Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

Kodi siku hizi easy tu na serikali ishasisitiza kulipia kodi kwa mwezi mmoja hamna kulipa kwa miezi 6 tena.

Kwenye maisha kuna liability na asset.....hiyo nyumba sio asset tena Bali ni liability... Ni Mzigo kwako. Na hapa ndio inabidi uoneshe uanaume wako..usidhani kuwa na paipu pekee ndio uanaume. No..hapa ndipo mashujaa wakiume wanapimwa. Kila la kheri mkuu.

If you can't take risk how will you succeed?

Ningekuwa na muda ningekupa somo moja muhimu sana la "Comfort zone"

Then what's next?
Huu ni ushauri wa nguvu za giza,hilo boma siyo liability bali ni fixed asset sijui mnaita non current asset siku hizi na hiyo siyo liability kwasababu hamna cost zozote anazo incurr hapo na ukumbuke kuwa land huwa ina appreciate na hai depreciate isituingize chaka,kwanza akiuza sasa hivi lazima wamlalie kwakuwa watajua anashida aache hivyo hata 10 years hata asipojenga yeye watajenga watoto
 
Usiuze mkuu, tafuta kazi yoyote ile sio lazima iwe ya fani yako au yenye kipato kikubwa la hasha, we tafuta kazi yoyote ile ili siku zisogee mambo yatakaa sawa maadamu huna mke wala mtoto.
 
Mkuu kufukuzwa si mwisho wa maisha ni sehemu ya maisha keep going tafuta namna ya kuingiza kipato
 
Huu ni ushauri wa nguvu za giza,hilo boma siyo liability bali ni fixed asset sijui mnaita non current asset siku hizi na hiyo siyo liability kwasababu hamna cost zozote anazo incurr hapo na ukumbuke kuwa land huwa ina appreciate na hai depreciate isituingize chaka,kwanza akiuza sasa hivi lazima wamlalie kwakuwa watajua anashida aache hivyo hata 10 years hata asipojenga yeye watajenga watoto
Hivi unajua kuna kodi za majengo siku hizi? Unajua kutokana na Nyumba kuwa pagare linachakaa haraka zaidi kwa kreki na misimu ya mvua hulipukutisha zaidi? Hivyo atalazimika kufanya repair za Mara kwa Mara ili jumba bovu lisimwangukie?

Mchana litageuka kuwa playground ya watoto wanaocheza kombolera na kujifanya akina Rambo hivyo litachoka mapema.

Na sababu zingine kibao...zote Kwa pamoja zinalifanya palagare lisiwe fixed asset bali potential liability.

Fixed asset ni nyumba iliyokamilika ili kwa ili pagare bado ni mzigo kwake na linamdai hela nyingi sana hapo lilipo.

Auze aanze moja, maisha ni kama mpira tu sometimes tunaruhusiwa kurudisha mpira kwa kipa.
 
Nilianza ujenzi wa nyumba yangu ya vyumba 3, master bedroom 1, viwili vyoo vya ndani, jiko, sebule na choo. (nyumba bado sijaezeka)

Ila sasa nimekwama jinsi gani naweza kuimalizia na kwani sasa kazi nimefukuzwa.

Naomba ushauri nifanye nini ili niimalizie au Niiuze ili nifanye biashara kwa mtaa? Maana sioni njia ya kuweza kuimalizia kwa sasa na hata kwa baadae.View attachment 771252
Duh mkuu pole sana, mm nyumba yangu ilifika hapa ikisoma 8 mil. Na sasa inakimbilia kwenye 30mil na bado sijamaliza finishing japi nina mwaka wa tatu sasa naishi ndani. In short tu ninachotaka kukwambia hapa kama ni shule basi bado upo kindergaten. Hivyo you still have long way to go. Ushauri wangu sas. Wewe ulijiunga na mifuko ya jamii, so nenda kachukue hela zako uanze biashara ndogo ambapo hata ukitunza elf 5 kila siku nina amini baada ya muda nyumba itaisha
 
Nilianza ujenzi wa nyumba yangu ya vyumba 3, master bedroom 1, viwili vyoo vya ndani, jiko, sebule na choo. (nyumba bado sijaezeka)

Ila sasa nimekwama jinsi gani naweza kuimalizia na kwani sasa kazi nimefukuzwa.

