Ushauri: Ndugu Wanataka Nimfunge Baba Yangu Mdogo

Ushauri: Ndugu Wanataka Nimfunge Baba Yangu Mdogo

Kaka huyo Mfunge Kabisa Wala Usimwonee aibu ya Undugu! Haiwezekana mchungaji anafanya upuuzi kama huo tena kwa ndugu yake! Anamjua mungu kweli huyu FUNGA KABISA HUYO
 
Kaka huyo Mfunge Kabisa Wala Usimwonee aibu ya Undugu! Haiwezekana mchungaji anafanya upuuzi kama huo tena kwa ndugu yake! Anamjua mungu kweli huyu FUNGA KABISA HUYO

well noted
 
Hivi unayemfunga ni wewe au mahakama?

Sisi wanasheria tuna falsafa yetu moja hivi inasema,"it is not what u know, it is what u can prove in court", kujua tu kwamba baba mdg anahusika na huo ujauzito haitoshi, kuna swala lingine la kuthibitisha bila kuacha shaka.

Otherwise, nakupa pole sana mkuu!
 
Kaka huyo Mfunge Kabisa Wala Usimwonee aibu ya Undugu! Haiwezekana mchungaji anafanya upuuzi kama huo tena kwa ndugu yake! Anamjua mungu kweli huyu FUNGA KABISA HUYO

Mi nina mawazo kama yako,nashangaa anaonewa huruma wakati ni MBAKAJI. Kwani mahakama na polisi zimewekwa kwa ajili ya nini na nani????? Maana wanaopelekwa huko wote wanafamilia tena labda zinawategemea au familia zao zingeweza kukaa na kuyamaliza.

Huyo mtoto aliishije kabla ya kufika kwa huyo mbakaji!!!!! Na ikumbukee amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.

Apelekwe kwa pilato akajifunze na wengine wakajifunze
 
mwanasheria amicus curiae mahakama itathibitisha tutaweka ushahidi wetu pale kumbuka bado linajadiliwa kifamilia kwanza
 
Jamaani mnahangaika nn
Huo ni upako.
Akubali then?
We inawezekana alitamani akalala kitandani kwa mch asubuhi akaanza douching
Wakati mashuka yalikuwa na vimbegu vya mch baada ya pilikapilika na Valentina wake
Hahahahahahah.
 
mkuu mama yangu mdogo baada ya kujua kuwa ninafuatili akanipigia cm nimuone akaja analia et mmewe akifugwa itakuwaje nikapatwa na huruma nipo njia panda

kumfunga hapana ila alizimishwe kumtunza mtoto, kesi isiwe ubakaji ila kutelekeza mtoto. wanasheria watusaidie hapa
 
Nenda polisi kamshitaki kwa kubaka mwanafunzi. Au kwa kuwa ni baba mdogo hata akifanya dhambi anasamehewa?
 
..Mabadiliko yanaanza na wewe...Shikisha adabu,huyo mbwa mwitu mwenye ngozi ya kondoo!!
 
Ni mme wa mama mdogo mchungaji wa kanisa la EAGT hapa Dar, Alimleta huyo mtoto amwendeleze kielimu akiwa na miaka 14 sasa ana 16 amezaa last week ni copy ya baba mdogo na amegoma kupima DNA na kuwa mkali ajabu.

Binamu anasisitiza kuwa ni yeye.

USHAURI PLZ.

Tabia za akina KAPUYA hizo, potezea tu kiccm ccm kama kawa.
 
huyu ni wakupeleka polisi maana hata mkimuacha hawezi kukubali mtoto ni wake na hawezi lea. usimsamehe kabisa, kwanza utamsameheje mtu ambaye hajakubari kosa!?
 
Back
Top Bottom