ndo wakutangazie biashara yako ya utalii!!!!. You must be crazy!!!! Plz review your thinking capacity.
 
Acha usengerema, hivi kweli wewe ni mtanzania kweli!!mwenye uchungu na nchi yako? Angalia nchi zote ndogo zinazotuzunguka zina mashirika yao ya ndege, na wanayatumia kujitangaza kimataifa, mfano rwandair, air malawi, air mozambique, air zambia, Zimbabwe airline, uganda air, kenya air ways (mpinzani jirani), leo wewe mla viroba unaibuka unasema haina haja ya kuwa na shirika hili la Air Tanzania ila tuwaachie private companies!!!! Kweli??? Then hao private companies ndo wakutangazie biashara yako ya utalii!!!!. You must be crazy!!!! Plz review your thinking capacity.

Hivi umemuelewa jamaa alivyosema au unamshambulia tuu pasipo sababu?embu niambie Shirika la ndege la Kenya nani ni mmiliki wake?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimetafakari sana juu ya hili shirika letu la ndege hasa baada ya madudu kibao yaliyoainishwa na CAG. Hakika nashawishika kusema kuwa Shirika hilo halina sababu ya kuwa hai mpaka sasa kwa sababu zifuatazo;
  1. Linakula fedha za walipakodi ilhali production yake ni ziro.
  2. Imejenga taswira mbaya na hivyo hata kama tutakuwa na ndege 100, halitaaminika tena na wadau wa usafiri wa anga.
  3. Jina la ATCL halitoi utambulisho wa moja kwa moja kwa nchi yetu tofauti na wenzetu wanaotumia Kenya Airways ama Rwandan Air
  4. Siku zote kipya kinyemi. Kama tutakuwa na shirika jipya la ndege litakuwa na ufanisi zaidi tofauti na kuweka mvinyo mpya kwenye glas ya zamani.
  5. Mentality ya wafanyakazi wa shirika hilo imejengeka katika kubebwa na kudekezwa hivyo hata kama tutaongeza ndege mwisho wa siku watahujumu tu
  6. Hawajatueleza kwa nini ndege zimepungua kutoka 9 hadi 2 na hivyo kama tukiendelea kuwanunulia ndege, tutaishia kwenda kwenye negative.
  7. Madudu yaliyobainishwa na CAG haiwezekani kulikarabati shirika hilo badala yake tunapaswa kulisambaratisha na hapo Mheshimiwa Rais utakuwa umejiwekea rekodi ya kuharibu kibaya ili kuwa na kizuri
Kwa mantiki hiyo, nakushauri Rais wangu fanya maamuzi sahihi. Hata kama utatumbua majipu yote yaliyoota hapo ATCL, vijipu uchungu vitaendelea kujitokeza na hivyo utajikuta unafanya kazi ya kukamua majipu tu kwa miaka yako 10 bila ya ufanisi wa shirika hilo. Wastaafishe watumishi wote wa ATCL, Anzisha shirika jipya, Tangaza nafasi za Ajira utaona jinsi watu kutoka Kenya Airways, Ethiopian Airways, FastJet, Precission Air na hata Rwandan Air watakavyomiminika kuomba kazi na hapo ndipo tutakapokuwa na shirika bora kabisa la ndege.

Nimalizie kwa kusema kuwa "KULINUNULIA NDEGE MPYA SHIRIKA LA ATCL NI SAWA NA KUPANDISHA GHOROFA KWENYE MSINGI WA NYUMBA ISIYO YA GHOROFA"

Mkuu Lizaboni, ni wazo zuri.

Lakini tatizo la shirika la ndege si majina bali ni uendeshaji na aina ya kiongozi ambae ataliongoza shirika hilo kwa ufanisi unaotakiwa.

Afisa mtendaji mkuu au CEO na bodi ya wakurugenzi wanatakiwa wawe watu wapya wenye mtazamo wa karne ya 21.

