muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 214
Habari,
Mimi ni kijana niliyefanikiwa kuhitimu diploma ya uuguzi na ukunga.
Na nimeweza kufanya kazi sehemu mbalimbali kwenye mashirika na hospitali binafsi na serikalini.
Kiukweli nimekuwa nikisuffer Sana na kutafuta kazi ya kudumu ili niweze kufanya maisha maana hela ninayopata inanitosha kula na kusubiri mshahara ujao.
Nimepata wazo la kurudi shule nikasome bachelor ya anesthesia au physiotherapy.
Je, ipi course bora kati ya hizo kwa sasa? Kuna possibility ya kupata mkopo sijajiandaa kujisomesha?
Mimi ni kijana niliyefanikiwa kuhitimu diploma ya uuguzi na ukunga.
Na nimeweza kufanya kazi sehemu mbalimbali kwenye mashirika na hospitali binafsi na serikalini.
Kiukweli nimekuwa nikisuffer Sana na kutafuta kazi ya kudumu ili niweze kufanya maisha maana hela ninayopata inanitosha kula na kusubiri mshahara ujao.
Nimepata wazo la kurudi shule nikasome bachelor ya anesthesia au physiotherapy.
Je, ipi course bora kati ya hizo kwa sasa? Kuna possibility ya kupata mkopo sijajiandaa kujisomesha?