The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Sipendi jina la "mkoani" hata sie wa huku Mbeya mnatuitaka wa mkoani.
Na wewe mbona unaweza kuwaita hivyo hivyo
Sipendi jina la "mkoani" hata sie wa huku Mbeya mnatuitaka wa mkoani.
:lol::lol::lol:...mbona kote ni mkoani tu?Sipendi jina la "mkoani" hata sie wa huku Mbeya mnatuitaka wa mkoani.
wewe acha tu mate! nikiisoma hii pots na nina mdogo wa kike naye anategemea kufanya mtihani oct, damu inanicheza!mmmmh yani Lady N kwa hali hii hawa watoto watawatoa wazazi wao roho kwa pressure heb imagine its only few dayz zimebaki kumaliza shule!so sad
hapo ni kuweka mbele nidhamu ya shule kwa kuonyesha mfano kwa wengine ili wasije kuiga tabia kama hiyo na hiyo ni kwa mujibu wa sheria za wizara ya elimu tukiacha haya mambo utakuta wanafunzi wote wanaishia kuzaa wakiwa sekndari na njia ya kukomesha ni kuchukua hatua kali mojawapo ikiwa ni kufukuzwa shule na vilevile wakirudi nyumbani wazazi nao wawatimue wakajitegemee si wanajiona wakubwa