Wewe umewahi kwenda nchi zipi mbali na za Africa?Watanzania wengi ni malofa..% kubwa ya wachangiaji hawajawah toka nje ya Tz ukiacha Afrika..ujuaji sasa mmmh
Msaada wakuu,
Bongo kwangu tafrani,
Nimetumia kila njia kufanikiwa na kujituma sana katika maisha ya hapa Tanzania na sijafanikiwa.
Kama kusoma nina Diploma IT,
Kama biashara nishafanya bila mafanikio.
Nimeona nitafute nchi nyingine nihamie,
Niko tayari kufanya kazi yoyote huko.
Ushauri wenu wakuu niende nchi gani Ulaya ambapo ndoto zangu nitazifanikisha.
Msaada wakuu,
Bongo kwangu tafrani,
Nimetumia kila njia kufanikiwa na kujituma sana katika maisha ya hapa Tanzania na sijafanikiwa.
Kama kusoma nina Diploma IT,
Kama biashara nishafanya bila mafanikio.
Nimeona nitafute nchi nyingine nihamie,
Niko tayari kufanya kazi yoyote huko.
Ushauri wenu wakuu niende nchi gani Ulaya ambapo ndoto zangu nitazifanikisha.
mkuu umeandika point sanaElimu kubwa ni kipaji cha mtu kusoma huko ni kuendeleza tu hicho kipaji ndio mana utaona watu wasio hata na cheti na wanafanakiwa sana.
Cheti au Astashahada mtu akipata hii ni kubwa na kama amepata elimu bora ni mtaji tosha sio haba kama unavyofikiri.
Wengi huona astashahada au stashahada ni elimu ndogo sababu mhitimu anakuwa amepata bora elimu na utata huanza hapo. Nina kaka yangu alisomea astashahada lakini ilikuwa ni elimu bora na sasa yupo abroad na ni fundi wa kutegemewa ana kipato kizuri.
Ukidharau hii nitakuonesha aliye na shahada za bora kusoma sample ya zile zitolewazo Tanzania na anasota naye utamwambiaje?
Mtoa mada nikuulize kwenye Information Technology umebase katika nini? Hata ukipata kazi unaeza fanya kwa ubora?
nashukuru sana mkuu kwa kuniongezea maarifa,hakika nitajitahidi kufuata ushauri wako.Nakubaliana na Richard. Ningependa kuchimba kidogo. Unaweza kwenda nchi yeyote iwapo tu una ujuzi wanaouhitaji. Ningekuwa wewe ningegoogle "what coutries are short of IT stuff/skills" na kuendelea hapo. Kwa sasa nchi zinazohitaji watu kwa sana ni Australia na Canada; hawa wameweka ''express entry programs' hili kurahisisha uhamiaji. Ukiachana na hizo nchi mbili New zealand na Dernmark ni nchi nzuri kwa mtazamo wangu. Hivyo basi jipe uwanja mpana wa nchi za kwenda ili husipate jazba pale changamoto zinapojitokeza. Vitu muhimu utakavyohitaji kwa nchi tajwa; 1. IELTS tests; hii ni mitihani ya kiingereza, inafanyika British council na vituo kadhaa mara 2/3 kila mwezi. Gharama kwa sasa Tsh 465,000. 2. Kutegemeana na nchi utakayotaka kwenda itabidi uwatumia nakala za vyeti vyako ili walinganishe kiwango na elimu ya kwao na yako yaani educational equivalence. Kwenye website za uhamiaji utaona orodha ya vyombo wanavyovitambua. Hapa pia utalipia (sijui bei lakini angalia tovuti husika). Ukishapata hivyo viwili (kwa kawaida) utaruhusiwa kuomba kazi (Makampuni ya ndani huwa yanatafuta wafanyakazi wahamiaji kwa kupitia balozi zao) Hizo ndo kazi utakazoweza kuomba. Unavyoapply watataka viambatanisho vya IELTS tests na educational equivalence reports, medical reports, n.k. Ukipata kazi utapewa muda maarumu wa kureport nchi husika. Mara nyingi Kampuni inayokuajiri (kujua kuwa wewe ni mgeni) watakuandalia mazingira ya kufika ila hili siyo lazima na inategemea na makubaliano yenu wakati wanakupa kazi. Kwa kuwa umeonyesha kujituma na kutochagua kazi ni vema ujue utakutana na waajiri watakaotaka kukupa kazi za kuosha vyo mwenye migahawa, n.k. Yaani kazi ambazo utaona haziendani na wewe mi nathan hautachagua kazi. Hata hivyo ukifika huko unaweza kubadili kazi. Pia ni vyema utafiti kama utahitaji kibali cha taaluma husika ili kuruhusiwa kufanya kazi nchi husika. Mfano; Fundi bomba Tanzania hawezifanya hiyo shughuli Canada bila kibali cha ufundi bomba. Hilo liaathiri uwezekano wa kupata kazi kupitia balozi husika. Lakini isikukatishe tamaa, unaweza apply kazi yeyote alafu ukifika huko ukaenda kozi ya kupata kibali cha taaluma yako (mara nyingi haizidi miezi 12) na kisha kufanya kazi uliyosomea. Kwa sasa jitahidi upate experience ya taaluma yako, itakusaidia mbeleni, na jipe mda usiopungua miezi 6 kufuatilia jambo hili. Kila la kheri!
niko tayari kufanya kazi yoyote mkuu.
Mi sina haja ya kurudi ukoRudini tujue ulaya bapaya
Safi sana mkuu tunanufaika wengi kwakweliChangamoto zipo tu hasa ubaguzi kwa vile hawa jamaa hawapendelei Kiingereza isipokuwa lugha zao za asili sasa hata ukitaka kuvunga si mgeni utaumbuka tu kwa lugha ila nashkru mungu kuna wale wa Zimbabwe hawana nouma kivile lkn changamoto kubwa kabisa ni kuwa mbali na familia yangu harisi ndo sababu nikakuambia una mazigira mazuri sana ya kuzamia maana hujaoa
Inspector Harun..babuuuuu..hujawahi kusikia mtu kalala na njaa ndani ya Paris Ufaransaaa au sababu ni jiji la maraha ndo watu hawalambi garasaaa!!?
Kumbe diploma tu?Msaada wakuu,
Bongo kwangu tafrani,
Nimetumia kila njia kufanikiwa na kujituma sana katika maisha ya hapa Tanzania na sijafanikiwa.
Kama kusoma nina Diploma IT,
Kama biashara nishafanya bila mafanikio.
Nimeona nitafute nchi nyingine nihamie,
Niko tayari kufanya kazi yoyote huko.
Ushauri wenu wakuu niende nchi gani Ulaya ambapo ndoto zangu nitazifanikisha.