penzi letu? lipi hilo?
mie penzi langu lipo somewhere, kwa hubby ni majukumu tu
Unaikumbuka sababu iliyokufanya ukubali kuolewa na huyo hubby wako? Je haiko valid tena?
penzi letu? lipi hilo?
mie penzi langu lipo somewhere, kwa hubby ni majukumu tu
Wala si mke na mme,majembe tu kugongana hata nami nilianza kuwaza hivyo mtu anaweza sema mimi nae ni mke na mme. Lakin ndo dunia yenyewe hiyo na kuzunguka kwake!
Unaikumbuka sababu iliyokufanya ukubali kuolewa na huyo hubby wako? Je haiko valid tena?
hii ipo sana humu ,mana wapnz wengine wote wapo humuhumu ila hamna anayefahamu id ya mwenzake,sasa inapotokea ishu imekugusa au imefanana mnaanza kujibizana bila kujielewa unajibizana na mkeo
lipo pending tu,
mimi na husband kwa sasa tupo busy na ishu nyingine za kimajukumu zaidi.
kwahiyo kwa sasa divorce sio kipaumbele namba moja.
wewe huyu kafman atakuaje mume wangu?
huyu tunajuana sana tu, ila anajitahidi kuchanganya habari ili nisigundue kama ni yeye. Maybe hataki nijui ishu zake na mkewe.
cha ajabu tukikutana hakuna anayeongelea mambo ya JF, wakati so tumeshajuana.
ndo alivyo tu huyu mtu, anaweka eti mambo ya ndoa yake private, sasa nimemgundua hapa hapa JF.
Tunakutana wap ayanda mi na wewe? Unajua unaweza kuwa unanifananisha na mtu mwingind araf unasema ndo mim,sasa twende PM haraf ufunge kutoka kwenye uvung wa moyo wako kwa kunitaja jina lang halis,huwa tunakutana wapi na mambo mengine kama hayo! Unajua tunaweza kuwa tunajadili mambo hapa kwa kuamin ni mtu fulan kumbe siye.
POWA. tutachekiana PM but mimi nipo serious
wewe mwenyewe unajua ila tu unataka kupindisha habari.
YAANI U THINK NATANIA OR? OFKOZ UNAJUA UKWELI BANA
Kafman akikuzingua Mimi nipo Kama reserve, wewe Ni PM tu.
Nimezitafutaje sikuziona...mm ule uzi nikaona nipite kimyakimya kwanza huku nakusanya dataSomeni hii halafu muone
Mimi nimezipata aiseeeNimezitafutaje sikuziona...mm ule uzi nikaona nipite kimyakimya kwanza huku nakusanya data
Uo udhaif uliouona jenga ktk positive way utafk mbal hutajutia kumuachayaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
Una pepo ww omba mungu liondoke, ukiachika tuu na hilo shababi linakuacha. Utakuja hapa hapa kutoa ushuhudayaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo