Ushauri: Nina Tsh. Milioni 11 nataka kujenga

Ushauri: Nina Tsh. Milioni 11 nataka kujenga

Acha kumkatisha tamaa,hiyo hela ukiwa hapa Nanjilinji unajenga vyumba 4 mpka 5
Hakuna mahali nilipomkatisha Tamaa mkuu, hapo Nanjilinji kama ni fremu za duka au room 3 inawezekana lakini siyo nyumba ya kuishi ya vyumba vitatu wewe ndiye unataka kumpotosha kuwa na uhakika na unapomshauri mtu kwa jambo la msingi kama hili
 
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yan vyumba 3,sebule,jiko,dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha,,vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae. Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
Boma utajenga na kuezeka,ila finishing hela hiyo haitoshi
 
Kagera utajenga na kuezeka na Milango utabakiza madirisha na finishing

1.Tofali za kuchoma 10,000 x 50 = 500,000

2.Bati 80 x 24,000 = 1,920,000

3.Mbao 2/4 - 100 pcs x 2500 - 250,000

4.Mbao 2/2 - 50 pcs x 1200 - 60,000

5. Misumari mbao 50kgs 200,000

6. Misumari bati kg 25 150,000

7. Nondo 12mm 15 x 24000 =360'000

8.Binding wire kg 3 x 5000 15000

9.Ring 8mm 45 pcs x 2000 45,000

10. Mawe Trip 5 x 70,000 350,000

11.Koko 2cubic 80,000

12.Cement 20 bags x 18000 = 360,000

13. Mchanga 2 Trips 70,000 = 140,000

14.Mengineyo 750,000

15.Milango na frem 8x200,000 =1,600,000
Nimeukubali sana huu mchanganuo
 
Kagera utajenga na kuezeka na Milango utabakiza madirisha na finishing

1.Tofali za kuchoma 10,000 x 50 = 500,000

2.Bati 80 x 24,000 = 1,920,000

3.Mbao 2/4 - 100 pcs x 2500 - 250,000

4.Mbao 2/2 - 50 pcs x 1200 - 60,000

5. Misumari mbao 50kgs 200,000

6. Misumari bati kg 25 150,000

7. Nondo 12mm 15 x 24000 =360'000

8.Binding wire kg 3 x 5000 15000

9.Ring 8mm 45 pcs x 2000 45,000

10. Mawe Trip 5 x 70,000 350,000

11.Koko 2cubic 80,000

12.Cement 20 bags x 18000 = 360,000

13. Mchanga 2 Trips 70,000 = 140,000

14.Mengineyo 750,000

15.Milango na frem 8x200,000 =1,600,000
Mkuu ubarikiwe hesabu hii imenitoa tongo tongo machoni
 
Wall & roof
IMG_20190506_211719_154.JPG
 
Kaka naomba unisaidie ramani yake kama tafadhali maana kwa kiwanja changu naona itafaa. Asante sana mkuu.
Nimejenga kijumba kidogo cha wastani ila hadi niedit baadhi ya details zangu ndio nikutumie.
 
Utafanya Jambo LA busara mkuu
Asante ila kama upo hapa Dar naweza kukutumia hadi details za vifaa na kila kitu. Kwa ujumla utaweza kujua gharama zote utakazotumia hadi kuezeka. Ila kwa mkoani gharama zinatofautiana kidogo.
 
Asante ila kama upo hapa Dar naweza kukutumia hadi details za vifaa na kila kitu. Kwa ujumla utaweza kujua gharama zote utakazotumia hadi kuezeka. Ila kwa mkoani gharama zinatofautiana kidogo.
Ramani ndo hii hii ????
 
Back
Top Bottom