Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

Nimefanikiwa kupata kitu BOSE....aisee asikwambie mtu kitu. Hii kitu inagonga. Ni juzi juzi tu nlikuwa na kikao kwa mjumbe. Mtaani wameenda kulalamika kuwa nina ponda nyumba zao na kitu kizito wanashindwa kulala maana bati zao zinapiga kelele na kuta kutikisika. Nmemkatalia kabisa mjumbe hajaamini anahisi kuna vitu nafanya home illegal basi imebidi nimlete home akakagua akaenda kuwapa ujumbe kuwa hamna kitu.

Jumamosi mi najilia music wangu sina hili wala lile kaja mjumbe na wazee wawili wakagonga geti nkaenda kuwafungulia. Moja kwa moja wakaongoza ndani. Kufika wanaaanza kukagua kumbe wale wazee wameenda tena kumwambia mjumbe nagonga. Ndo wakagundua ni mziki.aiseee walishangaa sana. Wamesambaza habri mtaani kuwa napiga disco.sasa imekuwa shida nikipita nanyooshewa vidole. Mabint wanataka waje kusikilizia nyimbo zao kwangu... Matozi nao imekuwa shida na flash zao kila wakati wanataka waje wajaribu nyimbo zao kwangu.
BOSE ni balaah asikwambie mtu.inatisha hasa...hata hivyo nililetea zawadi na bro toka kwa mzee obama. Huu muziki ukifungua kwa saut kubwa unaweza sababisha tetemeko la ardhi kabisa. Cha ajabu wewe ukiwa ndani husikii sana. Hapo nashindwa kuelewa inakuaje
Kinachokupa shida ni kushindwa kutofautisha sabwoofer na hometheatre,hiyo uliyochukua ni subwoofer iliyowekwa sifa za home theatre kelele tu lkn theatre sterio take sio kelele kwa majirani na hata unapoifungulia mpaka mwisho ni watu kufurahia haina kelele za kutingisha paa la nyumba,ungaunga tafuta Sony utakuja kutuletea mrejesho jinsi mjumbe na majirani walivyoongeza upendo kwako,na majaribio kadhaa ya kuvunjiwa kimlango chako waunyakue mziki.
 
Music systems za siku hizi zile original hazitoi sauti nje kiasi cha kukera watu. Ukiseti speakers vizuri kwenye setting ya redio sauti inayotoka nje ni kama ya speaker ya simu ila ndani mziki ni mkubwa alafu surround balaa. Mi natumia Dennon
 
Tatizo kubwa la watanzania wengi ni ukosefu wa uelewa kuwa hawaelew. Hili ndo huwa linawaponza sababu hata kuuliza wanashindwa so wanaamua ku conclude. Na tatizo ni kutokuwa na elimu basic inayowapa uwezo wa ku reason au kuhoji kisomi. Na ndo maana unakurupuka na conclusion yako. Yu think yu know but yu prove yu know nothing.
Dada nenda jikoni sisi wanaume tunajua tunazungumzia nini. Nmeanza kufaham music toka enzi za kutumia sahani au santuri.then ikaja music system, so when yu talk abt subwoofer na home theatre hiyo kawafafanulie kijijini kwenu.sisi wanaume hapa tunajua tunazungumzia nini. Ni bora ungeuliza but si kuja kupayuka hapa.

Kama unaufaham music at least wa panasonic au hata sony napoongelea music kugonga ungekuwa unaelewa si kuja kutueleza kitu ambacho ulisikia watu wanazungumza mbele ya wanaume.

Uliza wa kwambie music mzito huwa unakuaje acha hayo matakataka unayoongea. Wanaofaham music wa BOSE watakwambia mdundo tunaozungumzia ni nini. Unazungumzia stereo as if ni kitu cha ajab kumbe ni vitu ambavyo anayejua music anapoongea anajua music umebebwa na nini.usizungumzia music wenunaoweka speaker kwenye kinu au ndoo. Sisi tunazungumzia music ambao unatenga kila aina ya chombo cha music kwenye speaker yake. Dada nenda jikoni acha wanaume tuzungumze hapa.


Kinachokupa shida ni kushindwa kutofautisha sabwoofer na hometheatre,hiyo uliyochukua ni subwoofer iliyowekwa sifa za home theatre kelele tu lkn theatre sterio take sio kelele kwa majirani na hata unapoifungulia mpaka mwisho ni watu kufurahia haina kelele za kutingisha paa la nyumba,ungaunga tafuta Sony utakuja kutuletea mrejesho jinsi mjumbe na majirani walivyoongeza upendo kwako,na majaribio kadhaa ya kuvunjiwa kimlango chako waunyakue mziki.
 
