BIG THANX
Nimeanza kufikiria juu ya watoto
siwezi ishi na dume nisililiheshimu[/QUOTE]
Sasa huu ndio upumbavu ninao sema, kumbe majibu tayari unayo sasa unaomba ushauri gani tena? wewe huwezi kuishi nae kwanini umng'ang'anie?
huu ndio upumbuvu wa wenye akiri nyingi.
kwani hapo si nimeuliza swali? watu wananipa ushauri inform of answers we bwabwa hebu nipishe bana
Hali hii watu wengi sana wanateseka nayo, kufunga ndoa kwa kuifurahisha tu jamii ndo matokeo yake. Mimi naamini ndoa inapaswa ifungwe mioyoni kwanza yaani kuwe na true love kwanza ndipo wawili waende madhabahuni, otherwise ni mateso makubwa! Well, they say if you are in a ditch the best thing you should do is to stop diging! Tafakari sana kabla hujaamua kuivunja maana ikitokea ukaenda kutendwa na mwingine utajuta sana. Since tayari wewe ni used wife, very used actually, chances are you will never get 100% respect and trust from another man! Be careful my dada.
In life we live once only. Ni bora kuwa peke yako kuliko kuwa na mtu anaekufanya ujione upo peke yako. Better be alone and b happy than be with someone and be unhappy all your life. Some of us tumekuwa na mahusiano ambayo baadae yanakuwa ni majuto. Naamini hamkuoana kwa sababu ya upendo especially mumeo na kulazimika kufunga ndoa kwa sababu ya mimba au mtoto. Si shauri kuwa pekee lakini kama unafikiri you,ll be happy then go ahead but im afraid you will never get married again because sisi wanaume ni wachache ambao wapo tayari kuoa mke ambae kashazalishwa mtoto
ah wapi siwezi kua na conflict na mwanaume suruali hata siku moja
ameeen!unataka kumuacha mumeo kwa sababu haumfeel? manake ni wazi cheatings zake hazijakukera.
ama unataka kumuacha kwa sababu unatakwa na huyo ex wako? ambae still anampenda mkewe na kuja kukubamba ni hadi aoteshwe. tafadhali fafanua nielewe kabla sijakushauri mibhange.
Mkuu nafikiri pia una hasira ambazo zilitokana na kupuuzwa/kuwa Neglected na jamaa hatimaye ukajijengea usugu na kutokujali!..I don't think kama mmefika level ya kuachana! What you guys need ni a certain kind of rehab! Kwanza jamaa aelewe majukumu yake like mume kwako,akujal na aonyeshe mapenz ya kweli! Pili wewe mwenyewe usamehe upuuzi wote wa jamaa na kuanza upya life.
Remember watoto wenu ni muhimu sana kuliko tofauti zenu!na mtakapoachana mtawa-athiri na watoto wenu!so pls mkuu fikiria vizur kwanza!
ah wapi siwezi kua na conflict na mwanaume suruali hata siku moja
Wewe una lako jambo
They say dont make decisions when you are mad. From this conversation nimeanza kupata picha what kind of a person you really are. There is no point in abusing someone. Tuliza kichwa think of your life, that of your chidren and your happiness. Then you may come up with a concrete solution. The future is in your hand, na haya ni maisha yako usiyaharibu kwa namna yoyote. I didn mean to flustrate you. Tunatambua wakati mgumu unaopitia