Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Wapenda magari, ipi niagize, Kati ya hizi gari vanguard, Toyota RAV4, Suzuki Tanapa Mitsubishi outlander. Wataalamu msaada please.
Mkuu ni SUV . 2012 .ni kama vile Suzuki Tanapa, bei 20 milioni. Familia tuko wanne.Izo gari zote Mjapan usiwe na wasiwasi sana kuhusu reliability na spare. Asikutishe mtu.
Ila pia kumbuka Vanguard = Toyota Rav 4. Ni gari moja. Tofauti miaka tu...
Kwenda kanisani , sokoni , ikienda mbali zaidi ni Kiraracha Marangu.Mkuu ni SUV . 2012 .ni kama vile Suzuki Tanapa, bei 20 milioni. Familia tuko wanne.
Daka Rav 4, 2nd generation. Kama utaipata kwa iyo bei.Kwenda kanisani , sokoni , ikienda mbali zaidi ni Kiraracha Marangu.
Wapenda magari , ipi niagize ,Kati ya hizi gari vanguard, Toyota RAV4, Suzuki Tanapa Mitsubishi outlander. Wataalamu msaada please.
Kuna hii chuma rav 4 nme pishana nayo leo moshi ana endesha mbabu sio poa .ime tuliaDaka Rav 4, 2nd generation. Kama utaipata kwa iyo bei.
View attachment 2634748
Iko vizuri ila si kwa budget ya Mil 20Kuna hii chuma rav 4 nme pishana nayo leo moshi ana endesha mbabu sio poa .ime tulia View attachment 2634772
Mazda CX5 vipi mkuu,ukilinganisha na hiyo Rav 4?Daka Rav 4, 2nd generation. Kama utaipata kwa iyo bei.
View attachment 2634748