kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
Mkuu mbona speaker zote umepanga sehem moja?
Shukran wakuu nimekapata haka
Shukran wakuu nimekapata haka
ndo nilikua naunganisha baada ya kuitoa kwenye boxMkuu mbona speaker zote umepanga sehem moja?
wanazo,ila sasa ndio yale yale ya bosse
Umetisha mkuundo nilikua naunganisha baada ya kuitoa kwenye box
japo sahiv siitaman tena n muundo wa zaman hata bluetooth hamnaUmetisha mkuu
japo sahiv siitaman tena n muundo wa zaman hata bluetooth hamna
niliikuta sehemu inaitwa sayona 😀 😀Sayona ni juisi na maji tu mkuu, unazungumziaje Sayona kwenye ishu za Radio
ukiwa mpenzi wa kitu kizuri inaweza isiwe tatizo mkuu.Si ndio kiwanja hiko, milion 5 na upuuz ununue redio tu ya sebleni kweli?
kweli mkuuDah itabdi uipush udake hata DAV 650
te te teh sahivi ntachukua DAV350 nimechoka kugombna na majiranDah itabdi uipush udake hata DAV 650
hahhahah na pesa isikupige chenga nayoukiwa mpenzi wa kitu kizuri inaweza isiwe tatizo mkuu.
Majiran na sabufa zaokweli mkuu
te te teh sahivi ntachukua DAV350 nimechoka kugombna na majiran

Kama ni Dodoma nkuhungu, namfahamu.Hio Sony itakuwa ya enzi zile za CD changer Hi-fi zenye VCD za early 2000's...Kitu made in Japan hio! Zilikuwa na built in function ya woofer!
Kuna uncle wangu alikuwa na mashine moja ya Sony 3CD changer Hi-fi system ilikuwa inakita balaa yani mziki ukiwa ndani ya nyumba sebuleni unausikia kawaida tu ila toka kwa nje ya nyumba utaipenda. Alikuwa akipiga nyimbo za Michael Jackson zile dah shida tupu yani huku na huku ngoma za Mr.Paul yani duh. Nilikuwa naenda kumtembelea kila weekend ili tu niskie kile kinu chake kinavyotwanga. Mjapani anajua kuunda vinu aisee nakubaliii!
Mashine ilikuwa model hii hapa grx88
View attachment 381660
nIWadau baada ya kuchoshwa na saboofer za mchina nataka nijiongeze kidogo, maana kila mwaka nanunua mpya!!
Napendelea brand ya samsung, ila hata kama kuna nyingine nzuri sawa!! Nahitaji kujua bei zinaanzia kiasi gani na ubora wake pia!!
Bajeti niliyonayo ni 600k!!
Sawa, ngoja nichukue hiiHuyu muhuni kama hajapata woofer anatakiwa akachukue mashine hii hapa Sony model dav-dz650, ninayo ghetto now aisee ni kufuru wazee, unaweza ukaangusha ceiling na ina jumla ya 1000watts tu kama output. Ina digital sound amplifier "S-master" inayotoa dynamic sound hatari mno waweza dhani ni hi-fi system ila tofauti hii theatre bass yake ni kali zaidi!
View attachment 406655
Hiyo brand ya bose ipo Tz?ni kweli ndugu yangu PANASONIC ni wazuri sana tu au kama anajiweza pia aangalie JVC lakini asihangaike na SAMSUNG kwenye music si wazuri mimi huwa hata sihangaiki kujaribu music wa SAMSUNG najua ni mbwembwe tu na bei kubwa lakini kitu chepes kama mabox ya mchina. MUSIC utapata PANASONIC,SONY,JVC na hata LG ukiwa na mtu nje au ukiweza kumaliza biashara nunua BOSE. hii ndo majirani wataandamana kukutaka uhame mtaani maana utabomoa nyumba zao na kila siku mabint watakuwa wanakuja kwako waje kusikilizia nyimbo zao.
Hiyo brand ya bose ipo Tz?
Wazushi tu hao, we nunua yako hapa bongo ziko kwenye 1.2M sahiziNimeona hii kitu ila naona review zake si haba lakini kuna shida moja wanasema kuna mda feni ya kwenye player inapiga kelele sana kiasi cha kukera. Wakuu nishaurini
Extrovert View attachment 1471426