Ushauri: Sijaonana na mwanangu miaka mingi baada ya kugombana na mamake, naenda kumuona Aprili

kedekede

JF-Expert Member
Aug 21, 2016
5,298
7,646
Wakuu nawasalimu!

Moja Kwa moja naandika.

Nilizaa na dada mwaka 2006 kama sikosei, nikiwa na ndoa, mke wangu alijua yakaisha. Nilitunza mtoto na kulipa huduma ila baadaye tukagombana tukatulia nikawa nimemute. 2009 akajirudi Kwa ajili ya mtoto akiwa na kama 3 yrs nikaendelea kumtunza ila baada ya muda tukagombana nikapigwa block kumuona Mtoto.

Nilikubali block maisha yakaendelea. Sikumuona mtoto hadi Leo. Juzi mama mtoto amenitafuta Kwa kushinikizwa na binti yangu huyo. Amenitafuta kupitia rafiki yangu maana mimi nilibadilisha namba na yake siijui. Binti huyu yupo boarding sijui yupo shule ipi Wala darasa la ngapi. Nimetumiwa picha za mwanangu amekuwa binti mkubwa ambaye simjui Wala kumfahamu.

Hakika najiskia vibaya mno kutomlea binti yangu Hadi yeye amenitafuta. Sikupaswa kumsikiliza yule mwanamke ili niwe na ukaribu na mwanangu. Najiuliza nitaongea Nini na mwanangu Kwa mara ya kwanza tukionana? Kuna mtu ashawahi kukutana na hali hii? Am very emotional sijui what will happen between us? Binti yangu ananifikiriaje?Ana yapi yakunieleza? Nimjibu Nini akiniuliza nilikuwa wapi miaka yote?Nimjibu Nini akiniuliza Kwa Nini niliachana na mamaake? Nimjibu Nini ndugu zangu? Av missed birthday zake nyingi, nimemiss so many things between us sijui naanzia wapi. Sijui ameambiwa Mangapi ya uongo na mamaake.

Note /sikumbuki mwaka exactly aliozaliwa sijui ni 2006 au 2007, sijui tarehe yake ya kuzaliwa. Nimeongea na mamaake amekataa kudisclose any more information Hadi April nikienda kuonana naye. Nimechanganyikiwa sijui naanzia wapi nipeni ushauri utakaonifaa. Kwa sasa sihitaji lawama.

Asanteni.
 

Attachments

  • JamiiForums1325020449.jpeg
    JamiiForums1325020449.jpeg
    43.6 KB · Views: 13
Fanya kama umeonana na mtu unayeonana naye mara kwa mara. Zuia kabisa hisia Bro. Mchukulie sawa na wanao wengine.

Usimuulize maswali sana wala usiruhusu maswali kutoka kwake sababu utakosa majibu atakuona faza boya, piga naye stori tu, tabasamu sana hakikisha anacheka muda wote.

Mtoto wa kike ni rahisi sana kuendana naye. Ukienda muona beba zawadi ya choculate, hata akionekana kutokuipenda muwekee utani hapo acheke ila angalia sana maongezi yako yatakayomuhusisha mama yake.

Msifie amekuwa mkubwa na mrembo, jilinganishe naye urefu au rangi ya ngozi au hata nywele, naamini umepata picha kiasi, naamini unaweza kabisa. Ni kama vile unamvuta avutiwe na wewe kitu ambacho ni rahisi sana hasa kwa mtoto wa kike.

Piga naye picha ya ghafla, then muulize utamtumia kwa namba ipi ya whatsApp, itakysaidia kufahamu maisha yake kwa ujumla na yeye ataona baba yake anahitaji muda na yeye pia.

NB: Usijilaumu au kumlaumu mtu, utamfanya ajihisi vibaya, pengine akakuchukia pia coz hujui kalelewaje na kaambiwa nini na anamuamini nani.
 
Fanya kama umeonana na mtu unayeonana naye mara kwa mara. Zuia kabisa hisia Bro. Mchukulie sawa na wanao wengine.

Usimuulize maswali sana wala usiruhusu maswali kutoka kwake sababu utakosa majibu atakuona faza boya, piga naye stori tu, tabasamu sana hakikisha anacheka muda wote.

Mtoto wa kike ni rahisi sana kuendana naye. Ukienda muona beba zawadi ya choculate, ata akionekana kutokuipenda muwekee utani hapo acheke ila angalia sana maongezi yako yatakayomuhusisha mama yake.

Msifie amekuwa mkubwa na mrembo, jilinganishe naye urefu au rangi ya ngozi au hata nywele, naamini umepata picha kiasi, naamini unaweza kabisa. Ni kama vile unamvuta avutiwe na wewe kitu ambacho ni rahisi sana hasa kwa mtoto wa kike.

