salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 651
Sasa na hao watoto je au maslahi yenu wawili ndio yako juu zaidi ya masilahi ya wengine mi naona watu wengine ni kama mcharuko tuuuuuNdio mambo ya kutaka ndoa ili nawe uonekane umeolewa. Ndoa ya aina hiyo ni sawa na kuwa jela au bora kuwa pekee yako kuliko kujisikia mpweke ambapo unamwenzio.
Hii inaonyesha kuwa mmeshachokana huyo kaka wa 42yrs kama ana ndoa yake utaishia kugegedwa tu au kuwekwa kimada iwapo utaamua kuachana na mumeo wa sasa.
Kaeni myazungumze kuliko kupotezeana time, ni bora kujitoa kwenye ndoa hiyo kwa ajili ya kuweka nafsi yako huru na si kwasababu ya kuishia kuwa nyumba ndogo ya mtu mwengine.
Ikiwa huyo jamaa nae ataitosa ndoa yake ili muwe pamoja itakuwa jambo la maana ikiwa hamtoafikiana usikubali kuwa mjinga, huyo alifata kiburudisho.