kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
- Thread starter
- #21
Please kaka ni DMHauna hata NSSF? FAO la kujitoa bado halijapamba moto, chukua pesa biashara nyiiingi sana ila usiwe mtu Wa aibu kama wasomi wetu. Kuna jamaa humu ana mashine za kutengeneza mkaa,hii ni biashara ya uhakika unatoboa Mara moja.