Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,470
Bro nakushauri kama una tumiaga kitwanga, hebu nenda ukapate kitwanga moja bariiidi then rudi ulale kesho uamke na supu ya mapupu.
na kama hautumii kitwanga basi waweza kupata muda wa ku relax yourself. kama kuna mtu ambae huwa ukiongea nae unafurahi apart from huyo nyoka unaweza kumpigia simu ukafurah japo kwa dakika.
lengo ni kukaa mbali na huyo bidada kwa sababu mawazo unayowaza kumfanyia huyu dada uliyo nayo leo ni tofauti na ya kesho, and am sure ya kesho yatakuwa ni ya busara zaidi
na kama hautumii kitwanga basi waweza kupata muda wa ku relax yourself. kama kuna mtu ambae huwa ukiongea nae unafurahi apart from huyo nyoka unaweza kumpigia simu ukafurah japo kwa dakika.
lengo ni kukaa mbali na huyo bidada kwa sababu mawazo unayowaza kumfanyia huyu dada uliyo nayo leo ni tofauti na ya kesho, and am sure ya kesho yatakuwa ni ya busara zaidi