RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,759
- 107,951
Wabongo mna dharau sana.Hapo hamna gari bali takataka. Sema uchukue usafiri gani kati ya huo.
Ukitaka GARI chukua Mercedes au BMW
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wabongo mna dharau sana.Hapo hamna gari bali takataka. Sema uchukue usafiri gani kati ya huo.
Ukitaka GARI chukua Mercedes au BMW
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Chukua hio Rav 4.Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.
Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.
Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...😀😀😀😀.
Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko😀😀😀
Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)
2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri
3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)
Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.
Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.
Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan
Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Aisee!Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?
wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba,acha ushamba halafu jiamini,haya sasa ndio nakushauri,nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
Acha wivu mkuu wangu.Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?
wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba, acha ushamba halafu jiamini, haya sasa ndio nakushauri, nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
Sasa si kasema NI msukuma bro?Hivi kutuelezea kuwa umejenga mjini na kijijini ina uhusiano gani na hitaji lako la gari?
wewe unadai ni mkubwa ila bado mshamba, acha ushamba halafu jiamini, haya sasa ndio nakushauri, nenda kanunue VW,achana na hizo toys ulizoorodhesha hapo.
Katika gari za Nissan hapo juu, achana nazo zote isipokuwa X-Trail. The rest is mostly for women (I'm sorry to say). Mwanaume aliyekula age kama wewe, gari ndogo ndogo kama hizo ni za kuhonga tu au kumnunulia mama watoto.
Be a gentleman.
Huo moto hauwezi huyo. Anaonekana kabisa Mjapan.Mimi ni mpenzi wa German car kwa pesa yako unapata. ...
- BMW X series
- VW Tourage
- Benz ML
Anipe nani? Umezoea vya kupewa?Suala la kujisikia mwanamke ukiendesha gari aina fulani ni suala binafsi na homon zako.
Wewe ukipewa dualis uendeshe itabidi upewe na taulo za kike usije ingia period ghafla?
Tuachie sisi mkuu,tunasafiri nazo kila siku, changamoto za hapa na pale zipo tunapambana nazo.Yaani usisafiri porini na hizi gari vijana wanazisifia sijui za kiume, mnyama sijui mashine. Tatizo dogo unalala porini, ukivuta gharama, ukiagiza fundi aje gharama, na likifika mjini unaenda A-art wanabadili fuse kwa Tsh 200,000/= bila VAT. Kwa ufupi unakuwa umebadili fuse kwa almost 1m na ulilala porini.
Anipe nani? Umezoea vya kupewa?
Mimi sipewi ila najinunulia. Kamwe siwezi kununua Dualis. Kwa sababu, by my perception it is for women.
Kama unayo Dualis, basi Mkuu endelea kupush, ila ipo kikike zaidi.
Mkuu, hizi gari porini huko usiombe yakukute. Ni nzuri sana ila mazingira yetu hayafai kabisa ukipata hitilafu porini.Tuachie sisi mkuu,tunasafiri nazo kila siku, changamoto za hapa na pale zipo tunapambana nazo.
JEEP bei yake rafiki kidogo.Mkuu, hizi gari porini huko usiombe yakukute. Ni nzuri sana ila mazingira yetu hayafai kabisa ukipata hitilafu porini.
Kwa sasa nipo kwenye mchakato wa kuvuta JEEP grand cherokee 4.7cc V8 ila sitaingia nalo porini.
Kabisa. Haijavimba.JEEP bei yake rafiki kidogo.
Ni kweli. Spare na matengenezo yake ni a ghali sanaHizi (used euro makes)sio gari za mtu ambae ndio kwanza anaingia kwenye ulimwengu wa magari.