Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Mzee
Kwa namna ulivyojieleza nakutazama kama mhangaikaji asiyependa au anayependa but asiyekuwa na anasa---Maana yake hata muda wa kushinda na kutumia budget kubwa kwa matengenezo na visits za garage.
In that sense, mzee nenda kachukue Rav 4 pasipo kusita. Go go for it!!
Utaenda nayo popote, kwa barabara yoyote.
Nikuongezee maelezo----Umesema umewajengea wazazi kijijini, maana yake utakuwa unawatembelea at times.... Naamini kwa infrastructure zetu, na kwa budget yako; gari za Mjapan zinakufaa zaidi...
Nimekuwa na Rav 4 kwa takribani miaka 7 sasa, 2006 model---Nakuhakikishia hautojutia!
Now nimeichoka, natamani iharibike inilazimishe kuibadilisha, sioni dalili.
 
Chukua hiyo mkuu hutajutiaView attachment 1873809
images.jpg
 
Kwa hiyo budget yako go for Kluger,Toyota Prado,RAV4,Vanguard au Suzuki escudo.

Na kama utanunua brand ya Toyota never usinunue kutoka beforward kwani huwa wanauza magari ya Toyota ambayo yameshatumika sana.Beforward ni wazuri kwenye brand nyingine ila siyo kwa Toyota.Huwa wanauza magari yaliyotumika sana ya Toyota kwa sababu demand ya magari ya Toyota ipo juu.
 
Toyota is ok. Lakini kwa harrier hapana mkuu. Tena ukinunua nyeusi ukiipaki mahali unaweza sahau yako ni ipi
Upo sahihi ni kweli ni mengi ila umejiuliza kwann ni tatizo yakiwa mengi?
Unless unakwepa vitu kama wizi wa spear au wewe ni mtu wa kukimbizana na fashion wingi wa harrier si kasoro ya msingi .
 
Asante sana kaka, nachukua ushauri wako mafuta si shida km itakua shida basi si-deserve kuwa na gari
Mkuu, Hongera sana.

.Kampuni ya uhakika na yenye machaguo mengi ni Be Foward.

Katika Machaguo mengi, ubovu wa barabara za vijijini na ukubwa wa familia basi opt for Vanguard.

Ni gari nzuri na yenye nafasi ya kutosha. Ni nzuri sana kuliko Harrier na mdogo wake Rav4.

Katika gari za Nissan hapo juu, achana nazo zote isipokuwa X-Trail. The rest is mostly for women (I'm sorry to say). Mwanaume aliyekula age kama wewe, gari ndogo ndogo kama hizo ni za kuhonga tu au kumnunulia mama watoto.

Lakini kwa bajeti yako, kama mwanaume usiyeogopa majukumu (hata ya kuhudumia gari [mafuta na service]) chukua vitu vya wazungu. Nenda na x5 au VW Touareg. Japo hazikuwa katika wishlist yako.

Be a gentleman
 
M
Mtoa mada ina maana umejenga nyumba zote hizo ukiwa unakwea bodaboda? Kuna kama ka chai flani hivi. Unless hizo nyumba ziwe unga unga mwana ila mtu anayejenga nyumba mbili za kawaida hawezi kosa hata IST maana bei yake ni kama Tiles za nyumba moja tu
Mkuu asante kwa maoni yako...pia naheshimu mtazamo wako.
 
Mkuu, Hongera sana.

.Kampuni ya uhakika na yenye machaguo mengi ni Be Foward.

Katika Machaguo mengi, ubovu wa barabara za vijijini na ukubwa wa familia basi opt for Vanguard.

Ni gari nzuri na yenye nafasi ya kutosha. Ni nzuri sana kuliko Harrier na mdogo wake Rav4.

Katika gari za Nissan hapo juu, achana nazo zote isipokuwa X-Trail. The rest is mostly for women (I'm sorry to say). Mwanaume aliyekula age kama wewe, gari ndogo ndogo kama hizo ni za kuhonga tu au kumnunulia mama watoto.

