Ushauri: Nina Tsh. Milioni 11 nataka kujenga

Ushauri: Nina Tsh. Milioni 11 nataka kujenga

Nyakibimbili

Senior Member
Joined
May 4, 2019
Posts
185
Reaction score
286
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yaani vyumba 3, sebule, jiko, dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha, vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae.

Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
 
Wanakuja mkuu. Japo kwa hiyo hela haitomalizika hiyo nyumba.
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yan vyumba 3,sebule,jiko,dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha,,vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae. Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
 
Haitoshi mkuu maana nyumba ya vyumba vitatu ni kubwa hiyo inatosha gharama za ufundi tu na siyo matirio
 
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yan vyumba 3,sebule,jiko,dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha,,vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae. Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
Kagera utajenga na kuezeka na Milango utabakiza madirisha na finishing

1.Tofali za kuchoma 10,000 x 50 = 500,000

2.Bati 80 x 24,000 = 1,920,000

3.Mbao 2/4 - 100 pcs x 2500 - 250,000

4.Mbao 2/2 - 50 pcs x 1200 - 60,000

5. Misumari mbao 50kgs 200,000

6. Misumari bati kg 25 150,000

7. Nondo 12mm 15 x 24000 =360'000

8.Binding wire kg 3 x 5000 15000

9.Ring 8mm 45 pcs x 2000 45,000

10. Mawe Trip 5 x 70,000 350,000

11.Koko 2cubic 80,000

12.Cement 20 bags x 18000 = 360,000

13. Mchanga 2 Trips 70,000 = 140,000

14.Mengineyo 750,000

15.Milango na frem 8x200,000 =1,600,000
 
Asante,,lengo langu ni kupandisha boma na kuliezeka

Asant mkuuu,lengo langu ni kupandisha boma na kuliezeka kuweka milango na madirisha grills kwanza mambo ya vioo baadae
Nimejenga nyumba ya vyumba 3 kimoja master,Choo dinning na kitchen na store.

Nimemaliza boma na kupaua tu kwa 14 million huko mwanza. Kwa hiyo Sidhani kama kwa 11 M tu utaweza hadi kuweka milango na grill
 
inatosha kabisa kama tofali ni za kuchoma utatumia udongo kama hupo Kagera
Akitumia Tofali Za Kuchoma Anaweza Kutumia Udongo Kujengea, Ring Beam Akaweka Zege
Taratibu Akifika Sehemu Nzuri Sana Hata Kama Pesa Itakuwa Inakwisha
 
Haitoshi mkuu maana nyumba ya vyumba vitatu ni kubwa hiyo inatosha gharama za ufundi tu na siyo matirio
Acha kumkatisha tamaa,hiyo hela ukiwa hapa Nanjilinji unajenga vyumba 4 mpka 5
 
tembelea hawa
IMG_20181220_132619_276.JPG
 
Gharama za ujenzi zinatofautiana na pahala ulipo, materials kama tofali saruji au udongo, na ramani ya nyumba yenyewe. Umetwambia ramani lakini hujatwambia location na materials ili tupate kukushauri
 
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yan vyumba 3,sebule,jiko,dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha,,vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae. Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
Inatosha ikitegemeana na eneo ulipo, ramani ya nyumba pia.
Tafuta mafundi kadhaa kadhaa waonyeshe ramani yako au uhitaji wako kwa nyumba uitakayo kisha piga nao hesabu kuanzia msingi mpaka paa.....linganisha gharama kwa mafundi tofauti hata watatu
 
Wakuu wataalamu wa ujenzi Nina milion 11 nahitaji kujenga nyumba ya wastani yan vyumba 3,sebule,jiko,dining na choo japo sipendi choo cha ndani ila fashen inataka kunilazimisha,,vyumba vyeye ukubwa wa kawaida kabisa maana ni nyumba yangu ya kwanza kabla sijaangalia utaratibu wa kujenga nyingine hapo baadae. Aidha kiwanja ninacho na tofali zipo pia.

MAENEO YA UJENZI: Kagera
Vipi raman hii itakufaa?
IMG_20190505_225519_678.JPG
 
Back
Top Bottom