Zyamwelele
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 405
- 155
Umepanic mkuu...ata akipima DNA, ata ukimfunga ukweli utabaki palepale kama ni mtoto wake atabaki hivyo...ni mambo ya familia inabidi muyamalize kwa maongezi tu
Mambo mengine yanahiji hekima na busara zaidi!
Kwahilo swala mkuu hapo juu katoa hoja ya msingi. Ebu tulia na lifikilie marambili hilo.