Mtoto mtukutu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 348
- 109
Huyo demu au mcharuko?
Habari za usiku huu wakuu,
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilimpenda sana, tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu ninaoandika hapa JF.
Nilikuwa simfuatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu, najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.
Daaah! Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss, kusema kweli nimeumia moyo. Hapa nilipo nina hali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio. Kichwa nacho kinaniuma.
Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida. Nimekuja hapa mnisaidie jinsi ya kuondoa hii hali, kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia. Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja, ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi. Mnisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu, sipo vizuri kabisa now.
NAWASILISHA.
Duu mkuu umenikumbusha mbali sana niliopotemwa na mwanamke nielikuwa namuamini na kumpenda kwa moyo wangu wote.But namshukuru Mungu nimetulia.Pole sana...ila hapo nawe utakuwa umejifunza utamwaminije mwanamke kama mama yako mzazi(ye akikikwambia mimi ndio mama yako huwezi kupinga),najua muda si mrefu utakuwa chapa ilale ndo utapunguza hayo maumivu.
Amekusalitije sasa, mbona sioni usaliti wowote? Umemuoa?Habari za usiku huu wakuu,
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilimpenda sana, tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu ninaoandika hapa JF.
Nilikuwa simfuatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu, najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.
Daaah! Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss, kusema kweli nimeumia moyo. Hapa nilipo nina hali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio. Kichwa nacho kinaniuma.
Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida. Nimekuja hapa mnisaidie jinsi ya kuondoa hii hali, kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia. Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja, ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi. Mnisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu, sipo vizuri kabisa now.
NAWASILISHA.
Unaboa kuquote wkt Ni wa Mwanzo..mwenye Uzi yupo hapahapa why unamquote..mnaofanya ivi mnaudhi...labda Uzi ukiwa mfupi.Badilikeni.Kama ni mtu mwingine amekuja kwako kukueeleza huo mkasa...ungemshahuri vipi???
Kama ni dem kakufanyia hivyo mbona ni jambo la kawaida tu? Ingekuwa ni mkeo je ungefanyaje?Habari za usiku huu wakuu,
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilimpenda sana, tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu ninaoandika hapa JF.
Nilikuwa simfuatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu, najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.
Daaah! Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss, kusema kweli nimeumia moyo. Hapa nilipo nina hali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio. Kichwa nacho kinaniuma.
Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida. Nimekuja hapa mnisaidie jinsi ya kuondoa hii hali, kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia. Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja, ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi. Mnisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu, sipo vizuri kabisa now.
NAWASILISHA.
Umetoka Dodoma nini?Kugegedana ndo nini?
UNYWAJI WA POMBE KUPITA KIASI NI HATARI KWA HESHIMA YAKO....SIKU NYINGINE USILOGIN UKIWA MLEVI, SAWASAWA!!!!!Unaboa kuquote wkt Ni wa Mwanzo..mwenye Uzi yupo hapahapa why unamquote..mnaofanya ivi mnaudhi...labda Uzi ukiwa mfupi.Badilikeni.
Dem hana tofauti na mcharuko.Huyo demu au mcharuko?