Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

Nilipita kariakooo majuzi nilikuta lg wt1000 kwa 540000
Japo siyo mtaalamu sana wa music lakini ilikuwa nzuri tatizo ni sifa ya kariakoooo
 
mimi sikushauri kununua samsung music. kiukweli samsung kwa upande wa music si wazuri. nenda kanunue SONY hawa wanamusic wa maana hasa. kuna radio alinunua mzee miaka kama 15 iliyopita mpaka sasa inapiga music achaa.... akigonga hadi mapigo yako ya moyo yana badilika yanaanza kufata mdundo wa wimbo unaopiga. kama upo ndani husikii sana ila jaribu kutoka nje ndo utasikia kitu kinavyogonga. kama ni nyumba haikujengwa imara unaweza kuta inapata ufa na baadaye kubomoka kabisa. na pia nliona PANASONIC wapo vizur na LG kwa Samsung mi napenda TV zao tu ila kwa music hawana kitu pamoja na bei zao kuwa juu lakini si kitu. ukiwa na mfuko mkubwa kanunue BOSE MUSIC SYSTEM.... Hii inatisha kabisa ni weka mbali na watu. inagonga kaka we acha tu asikwambie mtu ila ukinunua hii machine hakikisha haufungui sana sauti na usiweke bass ya sifa unaweza kuangukiwa na nyumba unayoish.

hahahaaa mwanangu umesisitiza balaaaaa duuuh
 
sasa hizi bei manabishana wakati kila mtu amenunua hometheatre hata kama ni samsung speaker tano lakini zinaweza kuwa na specification tofauti.kuna nyingine zina 3d sourrings ya sound.wengine player ina blue ray nyingine blutooth.nyingine ni smart enhanced ..sasa hivyo ni vitu tofauti.

ila kama wengi walivyoshauri LG Ndio wana mziki mzuri wakifuatiwa na sony.
na bosse systerm hiyo ni kiboko yao tatizo bei kubwa sana.
samsung hom theater ndo mpango mzima natumia hiyo bizaa mwaka wa 2 huu kitu bado kipya mkuu ila bajet yako czan kama itatosha
 
Mkuu nakushauri ununue Sony Home Theatre au Panasonic utafurahia maisha, zile za bei kuanzia 750k na kuendelea. Hao wawili wako vyema mno na ukicheki movie ndio utawapenda zaidi jinsi mashine zao zinavyochambua audio channels huku ukipata thrilling bass za radi au rev za engines!

Hawa wakorea Samsung na LG ni wazuri kwa display tu!
They are a complete garbage and wastage of you hard earned money in sound department na zote hizo nilishatumia nikianza na Samsung ambayo its a piece of junk nilinunua jeshini, it was a 300 watts 5.1 channel iliokuwa na speaker ndefu nne na center moja plus subwoofer. Nzuri kwa muonekano ila performance and durability 0 score! Bass ni mambo za kusikitisha, vile vitufe vyake viko very delicate vikaanza dumbukia ndani aisee.

Kuja kwa LG ambae namtumia sasa nae ni yale yale ya samsung its a 300w 5.1 channel ina stereo speakers 4 na center moja plus subwoofer. Haina maajabu yoyote yani bass ni mambo za kusikitisha yani ili kuipata at least uweke volume 18-22 hapo kwa muziki, kwa movie pia ni mambo ya aibu mzee!

Previously kabla sijahamia kwa hawa wakorea niliwahi kutumia Philips nayo ilikuwa 300w 5.1 Channel . Sio siri mwingereza alikuwa anatoa muziki wa maana bass ikiwa imesimama, ukiipa movie ndio dah wageni walikuwa wanasifia kweli wakiingia home na kukuta mashine ikipiga kazi.

Ushauri wangu tu ukiwa na budget nzuri kuanzia 750k na zaidi ndio at least waweza hometheatre kali ila ukienda shop usije kurubuniwa ukanunua uchafu wowote wa mkorea utajutia pesa yako! Nunua Sony, Panasonic ukishindwa chukua Philips zitakupa A1 perfomance.
 
Kama ukipenda kuweka hvo,ila tofauti ya hiyo ya 250 na nyingine mnazozitaja ni kua speaker za hzo nyingine zina stand.ila function zote kama dvd,aux,fm radio,USB, recording kwenye usb ninapata kwa hyo 250 tu.
Huo u theatre wa 250k ndio uchafu kabisa nahisi ndio sampuli zile zile nilizotumia za 300w....Hamna kitu humo! ingawa mi niliuziwa 350k.
 
mimi sikushauri kununua samsung music. kiukweli samsung kwa upande wa music si wazuri. nenda kanunue SONY hawa wanamusic wa maana hasa. kuna radio alinunua mzee miaka kama 15 iliyopita mpaka sasa inapiga music achaa.... akigonga hadi mapigo yako ya moyo yana badilika yanaanza kufata mdundo wa wimbo unaopiga. kama upo ndani husikii sana ila jaribu kutoka nje ndo utasikia kitu kinavyogonga. kama ni nyumba haikujengwa imara unaweza kuta inapata ufa na baadaye kubomoka kabisa. na pia nliona PANASONIC wapo vizur na LG kwa Samsung mi napenda TV zao tu ila kwa music hawana kitu pamoja na bei zao kuwa juu lakini si kitu. ukiwa na mfuko mkubwa kanunue BOSE MUSIC SYSTEM.... Hii inatisha kabisa ni weka mbali na watu. inagonga kaka we acha tu asikwambie mtu ila ukinunua hii machine hakikisha haufungui sana sauti na usiweke bass ya sifa unaweza kuangukiwa na nyumba unayoish.