CEO ni lazima awe na background ya uendeshaji biashara au business kwa faida na ufanisi.

Shirika la ndege huwa linakuwa na gharama za aina mbili za uendeshaji yaani manunuzi ya mafuta na mishahara na michango ya NSSF ya wafanyakazi na makato mengine.

Mara nyingi faida ipatikanayo kwenye shirika la ndege si kubwa sana kutokana na matumizi khasa pale bei ya mafuta inapokuwa ikipanda na kushuka na mahitaji ya wafanyakazi.

Kama unaajiri tu wafanyakazi na kujikuta wakiwa weingine hawana kazi basi hapo ndipi matatizo huanza. Na hii ndio sababu ATC mpaka ATCL watu wameajiriwa mpaka michepuko nayo imo.

Mkuu Pdidy amefafanua hapo kwamba hili la wafanyakazi na uendeshaji wa kudhibiti gharama za matumizi ndio jeneza lenyewe lililoandaliwa kuizika ATCL.

Ila uwezo wa kuanza upya kama wenzetu jirani tunao na nia ya kulirudisha shirika hilo kwenye uhai wake pia tunato.

Bila kusahau sababu ya kufanya hivyo ambayo bila shaka yoyote ile, tunayo.
 
Nimependa hii idea, hasa ya kuwa na brand ambayo itaitangaza nchi yetu directly.kwakweli tuna kila sababu ya kuanza upya kwenye hili shirika.

Hongera sana mtoa post,
Mawazo kama haya yasiishie humu, ikiwezekana yaende mpaka kwenye page zao za instagram kwani kwa kupitia mawazo kama haya, tunaweza kuipeleka mbele nchi yetu, hatujachelewa.
 
Acha ndugu mm sijaona point, kwani naona kuna sehemu unajichanganya. Kama unataka Shirika livunjwe je sababu hasa ni ipi? Je kukosa utambulisho kama ilivyo Kenya Airway, Rwandan Airway? Au ni kukosa ufanisi? Na kama ni kukosa ufanisi kubadili jina haitokuwa na maana na wakati Shirika litakuwa bado liko chini ya watu walewale waliocreate tatizo. Taratibu na kanuni za uendeshaji ni zilezile..you guy it's pointless. Na kama kubadili jina ni point je hiyo and Kilimanjaro Airway inakujaje? Je Kilimanjaro nayo ni nchi au. Kama ni utambulisho wa nchi kwa nini tena Kilimanjaro na wakati unaposema Tanzania na Kilimanjaro imo humo. Basi tufanye Tanganyika and Zanzibar Airway ............it's pointless again and again!!!!!

Mkuu karudie kusoma thread yake, maana hujamuelewa, unauliza yaleyale ambayo yeye amesha ya ainisha!
 
Acha usengerema, hivi kweli wewe ni mtanzania kweli!!mwenye uchungu na nchi yako? Angalia nchi zote ndogo zinazotuzunguka zina mashirika yao ya ndege, na wanayatumia kujitangaza kimataifa, mfano rwandair, air malawi, air mozambique, air zambia, Zimbabwe airline, uganda air, kenya air ways (mpinzani jirani), leo wewe mla viroba unaibuka unasema haina haja ya kuwa na shirika hili la Air Tanzania ila tuwaachie private companies!!!! Kweli??? Then hao private companies ndo wakutangazie biashara yako ya utalii!!!!. You must be crazy!!!! Plz review your thinking capacity.
Mawazo ya miaka 50 iliyopita na uko nyuma kweli kweli,kuna umuhimu gani kwa serikali kujiingiza kwenye biashara kama hii wakati watu binafsi wanaweza kufanya kwa ufanisi mkubwa kuliko hata serikali?na kichekesho kingine hayo mashirika mengi ya Africa mengi uliyoyataja hayana hata ndege moja inayoingia Europe,China or US so kama issue ni kutangaza utalii basi ni zero,bora serikali iwekeze kwenye better regulations na viwanja vya ndege mikoani then hizo ndege zitanunuliwa tuu na watu binafsi watanzania wajipende na wana deserve hizo ndege ndani ya nchi sio lazima usafiri nje, na kazi kubwa ya ndege ni kusafirisha watu sio kutangaza utalii,kama unataka kutangaza utalii TV,web,big sports etc ni more effectively kuliko shirika la ndege
 
