Ushauri: Nimemkuta mpenzi wangu live ananisaliti

Ushauri: Nimemkuta mpenzi wangu live ananisaliti

Athed Jnr

Senior Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
150
Reaction score
68
Habari za usiku huu wakuu,

Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilimpenda sana, tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu ninaoandika hapa JF.

Nilikuwa simfuatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu, najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.

Daaah! Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss, kusema kweli nimeumia moyo. Hapa nilipo nina hali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio. Kichwa nacho kinaniuma.

Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida. Nimekuja hapa mnisaidie jinsi ya kuondoa hii hali, kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia. Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja, ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi. Mnisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu, sipo vizuri kabisa now.

NAWASILISHA.
 
Habari za usiku huu wakuu.Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo.Nilikua na mpenzi ambaye nilimpenda sana,tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu nianaoandika hapa JF.Nilikua simfatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu,najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.Daaah!!Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss,kusema kweli nimeumia moyo.Hapa nilipo ninahali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio.Kichwa nacho kinaniuma.Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida.Nimekuja hapa munisaidie jinsi ya kuondoa hii hali,kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia.Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja,ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi.
Munisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu,sipo vizuri kabisa now.
NAWASILISHA.
Kama ni mtu mwingine amekuja kwako kukueeleza huo mkasa...ungemshahuri vipi???
 
Habari za usiku huu wakuu.Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya mambo yaliyonitokea leo.Nilikua na mpenzi ambaye nilimpenda sana,tangu tuanze mahusiano tunamiezi minne mpaka muda huu nianaoandika hapa JF.Nilikua simfatilii mienendo yake kwasababu nilikua sitaki kuumiza moyo wangu,najifahamu hali ninayokua nayo kama nikijua mpenzi wangu anamtu mwingine.Daaah!!Sasa leo nimemkuta na mtu mwingine wamekumbatiana huku anamkiss,kusema kweli nimeumia moyo.Hapa nilipo ninahali mbaya maana najikuta mwili unatetemeka kwa hasira kila nikikumbuka tukio.Kichwa nacho kinaniuma.Sijui hata nifanye nini ili nirudi katika hali ya kawaida.Nimekuja hapa munisaidie jinsi ya kuondoa hii hali,kila nikijaribu kuiondoa nashindwa kwasababu kila nikisikia tu sauti yake hali inajirudia.Ieleweke nakaa nae mtaa mmoja,ni nyumba ya tatu kutoka ninapoishi.
Munisamehe kama kuna makosa ya uandishi katika thread yangu,sipo vizuri kabisa now.
NAWASILISHA.

First,Calm yourself down n Relax.
Ni wazi hapo ulikosea kwa kumuamini kwa haraka sana "Trust no body even yo self".

SOLUTION: Usifikiri ku-react kwa namna ambayo itamfanya a-feel proud kwa alichokifanya (act normal kabisa ikiwezekana salimiana nae vizuri kabisa na Mpe hongera kwa maamuzi aliyoyafanya) kwa Sababu Ana expect ww u-react kwa hasira/ujichukulie hatua mkononi dhidi yako/yake ama jamaa yake huyo/Umchunie au uoneshe kusononeshwa ama kuumizwa kwa kitendo alichokifanya. "Don't grant her wish,bro" you deserve someone better than her n even best,pull yo self up n build yo future.

Who made for you will come to you, Have yo dreams intact n fulfill them N u shall surely have yo dream wife as a bonus.
 
yaani kukumbattiana tu unalia hivyo? come on, je ungepata wanagegedana/? labda ni ndugu yake walikua wanakumbatiana afu wakabusiana
 
First,Calm yourself down n Relax.
Ni wazi hapo ulikosea kwa kumuamini kwa haraka sana "Trust no body even yo self".

SOLUTION: Usifikiri ku-react kwa namna ambayo itamfanya a-feel proud kwa alichokifanya (act normal kabisa ikiwezekana salimiana nae vizuri kabisa na Mpe hongera kwa maamuzi aliyoyafanya) kwa Sababu Ana expect ww u-react kwa hasira/ujichukulie hatua mkononi dhidi yako/yake ama jamaa yake huyo/Umchunie au uoneshe kusononeshwa ama kuumizwa kwa kitendo alichokifanya. "Don't grant her wish,bro" you deserve someone better than her n even best,pull yo self up n build yo future.

Who made for you will come to you, Have yo dreams intact n fulfill them N u shall surely have yo dream wife as a bonus.
asante
 
Back
Top Bottom