Lakini kwa bajeti yako, kama mwanaume usiyeogopa majukumu (hata ya kuhudumia gari [mafuta na service]) chukua vitu vya wazungu. Nenda na x5 au VW Touareg. Japo hazikuwa katika wishlist yako.

Be a gentleman.
Yes gari kubwa kwa wakubwa
 
Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?

wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba, acha ushamba halafu jiamini, haya sasa ndio nakushauri, nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
Kueleza mafanikio sio dhambi mkuu.
Kwa taarifa yako washamba/maskini ndio huficha taarifa ya mambo yao.
 
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia....

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Mtoa mada hongera kwanza kwa kupambana na mpaka kufikia ulipo...

Kwa kuwa umeamua kuwa na SUV chipi hapa ndio ushauri wangu....

Binafsi nimeshatumia RAV 4 2006. Ilikua gari nzuri na imara. Issue yake kubwa ni lile tairi la nyuma ukiendesha sana rough roa inaulegeza ule mlango.

So sipendelei tairi la spair kukaa nyuma.

RAV 4 ya 2008-2010 ni nzuri tairi imeingizwa ndani na gari ina muonekano mzuri. Pia kutokana na bajeti yako kuwa mwisho 40m basi hizo zitakufaa....

Don't go for other brand out of toyota na nissan (mimi nilikuja kuopt for Dualis coz of budget).....

Go for TOYOTA RAV 4 2008-2010

Kuhusu site ya kuchagua ni moyo wako tu wa uvumilivu kutafuta mtandaoni..... Wote wana magari mazuri ila uwe mvumilivu na utenge muda wako ku search mtandaoni....

If you don't mind na kuondokana na usumbufu kuna vijana wanafanya hiyo kazi siku hizi. Unawalipa wanakuagizia mpk kufanya clearance na usajili..... (Nilitumia option hiyo baada ya kuchoka kutafuta mtandaoni).....

Good lucky
 
Nikuongezee maelezo----Umesema umewajengea wazazi kijijini, maana yake utakuwa unawatembelea at times.... Naamini kwa infrastructure zetu, na kwa budget yako; gari za Mjapan zinakufaa zaidi...
Nimekuwa na Rav 4 kwa takribani miaka 7 sasa, 2006 model---Nakuhakikishia hautojutia!
Now nimeichoka, natamani iharibike inilazimishe kuibadilisha, sioni dalili.
Yes kwa za zamani. Ni roho ya paka. Kuna ndugu yangu alinunua extrail new model ina namba D . saivi iko nyanga nyanga. Rav 4 namba c mpaka sasa inadunda
 
Mtoa mada hongera kwanza kwa kupambana na mpaka kufikia ulipo...

Kwa kuwa umeamua kuwa na SUV chipi hapa ndio ushauri wangu....

Binafsi nimeshatumia RAV 4 2006. Ilikua gari nzuri na imara. Issue yake kubwa ni lile tairi la nyuma ukiendesha sana rough roa inaulegeza ule mlango.

So sipendelei tairi la spair kukaa nyuma.

RAV 4 ya 2008-2010 ni nzuri tairi imeingizwa ndani na gari ina muonekano mzuri. Pia kutokana na bajeti yako kuwa mwisho 40m basi hizo zitakufaa....

Don't go for other brand out of toyota na nissan (mimi nilikuja kuopt for Dualis coz of budget).....

Go for TOYOTA RAV 4 2008-2010

Kuhusu site ya kuchagua ni moyo wako tu wa uvumilivu kutafuta mtandaoni..... Wote wana magari mazuri ila uwe mvumilivu na utenge muda wako ku search mtandaoni....

If you don't mind na kuondokana na usumbufu kuna vijana wanafanya hiyo kazi siku hizi. Unawalipa wanakuagizia mpk kufanya clearance na usajili..... (Nilitumia option hiyo baada ya kuchoka kutafuta mtandaoni).....

Good lucky
Sasa mkuu mtu akiniagizia gari nitakuwa na uhakika gani na ubora wa gari hiyo?Si anaweza kunichagulia ambayo imechakaa sana?Si anaweza kunichagulia ambayo imeenda kilomita nyingi?
 
Back
Top Bottom