NASHAURI NDEGE ZOTE ZIANDIKWE KWA UBAVUNI "TANZANIA THE LANDS OF KILIMANJARO / SERENGETI" KWA MAANDISHI MAKUBWA.
 
hata ukianzsha shirika lingine kama uongozi ni huo kazi bure. Ishu hapa ni kuwamwaga wote na kuanza upya. Ona mifano ya mabadiliko ya uongozi
1. CRDB ilishindwa kujiendesha leo ni super banker
2. Twiga cement ilishindwa kujiendesha leo ni super manufacturer
3. TBL islikuwa haiwezi kitu leo ni suple producers
4. TTCL haikubadilisha utawala inasua sua hadi leo
5. Ikulu ya dar es salaam mwaka jana ilisifika kukumbatia mafisadi leo wako mahakamani na Tanzania ni iieile hatujabadilisha jina
6. Upinzani walikuwa wanapatia kwenye serikali mbovu inayofuga ujinga leo wamekimbilia ukuta na Tanzania ni ileile hatujabadilisha jina
WHO IS IN POWER IS WHAT MATTERS NOT THE NAME
 
hata ukianzsha shirika lingine kama uongozi ni huo kazi bure. Ishu hapa ni kuwamwaga wote na kuanza upya. Ona mifano ya mabadiliko ya uongozi
1. CRDB ilishindwa kujiendesha leo ni super banker
2. Twiga cement ilishindwa kujiendesha leo ni super manufacturer
3. TBL islikuwa haiwezi kitu leo ni suple producers
4. TTCL haikubadilisha utawala inasua sua hadi leo
5. Ikulu ya dar es salaam mwaka jana ilisifika kukumbatia mafisadi leo wako mahakamani na Tanzania ni iieile hatujabadilisha jina
6. Upinzani walikuwa wanapatia kwenye serikali mbovu inayofuga ujinga leo wamekimbilia ukuta na Tanzania ni ileile hatujabadilisha jina
WHO IS IN POWER IS WHAT MATTERS NOT THE NAME
***
--HATA RANGI ZA ILO SHIRIKA ZIBADILISHWE KABISAAA...
---SIONI FUTURE YA SHIRIKA HILI...
 
hata ukianzsha shirika lingine kama uongozi ni huo kazi bure. Ishu hapa ni kuwamwaga wote na kuanza upya. Ona mifano ya mabadiliko ya uongozi
1. CRDB ilishindwa kujiendesha leo ni super banker
2. Twiga cement ilishindwa kujiendesha leo ni super manufacturer
3. TBL islikuwa haiwezi kitu leo ni suple producers
4. TTCL haikubadilisha utawala inasua sua hadi leo
5. Ikulu ya dar es salaam mwaka jana ilisifika kukumbatia mafisadi leo wako mahakamani na Tanzania ni iieile hatujabadilisha jina
6. Upinzani walikuwa wanapatia kwenye serikali mbovu inayofuga ujinga leo wamekimbilia ukuta na Tanzania ni ileile hatujabadilisha jina
WHO IS IN POWER IS WHAT MATTERS NOT THE NAME
Hayo mashirika yote yaliyofanikiwa hapo juu sasa ni private,serikali haina haja ya kujiingiza kwenye biashara ya ndege uza kila kitu kitu kuanzia ndege mpaka TANESCO then regulate na kusanya kodi that's it
 
Back
Top Bottom