mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,348
- 2,776
Kipindi linatokea hilo tukio mimi nilikuwa ni mgeni kwenye hiyo mitaa kuna biashara yangu niliihamishia huo mtaa.
Nyumba niliyokodi frem nilikuta yeye akiwa tayari anabiashara hapo,
nilihamia hapo kipindi akiwa na mgogoro na mmewe, kwa maana hiyo mume sikuwahi kukutana nae wala kumfaham, alikuwa kaondoka nyumbani na kumuacha mke na mtoto.
Mke ni mtumishi wa umma mume ni msomi anayemiliki vyeti. Hajabahatika ajira.
Baadae walikuja kusuruhisha.tofauti zao mume akarudi maisha yakaendelea.
Leo nimepata ujumbe wa yule mwanamke akiniomba maongezi anajambo lake anahitaji ushauri.
Sijaweza kukutana naye maana ratiba ilibana, nikamuomba tuongee kwa simu. Akashindwa kuongea akaniomba tuchart.
Anadai mme wake ni dhaifu sana ila yeye ameamua kumvumilia sababu anampenda.
Anasema zamani alikuwa wanaweza kunyanduana kwa week mara 2, ikaenda ikawa kwa week mara 1, ikafika hadi kwa mwezi na sasa wanakaa hadi miezi kadhaa jamaa kazi hakuna.
Mbaya zaidi anadai mwezi ujao wanatakiwa wafunge ndoa na ipo kwenye mchakato michango na mambo mengine.
Anasema amejaribu kushirikisha baadhi ya ndugu wamekuja kuongea na mumewe ila mume anadai ni stress tu zinasumbua.
Closed/ ushauri umetosha
Nyumba niliyokodi frem nilikuta yeye akiwa tayari anabiashara hapo,
nilihamia hapo kipindi akiwa na mgogoro na mmewe, kwa maana hiyo mume sikuwahi kukutana nae wala kumfaham, alikuwa kaondoka nyumbani na kumuacha mke na mtoto.
Mke ni mtumishi wa umma mume ni msomi anayemiliki vyeti. Hajabahatika ajira.
Baadae walikuja kusuruhisha.tofauti zao mume akarudi maisha yakaendelea.
Leo nimepata ujumbe wa yule mwanamke akiniomba maongezi anajambo lake anahitaji ushauri.
Sijaweza kukutana naye maana ratiba ilibana, nikamuomba tuongee kwa simu. Akashindwa kuongea akaniomba tuchart.
Anadai mme wake ni dhaifu sana ila yeye ameamua kumvumilia sababu anampenda.
Anasema zamani alikuwa wanaweza kunyanduana kwa week mara 2, ikaenda ikawa kwa week mara 1, ikafika hadi kwa mwezi na sasa wanakaa hadi miezi kadhaa jamaa kazi hakuna.
Mbaya zaidi anadai mwezi ujao wanatakiwa wafunge ndoa na ipo kwenye mchakato michango na mambo mengine.
Anasema amejaribu kushirikisha baadhi ya ndugu wamekuja kuongea na mumewe ila mume anadai ni stress tu zinasumbua.
Closed/ ushauri umetosha