Piga naye picha ya ghafla, then muulize utamtumia kwa namba ipi ya whatsApp, itakysaidia kufahamu maisha yake kwa ujumla na yeye ataona baba yake anahitaji muda na yeye pia.

NB: Usijilaumu au kumlaumu mtu, utamfanya ajihisi vibaya, pengine akakuchukia pia coz hujui kalelewaje na kaambiwa nini na anamuamini nani.
Akulipe kwa ushauri huu maana alikuwa anaenda kuaibika.
 
Fanya kama umeonana na mtu unayeonana naye mara kwa mara. Zuia kabisa hisia Bro. Mchukulie sawa na wanao wengine.

Usimuulize maswali sana wala usiruhusu maswali kutoka kwake sababu utakosa majibu atakuona faza boya, piga naye stori tu, tabasamu sana hakikisha anacheka muda wote.

Mtoto wa kike ni rahisi sana kuendana naye. Ukienda muona beba zawadi ya choculate, hata akionekana kutokuipenda muwekee utani hapo acheke ila angalia sana maongezi yako yatakayomuhusisha mama yake.

Msifie amekuwa mkubwa na mrembo, jilinganishe naye urefu au rangi ya ngozi au hata nywele, naamini umepata picha kiasi, naamini unaweza kabisa. Ni kama vile unamvuta avutiwe na wewe kitu ambacho ni rahisi sana hasa kwa mtoto wa kike.

Piga naye picha ya ghafla, then muulize utamtumia kwa namba ipi ya whatsApp, itakysaidia kufahamu maisha yake kwa ujumla na yeye ataona baba yake anahitaji muda na yeye pia.

NB: Usijilaumu au kumlaumu mtu, utamfanya ajihisi vibaya, pengine akakuchukia pia coz hujui kalelewaje na kaambiwa nini na anamuamini nani.
Thank you so much mkuu, ushauri mzuri sana huu, nimepokea Kwa mikono yote.
 
Nilizaa na dada mwaka 2006 kama sikosei, nikiwa na ndoa, mke wangu alijua yakaisha. Nilitunza mtoto na kulipa huduma ila baadaye tukagombana tukatulia nikawa nimemute. 2009 akajirudi Kwa ajili ya mtoto akiwa na kama 3 yrs nikaendelea kumtunza ila baada ya muda tukagombana nikapigwa block kumuona Mtoto.
Kuna uzi humu unawataka mlifanya mapenzi au kuzaa na ndugu zenu mkutane mshauriane
 
Usihofu just relax... Mtoto akikuuliza ulikua wapi sikuzote, usimjibu hapohapo mwambie tu ngoja tutaongea kwa kirefu mwanangu... Make sure unapata dakika chache za kukaa face to face na mtoto wako, halafu mwambie Sababu ya wewe kuwa naye mbali ni migogoro ya wewe na mzaz mwenzako, Mwambie hii migogoro nakuomba mwanangu usijiusishe nayo iache kama ilivyo tumeimaliza na tumemshinda shetan, Ndio maana sasa nimefanikiwa kuonana na wewe mwanngu... Kuhusu kujua tarehe aliyozaliwa tumia ujanja wowote utajua tu ila usimuulize ulizaliwa tarehe gani au mwaka.. unaweza tafuta account za mitandao ya kijamii ya mama yake ipekue utajua mengi kuhusu mwanao maana wanawake wanapenda kupost sana ili siku unaenda kuonana naye unajua ABC za mama na mtoto...

Kama unaweza beba zawad ambayo utampelekea siku unaonana naye mwanao... Usisahau kumwambia mwanao akusamehe kwa kuto onana naye kitambo ila haimaanishi ilikua makusudi... Baada ya hapo hakikisha kila wiki unamtafuta mtoto kumsalimia, au kila mwezi kum surprise kwa zawad na kumpeleka out mbalimbali... BE AWARE mwanao kamezeshwa sumu nyingi sana na mama yake kuhusu wew, atakua kaambiwa maneno mabaya mengi juu yako ili akuchukie... Ikitokea mzaz mwenzako amekufanyia kituko cha kukuudhi au kukudharau mbele ya mtoto tambua anakutega ili ufanye hasira mbele ya mtoto ili uonekane wew ni mbaya, so jifanye kama huoni be humble...

Usisahau kumpa namba ya cm mtoto wako ili akutafute anytime, ikiwezekana mkaririshe namba yako kama hana cm (she's too young hana mambo mengi kichwani) atakariri namba ndani ya dakika sifuri... Siku unaenda kuonana naye tafuta sehem ambayo itakua tulivu nzuri itakayo mvutia mtoto sio wewe wala mama yake kama atakuepo... Unapoongea naye usiache kumshika mkono mara kwa mara (hii inasaidia kuwatoa hofu ninyi nyote na inajenga kujiamini na ukaribu wa hisia za mtoto na mzaz huongezeka)... Niwaachie wachangiaji wengine waongeze yao...
ALL IN ALL usijione mkosaji hayo ni maisha tu...
 
Usihofu just relax... Mtoto akikuuliza ulikua wapi sikuzote, usimjibu hapohapo mwambie tu ngoja tutaongea kwa kirefu mwanangu... Make sure unapata dakika chache za kukaa face to face na mtoto wako, halafu mwambie Sababu ya wewe mbayo itakua tulivu nzuri itakayo mvutia mtoto sio wewe wala mama yake kama atakuepo... Unapoongea naye usiache kumshika mkono mara kwa mara (hii inasaidia kuwatoa hofu ninyi nyote na inajenga kujiamini na ukaribu wa hisia za mtoto na mzaz huongezeka)... Niwaachie wachangiaji wengine waongeze yao...
ALL IN ALL usijione mkosaji hayo ni maisha tu...
Mkuu Asante,Asante sana.
 
Kaa utulie na kwasasa usubirie kajukuu.
Ndo kilichotupata wenzio.
Ongea nae vizuri,bila shida mweleze yaliyotokea baina yako na mama yake kisha subiri linalokuja.
Ila binti yako anaweza kuwa ndio kipenzi cha maisha yako, mtatulie shida ndogo ndogo bila kuhangaishana na Mama yake.
Vinginevyo utakuja kutafta ushauri mwingine siku si nyingi.
 
Pole mimi ninae wa hvyo naz tangu 2017 cjawez sikia saut yake au kumuona

Na nazn had hiyo April inawezekn mkawa mshavomban na huyo mama yake
Wakuu nawasalimu!
Moja Kwa moja naandika.
Nilizaa na dada mwaka 2006 kama sikosei, nikiwa na ndoa, mke wangu alijua yakaisha. Nilitunza mtoto na kulipa huduma ila baadaye tukagombana tukatulia nikawa nimemute. 2009 akajirudi Kwa ajili ya mtoto akiwa na kama 3 yrs nikaendelea kumtunza ila baada ya muda tukagombana nikapigwa block kumuona Mtoto.

Nilikubali block maisha yakaendelea. Sikumuona mtoto hadi Leo. Juzi mama mtoto amenitafuta Kwa kushinikizwa na binti yangu huyo. Amenitafuta kupitia rafiki yangu maana mimi nilibadilisha namba na yake siijui. Binti huyu yupo boarding sijui yupo shule ipi Wala darasa la ngapi. Nimetumiwa picha za mwanangu amekuwa binti mkubwa ambaye simjui Wala kumfahamu.

Hakika najiskia vibaya mno kutomlea binti yangu Hadi yeye amenitafuta. Sikupaswa kumsikiliza yule mwanamke ili niwe na ukaribu na mwanangu. Najiuliza nitaongea Nini na mwanangu Kwa mara ya kwanza tukionana? Kuna mtu ashawahi kukutana na hali hii? Am very emotional sijui what will happen between us? Binti yangu ananifikiriaje?Ana yapi yakunieleza? Nimjibu Nini akiniuliza nilikuwa wapi miaka yote?Nimjibu Nini akiniuliza Kwa Nini niliachana na mamaake? Nimjibu Nini ndugu zangu? Av missed birthday zake nyingi, nimemiss so many things between us sijui naanzia wapi. Sijui ameambiwa Mangapi ya uongo na mamaake.

Note /sikumbuki mwaka exactly aliozaliwa sijui ni 2006 au 2007, sijui tarehe yake ya kuzaliwa. Nimeongea na mamaake amekataa kudisclose any more information Hadi April nikienda kuonana naye. Nimechanganyikiwa sijui naanzia wapi nipeni ushauri utakaonifaa. Kwa sasa sihitaji lawama.

Asanteni.
 
Kaa utulie na kwasasa usubirie kajukuu.
Ndo kilichotupata wenzio.
Ongea nae vizuri,bila shida mweleze yaliyotokea baina yako na mama yake kisha subiri linalokuja.
Ila binti yako anaweza kuwa ndio kipenzi cha maisha yako, mtatulie shida ndogo ndogo bila kuhangaishana na Mama yake.
Vinginevyo utakuja kutafta ushauri mwingine siku si nyingi.
Usiniambie hivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom