Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,305
kwenye ujenzi huwezi kukadiria bila kujua mteja/ anayetaka kujenga anataka kutumia vifaa gani vya ujenzi na ubora autakao. Vinginevyo ni kudanganyana. Kama ana ramani na 3D yaani muonekano halisi wa nyumba pendekezwa hapo tunaweza kumpa makadirio sahihi
Wanakuja mkuu. Japo kwa hiyo hela haitomalizika hiyo nyumba.
Haitoshi mkuu maana nyumba ya vyumba vitatu ni kubwa hiyo inatosha gharama za ufundi tu na siyo matirio
inatosha na chenji itabaki.
Kama unakojenga kwenyewe ni huko nyakibimbili utafika mbali