mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 17,119
- 53,152
vyama vya KATAA NDOA na CHAPUTA vitaondolewaš¤£Hii ni Secular State mkuu, tukianza kuleta upuuzi wa dini watakuja mashahidi wa yehova watasema tusitumie pesa kabisa kwa sababu zinatoka kwa shetani
Ndio maana Siasa na dini vinapingana, na ndio maana Serikali yenu ikasema Haina Dini kwakuwa dini ni kweli...Naam ni kama propaganda walizofanya warumi
Haina Dini kwasababu za msingi...Hapana kwa Mujibu Wa katiba Yetu Tanzania haishikamani na Mungu yeyote...secular state..
Kumbuka kuwa Nchini Tanzania kuna Dini zaidi ya Saba hapa ..
Kuna Wayahudi...
Kuna Wakristo..
Kuna Budhist
Kuna Islam
Kuna Hinduism(na wana misikiti yao kibao tu)
Kuna wanaoamini katika Jadi
Kuna wanaoamini Mababu na Mila desturi..
Kuna Atheist (Ambao wao hawaamini katika Mungu wala miungu)
Kuna wanajikita katika Matter
Na kuna wapo wanaoamini kuhusu Nature
Just imagine Wewe kwakuwa ni mkristo mmoja ya kundi hao watanzania useme Watoe hao wanyama kwa kuwa wewe Dini yako hairuhusu vipi kuhusu wanaoamini Nature wakisema Wanataka iwepo Vipi kuhusu Wahindu,Vipi kama wengine nao wakisema Kuhusu Sheria zao na miungu Yao na Hoja zao Zisikilizwe?
Hiyo ndo maana Serikali yetu haina Dini na haifati matakwa ya Dini yoyote ...
Mungu ni mwenye wivu...
Inamaana Serikali inamiungu yake, inayoabudu...
Amri inasema Mimi ni Bwana Mungu wako usiwe na miungu mingine ila mimi...
Mungu ni mwenye wivu...
Mbona muda unakaribia...Hapana kwa Mujibu Wa katiba Yetu Tanzania haishikamani na Mungu yeyote...secular state..
Kumbuka kuwa Nchini Tanzania kuna Dini zaidi ya Saba hapa ..
Kuna Wayahudi...
Kuna Wakristo..
Kuna Budhist
Kuna Islam
Kuna Hinduism(na wana misikiti yao kibao tu)
Kuna wanaoamini katika Jadi
Kuna wanaoamini Mababu na Mila desturi..
Kuna Atheist (Ambao wao hawaamini katika Mungu wala miungu)
Kuna wanajikita katika Matter
Na kuna wapo wanaoamini kuhusu Nature
Just imagine Wewe kwakuwa ni mkristo mmoja ya kundi hao watanzania useme Watoe hao wanyama kwa kuwa wewe Dini yako hairuhusu vipi kuhusu wanaoamini Nature wakisema Wanataka iwepo Vipi kuhusu Wahindu,Vipi kama wengine nao wakisema Kuhusu Sheria zao na miungu Yao na Hoja zao Zisikilizwe?
Hiyo ndo maana Serikali yetu haina Dini na haifati matakwa ya Dini yoyote ...
Wayahudi wa Tanzania hao mkuu, manyumbani mwao unawakuta na vibendera vya Israel wanajiona wayahudiNi nani sasa anaambiwa wewe msandawe au myahudi?
Sasa Tatizo linakuja Dini ipi ni sahihi na ndo maana unaona nchi zote zinazoamini kwenye Dini hazifiki hata 20 Dunia nziam na najua sidhami kama hata zinafika 10Mbona muda unakaribia...
Wala sio mbali...
Atainuka Rais ambaye anatoka kwa Mungu muumba wa nchi na vyote vilivyomo...
R.I.P Magufuli, tunajua tulio kiroho kuwa wapi ulipo...
Lakini zipo...Sasa Tatizo linakuja Dini ipi ni sahihi na ndo maana unaona nchi zote zinazoamini kwenye Dini hazifiki hata 20 Dunia nziam na najua sidhami kama hata zinafika 10
Bad enough karibu zote Islamic State š¤£š¤£Lakini zipo...
Uwepo wa nchi hizo inatosha...
Nashauri pesa za Tanzania zisiwekwe wanyama kwakuwa ni Sanamu.
Kwa Wakristo iko Vatican na Bahati mbaya kwenye pesa zao kuna wanyama na vifaa unavyoita ni miungu visiabudiweNdo maana nimekwambia hata ikiwa moja kwa Mungu inatosha
Too much is harmful, ukizidisha tu utaanza kuona kila jambo halipo sawa.Dini ni kwa ajili ya wajinga. Wenye akili hutukuza dini ili kuwatawala wajinga. Imani ya kweli ni siri wala sio dini. By the way naendaga kanisani sana ila mimi sio mshika dini ...naenda tu kwa kazi maalum
Si Serikali yenu Haina Dini na wengi hapa wamekiri...Mbona husemi majizi yanaapa kwa Biblia na Quran na mwisho yanamalizia " Eh Mungu nisaidie"
Halafu yakitoka yanaenda kukwapua vitita!
Au ile Eh Mungu nisaidie ina maana awasaidie kuiba, kupora ardhi, kuua wakosoaji, kuiba kura uchaguzi unaofuata?
Hebu ona kama hapa unajiuliza hii nchi inaapa kwa kumtaja huyo Mungu pesa zinalipwa bila mkataba na nchi ina watu timamu?View attachment 2819043View attachment 2819043! WTH.
Mtu asiye na dini anatakiwa aape kwa nani?Si Serikali yenu Haina Dini na wengi hapa wamekiri...
Hiyo Biblia wanaitumia kama kuwafurahisha, maana huwezi Kiri huna dini, alafu ukatumia Biblia...
Hujamkiri Mungu, mwenyewe anataka tumkiri kwa kinywa.
Huo ni wizi mtupuuuu!