Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Bajaj ya matairi manne
 
Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?

wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba, acha ushamba halafu jiamini, haya sasa ndio nakushauri, nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
We ndio unaweza kuwa mshamba na Iq Yako, Kuna nyuz humu watu walishauri hayo kwanza. Yeye kawahi kujibu
 
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Chukua hiyo Suzuki Grand Escudo angalia Be Forward Wana Bei poa
 
Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?

wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba, acha ushamba halafu jiamini, haya sasa ndio nakushauri, nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
Pamoja na ushamba wake lakin hayo aliyoyaeleza wengi yanatukabili
 
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.

Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.

Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.

Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀

Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)

2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri

3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)

Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.

Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.

Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan

Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Natumaini ulinunua Rav 4 New Model
 
Mtoa mada hongera kwanza kwa kupambana na mpaka kufikia ulipo...

Kwa kuwa umeamua kuwa na SUV chipi hapa ndio ushauri wangu....

Binafsi nimeshatumia RAV 4 2006. Ilikua gari nzuri na imara. Issue yake kubwa ni lile tairi la nyuma ukiendesha sana rough roa inaulegeza ule mlango.

So sipendelei tairi la spair kukaa nyuma.

RAV 4 ya 2008-2010 ni nzuri tairi imeingizwa ndani na gari ina muonekano mzuri. Pia kutokana na bajeti yako kuwa mwisho 40m basi hizo zitakufaa....

Don't go for other brand out of toyota na nissan (mimi nilikuja kuopt for Dualis coz of budget).....

Go for TOYOTA RAV 4 2008-2010

Kuhusu site ya kuchagua ni moyo wako tu wa uvumilivu kutafuta mtandaoni..... Wote wana magari mazuri ila uwe mvumilivu na utenge muda wako ku search mtandaoni....

If you don't mind na kuondokana na usumbufu kuna vijana wanafanya hiyo kazi siku hizi. Unawalipa wanakuagizia mpk kufanya clearance na usajili..... (Nilitumia option hiyo baada ya kuchoka kutafuta mtandaoni).....

Good lucky
Mpe namba za office uliyotumia mkuu
 
Mpe namba za office uliyotumia mkuu
Mkuu niliagiza kwa kutumia hawa vijana wenye makampuni. Nilihangaishana nao balaa na gari sikuichukua kwa kuwa niliyoagiza na iliyoletwa ni tofauti ingawa walinirudishia hela yangu kasoro milioni moja ambayo nadai mpaka leo...

Kwa hiyo nasema namba sitoi vijana wengi ni matapeli.
Nadhani nishafungua uzi kuhusu utapeli huo.

Nenda yard au agiza mtandaoni mwenyewe.
Asante.
 
Mkuu niliagiza kwa kutumia hawa vijana wenye makampuni. Nilihangaishana nao balaa na gari sikuichukua kwa kuwa niliyoagiza na iliyoletwa ni tofauti ingawa walinirudishia hela yangu kasoro milioni moja ambayo nadai mpaka leo...

Kwa hiyo nasema namba sitoi vijana wengi ni matapeli.
Nadhani nishafungua uzi kuhusu utapeli huo.

Nenda yard au agiza mtandaoni mwenyewe.
Asante.
Shukrani mkuu. Vijana wa ovyo sana hao.
 
Back
Top Bottom