ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,053
- 49,737
Serikalini ibinafsishe shirika la ndege ATCL Kwa kualika wawekezaji binafsi Ili nao iwe mwana hisa badala ya Sasa ambapo linamikiwa 100% na Serikali.
Kwa kufanya hivyo ndio shirika litaanza kupata faida na litakuwa huru kutoingiliwa Kisiasa na Viongozi wa Serikali.
Hatuwezi kuendelea kuvumilia Kodi zetu kutumika kwenye Mashirika ya kipuuzi kama hayo.
Pia soma > CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22
View: https://www.instagram.com/p/C5DBvObN0mZ/?igsh=MW4wdW4zemFicXZ6cA==
Kwa kufanya hivyo ndio shirika litaanza kupata faida na litakuwa huru kutoingiliwa Kisiasa na Viongozi wa Serikali.
Hatuwezi kuendelea kuvumilia Kodi zetu kutumika kwenye Mashirika ya kipuuzi kama hayo.
Pia soma > CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22
View: https://www.instagram.com/p/C5DBvObN0mZ/?igsh=MW4wdW4zemFicXZ6cA==