2my
JF-Expert Member
- Jan 30, 2010
- 287
- 7
hbr wapendwa!
naombeni mchango wenu wa mawazo juu ya hili!
kuna rafiki yangu aliniomba nimsaidie kimawazo nikaona c vibaya nikapata na mawazo yenu!
ana mdogo wake wa kike kwa sasa yupo kidato cha nne mkoani na yy yupo dsm!jana kapigiwa cm kutoka mkoani kuwa huyo mdogo wake haonekani shule tangu j,5 na alikuwa akisoma bording!kufuatilia ikasemekana kaondoka na mwanafunzi mwenzie wa kiume naye kidato cha nne na hawajulikani walipo!hiyo shule ni ya bording na day na huyo mwanafunzi wa kiume alikuwa day na pia ikasemekana alikuwa akitoroka shule na kwenda kwa huyo mwenzie kulala na kuingia shule km mwanafunzi wa day!mbaya zaidi inasemekana ana mimba yake!ss wote hawajulikani walipo na mitihani inaanza trh 4 octoba!
km ndo ww umeombwa ushauri juu ya hili utashauri nn?
nadhamini sana ushauri wenu!
naombeni mchango wenu wa mawazo juu ya hili!
kuna rafiki yangu aliniomba nimsaidie kimawazo nikaona c vibaya nikapata na mawazo yenu!
ana mdogo wake wa kike kwa sasa yupo kidato cha nne mkoani na yy yupo dsm!jana kapigiwa cm kutoka mkoani kuwa huyo mdogo wake haonekani shule tangu j,5 na alikuwa akisoma bording!kufuatilia ikasemekana kaondoka na mwanafunzi mwenzie wa kiume naye kidato cha nne na hawajulikani walipo!hiyo shule ni ya bording na day na huyo mwanafunzi wa kiume alikuwa day na pia ikasemekana alikuwa akitoroka shule na kwenda kwa huyo mwenzie kulala na kuingia shule km mwanafunzi wa day!mbaya zaidi inasemekana ana mimba yake!ss wote hawajulikani walipo na mitihani inaanza trh 4 octoba!
km ndo ww umeombwa ushauri juu ya hili utashauri nn?
nadhamini sana ushauri wenu!