St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Kaombe visa ubalozini tu.nashukuru mkuu,ingekua vizuri pia kama ungenipa njia ya kufikia huko.
Kaombe visa ubalozini tu.nashukuru mkuu,ingekua vizuri pia kama ungenipa njia ya kufikia huko.
Kama ni kazi yoyote mbona zipo nyingi tu hapa.....0713Msaada wakuu,
Bongo kwangu tafrani,
Nimetumia kila njia kufanikiwa na kujituma sana katika maisha ya hapa Tanzania na sijafanikiwa.
Kama kusoma nina Diploma IT,
Kama biashara nishafanya bila mafanikio.
Nimeona nitafute nchi nyingine nihamie,
Niko tayari kufanya kazi yoyote huko.
Ushauri wenu wakuu niende nchi gani Ulaya ambapo ndoto zangu nitazifanikisha.
Ulaya ilikuwa zamani,siku hizi hali ni ngumu huko pia.Msaada wakuu,
Bongo kwangu tafrani,
Nimetumia kila njia kufanikiwa na kujituma sana katika maisha ya hapa Tanzania na sijafanikiwa.
Kama kusoma nina Diploma IT,
Kama biashara nishafanya bila mafanikio.
Nimeona nitafute nchi nyingine nihamie,
Niko tayari kufanya kazi yoyote huko.
Ushauri wenu wakuu niende nchi gani Ulaya ambapo ndoto zangu nitazifanikisha.
Nenda Libya kuna njia rahisi ya kukaza kwenda europe,mambo mengine yote utayapata unifika Libya.Kila pa kheri.Mkuu Ulaya takudaganya ingelikuwa Africa ningekushauri japo kidogo. Wala haihitaji ushauri kwa jambo kama hilo, anzia tu nchi za Africa then ukajikuta unaingia Ulaya kama unateleza tu. Labda nikuulize, una familia?
Hiyo njia ya mauti, aingie tu Botswana harafu akapate mchumba ambaye asilimia kubwa wanafanya kazi mining na hapo nayeye ataunganishwa kufanya kazi baada ya kupata work permit au uraia baada ya kuoa hata kama kwa shingo upande. Baadae ataanza ku hustle kuingia Europe kama haridhiki na noti za puraNenda Libya kuna njia rahisi ya kukaza kwenda europe,mambo mengine yote utayapata unifika Libya.Kila pa kheri.
Ya nini akawe chakula cha samaki wa mediteranian sea?komaa bongo kijana ,ukiona wakimbizi wanavyokufa baharini kutoka libya kisa ulaya,utafikiri ulaya ni paradiso.Nenda Libya kuna njia rahisi ya kukaza kwenda europe,mambo mengine yote utayapata unifika Libya.Kila pa kheri.
Huwa nashangaa sana mtu unashindwa kuheshimu mawazo ya nduguyo hata kama wewe ni mfuasi wa uchafu huoKama ni kazi yoyote mbona zipo nyingi tu hapa.....0713
mPm Me Mutuzzzz akili kubwa mwili MdogoKama kuna mwana JF alieishi au anakaa Europe anipe muongozo jinsi ya kufika huko na kufanya kazi.
Maisha ni Kusaidiana..
Hapa hapa ni ulaya,atoke jasho na atumie akili tu,huko ni Desemba kwenda kutembea tu.Ya nini akawe chakula cha samaki wa mediteranian sea?komaa bongo kijana ,ukiona wakimbizi wanavyokufa baharini kutoka libya kisa ulaya,utafikiri ulaya ni paradiso.
Nenda sudani au somalia utapata job

Yaani miaka 22 ndio unasema umeshaangaika sana kutafuta maisha ikiwemo kufanya biashara mambo yakagoma.
Huo umri ni mdogo sana,,ninavyokuona kama vile unapenda shortcut kufikia mafanikio.
Hiyo njia ya mauti, aingie tu Botswana harafu akapate mchumba ambaye asilimia kubwa wanafanya kazi mining na hapo nayeye ataunganishwa kufanya kazi baada ya kupata work permit au uraia baada ya kuoa hata kama kwa shingo upande. Baadae ataanza ku hustle kuingia Europe kama haridhiki na noti za pura
Umri ulionao si vibaya ukavumilia kidogo pia kuna nchi hapa hapa Africa unaweza kuishi vizuri tu kama uko Ulaya. Naheshimu mawazo yako maana ndiyo ilikuwa akili yangu tangu namaliza form four Geita (Geseco). Kwa sasa niko kusalimia familia yangu mwezi huu katikati nang'oka tena. Hebu jaribu kuingia Botswana na ukifika tu parangana kuoa demu wa huko harafu ulete mrejesho hapa, mie ndo teknic zilizonifikisha South Africa na sasa sijiiti mzamiaji tena. (sina chats za private for positive reasons) View attachment 411100