Naomba ushauri nifanye nini ili niimalizie au Niiuze ili nifanye biashara kwa mtaa? Maana sioni njia ya kuweza kuimalizia kwa sasa na hata kwa baadae
Jibu la hili swli linategemea mambo mengi juu yako mwenyewe kiasi ambacho ukiamua kuchukua ushauri hapa unaweza kuangukia pua. Kwa kifupi jibu ni hivi: Kama ulivyoweza kufikiri mapaka ukanunua kiwanja na kujenga mpaka hapo ulipofikia basi sidhani kama ukikaa chini na kutafakari utakosa jibu.
 
HUSIJARIBU KUFIKIRIA KUIUZA,CHA MSINGI PAMBANA KWA NAMNA NYINGINE SIKU UKIJALIWA UTAIMALIZIA TU,KUNA KIPINDI NAMI NILIKWAMA MWAKA 2011,WAKATI HUO NYUMBA ILIKUWA KWENYE MADIRISHA ILA NILIPAMBANA BADAE IKAISHA KABISA BILA MATATIZO,KAZA MOYO.
Ahsante sana kwa kunitia Moyo
 
Kodi siku hizi easy tu na serikali ishasisitiza kulipia kodi kwa mwezi mmoja hamna kulipa kwa miezi 6 tena.

Kwenye maisha kuna liability na asset.....hiyo nyumba sio asset tena Bali ni liability... Ni Mzigo kwako. Na hapa ndio inabidi uoneshe uanaume wako..usidhani kuwa na paipu pekee ndio uanaume. No..hapa ndipo mashujaa wakiume wanapimwa. Kila la kheri mkuu.

If you can't take risk how will you succeed?

Ningekuwa na muda ningekupa somo moja muhimu sana la "Comfort zone"

Then what's next?
Msipende kuishi kwa theories. Nyumba ni asset bwana
 
Nilianza ujenzi wa nyumba yangu ya vyumba 3, master bedroom 1, viwili vyoo vya ndani, jiko, sebule na choo. (nyumba bado sijaezeka)

Ila sasa nimekwama jinsi gani naweza kuimalizia na kwani sasa kazi nimefukuzwa.

Naomba ushauri nifanye nini ili niimalizie au Niiuze ili nifanye biashara kwa mtaa? Maana sioni njia ya kuweza kuimalizia kwa sasa na hata kwa baadae.View attachment 771252
Si unacheka mifuko ya ifadhi ya jamii? Tumia hiyo kumalizia
 
Usiuze aise.....pambana ,tunafanana tatizo ila nami kidogo niingie chaka kuuza kwa Jirani hatua kazaa ili nijikimu na vyuma kukaza ila nikatafakari nipambane kivingine ....Namimi tatizo lako kama langu....tupambane ki vingine tu
Ahsante sana mkuu
 
Usiuze kiongozi,ile hela unayolipa kodi njoo uweke bati tatu au nne ulale baadae itakusaidia sana iyo nyumba
 
Hapa ndio utagundua akili ya wabongo ilivyodumaa, washauri wengi humu ni eti asiuze hilo gofu huku kazi hana na hana kipato chochote.FYI hilo gofu hapo lilipo kwa sasa ni liability kwa maana litakuchukulia vijisenti vyako kila uchao kwa kodi za jengo.
Ushauri wangu uza pata mtaji anza biashara maisha yanasonga utakuja pata utajenga au kununua ingine.usidumazwe na akili ya eti una nyumba ndio basi.. hilo ni gofu tu hapo halikuingizii chapaa yoyote hapo.
za kuambiwa changanya na za kwako.
Ahsante sana mkuu
 
Kodi siku hizi easy tu na serikali ishasisitiza kulipia kodi kwa mwezi mmoja hamna kulipa kwa miezi 6 tena.

Kwenye maisha kuna liability na asset.....hiyo nyumba sio asset tena Bali ni liability... Ni Mzigo kwako. Na hapa ndio inabidi uoneshe uanaume wako..usidhani kuwa na paipu pekee ndio uanaume. No..hapa ndipo mashujaa wakiume wanapimwa. Kila la kheri mkuu.

If you can't take risk how will you succeed?

Ningekuwa na muda ningekupa somo moja muhimu sana la "Comfort zone"

Then what's next?
Kaka pls naomba nijie kwa DM unipe elimu vzr mkuu
 
Back
Top Bottom