Hio Sony itakuwa ya enzi zile za CD changer Hi-fi zenye VCD za early 2000's...Kitu made in Japan hio! Zilikuwa na built in function ya woofer!
Kuna uncle wangu alikuwa na mashine moja ya Sony 3CD changer Hi-fi system ilikuwa inakita balaa yani mziki ukiwa ndani ya nyumba sebuleni unausikia kawaida tu ila toka kwa nje ya nyumba utaipenda. Alikuwa akipiga nyimbo za Michael Jackson zile dah shida tupu yani huku na huku ngoma za Mr.Paul yani duh. Nilikuwa naenda kumtembelea kila weekend ili tu niskie kile kinu chake kinavyotwanga. Mjapani anajua kuunda vinu aisee nakubaliii!

Mashine ilikuwa model hii hapa grx88

grx8.jpg
 
Wakuu kwa wanaohitaji vitu vya eloctronics vyovyote vile ani pm namba yake nimtumie toka huku zanzibar.
Mi naitaji tv
Nina Samsung nilinunua 2011 kwa 280,000, iko Poa sana, muziki wa wastani wa kusikiliza ndani uliochujwa vizuri, nilinunua pale lumumba street Dar kwa dealer, haijasumbua chochote mpaka leo ni 5.1

Tafuta Sony model DAV-275 ni model ya nyuma kidogo inaingia DVD tano, hii home theatre nadhani subwoofer lake ndio lenye power sana kuliko zingine ina watts 285 r.m.s wakati matoleo yaliyofata yalikuwa na 185watts pekee, na lens yake wameificha sana inakuwa ni ngumu kuchafuka Mimi huu ni mwaka wa saba sijaisafisha na inacheza DVD bila tatizo lolote
 
Hio Sony itakuwa ya enzi zile za CD changer Hi-fi zenye VCD za early 2000's...Kitu made in Japan hio! Zilikuwa na built in function ya woofer!
Kuna uncle wangu alikuwa na mashine moja ya Sony 3CD changer Hi-fi system ilikuwa inakita balaa yani mziki ukiwa ndani ya nyumba sebuleni unausikia kawaida tu ila toka kwa nje ya nyumba utaipenda. Alikuwa akipiga nyimbo za Michael Jackson zile dah shida tupu yani huku na huku ngoma za Mr.Paul yani duh. Nilikuwa naenda kumtembelea kila weekend ili tu niskie kile kinu chake kinavyotwanga. Mjapani anajua kuunda vinu aisee nakubaliii!

Mashine ilikuwa model hii hapa grx8

View attachment 381660

Hahahaahah nimekumbuka hizi type yaredio....vibaka wakikutembelea kitu cha kwanza kuiba ilikuwa ni zenyewe ,lazima waibe redio ata kama ni ndog kiasi gani.
 
Wadau baada ya kuchoshwa na saboofer za mchina nataka nijiongeze kidogo, maana kila mwaka nanunua mpya!!

Napendelea brand ya samsung, ila hata kama kuna nyingine nzuri sawa!! Nahitaji kujua bei zinaanzia kiasi gani na ubora wake pia!!
Bajeti niliyonayo ni 600k!!
Kaka nakushauri nunua mziki wa pisi 5. Aina nzuri n Kenwood au Sony. Mimi nina Kenwood hatari kaka napiga hadi ktk visherehe vya mtaani. Kwa bajeti yako inatosha. Nichek pm
 
Mkuu kweli kabisa samsung kwenye audio sio vizuri,Marehemu mzee alinunua Panasonic pale sound and vision kwa Benson tarehe 30.10.06 inapigaa balaaa ,ukiwasha subwoofer ndo lazima majirahi wajute.

Mpango mzima ni SONY, Panasonic, BOSE, Tanberg, Bang & Olfusen ukipata moja ya systems hizo hutajuta.

Samsung labda TV na simu za mkononi basi.
 
Kaka nakushauri nunua mziki wa pisi 5. Aina nzuri n Kenwood au Sony. Mimi nina Kenwood hatari kaka napiga hadi ktk visherehe vya mtaani. Kwa bajeti yako inatosha. Nichek pm

Mkuu, hivi Kenwood bado zipo kweli?

Sizisikii tena siku hizi including Toshiba,Nakamichi pamoja na Telefunken!
 
Back
Top Bottom