Pole...miez minne tu ndio unatoka povu kiasi hicho....inawezekana ww ndio haukufanya upembuzi yakinifu. Inawezekana ww ndio ulikuwa mwizi wa mchumba wa watu... decision is urs...uachane nae au laa...lakn me nakushaur uachane nae. Coz inaonekana alikutaman tu. Miez minne ni michache sana kwa mpenz mpya kuanza kucheat