Nikibishana na wewe unaweza nishinda sababu we una uzoefu. Wenye kuelewa huwaoni wakileta hoja kama zako coz wanaelewa nazungumzia nini. Na kwa taarifa yako sasa music wenye speaker nzito huwa ndani hauusikii sana hasa mdundo wake coz unatoka kwa style ambayo wewe ndani husikii sana. Ni sawa na anayeendesha RANGE ROVER anapokimbiza gari yeye haoni kama anakimbia sana ila wa nje huona kama anakaribia kupaa. Ndivyo ilivyo kwa music system. Sound yake huwa inasambaa kwa namna ambayo when yu re inside yu don feel much.its like normal but mdungo wake husikika kwa namna ya kusambaa taratibu and pia ulipaswa tu ujue matumizi ya lugha.shule ni muhimu kujua vitu vidogo kama hivi kuwa smetme maneno yanatumika kunogesha story na walio elewa unaona hawajaanzisha mada mpya. Zaidi wanauliza watapata wapi BOSE coz wanazifaham hata ningeziponda wangenishukia hapa na kusema nadanganya.

QUOTE="stickyfinger, post: 17757827, member: 128826"]Music systems za siku hizi zile original hazitoi sauti nje kiasi cha kukera watu. Ukiseti speakers vizuri kwenye setting ya redio sauti inayotoka nje ni kama ya speaker ya simu ila ndani mziki ni mkubwa alafu surround balaa. Mi natumia Dennon[/QUOTE]
 
Bose ni Kampuni ya Kimarekani imeanza kutengeneza Music Miaka ya 1964 kipindi Tanganyika inaungana na Zanzibar. Wanaheshimika sana Ndani na Nje ya Marekani kwa vifaa vyao.
Si haki kuwafananisha na Makampuni ya hovyo hovyo. Miaka 5 iliyopita Watengenezaji wa Magari mbali mbali wakiwepo Jeep walianza kuzitangaza gari zao pia kuwa zina music system iliyofungwa na BOSE na watu waligombania sana hizo gari kwa sababu moja wapo ikiwa ni hiyo.
 

Attachments

  • images(2).jpg
    images(2).jpg
    3.9 KB · Views: 148
  • images.jpg
    images.jpg
    4.4 KB · Views: 126
Hiyo Dennon sijui ni ya wapi. mi naifaham DENON hii ni Kampun toka Japan nao ni wazuri kwenye MUSIC toka kitambo tu kwa sasa. wachina wakaiga wakawa wanatengeneza DENNON kama kawaida yao wakabadilisha jina kidogo tu kama walivyofanya kwa SAMSUNG wao wakaja na SAMSANG, Kwa SONY wakaja na SONQ. sasa wameenda hata kuiga ya DENON wewe wakakuuzia DENNON halafu unakuja kutamba hapa na music wako wa kichina.


Music systems za siku hizi zile original hazitoi sauti nje kiasi cha kukera watu. Ukiseti speakers vizuri kwenye setting ya redio sauti inayotoka nje ni kama ya speaker ya simu ila ndani mziki ni mkubwa alafu surround balaa. Mi natumia Dennon
 
Nikibishana na wewe unaweza nishinda sababu we una uzoefu. Wenye kuelewa huwaoni wakileta hoja kama zako coz wanaelewa nazungumzia nini. Na kwa taarifa yako sasa music wenye speaker nzito huwa ndani hauusikii sana hasa mdundo wake coz unatoka kwa style ambayo wewe ndani husikii sana. Ni sawa na anayeendesha RANGE ROVER anapokimbiza gari yeye haoni kama anakimbia sana ila wa nje huona kama anakaribia kupaa. Ndivyo ilivyo kwa music system. Sound yake huwa inasambaa kwa namna ambayo when yu re inside yu don feel much.its like normal but mdungo wake husikika kwa namna ya kusambaa taratibu and pia ulipaswa tu ujue matumizi ya lugha.shule ni muhimu kujua vitu vidogo kama hivi kuwa smetme maneno yanatumika kunogesha story na walio elewa unaona hawajaanzisha mada mpya. Zaidi wanauliza watapata wapi BOSE coz wanazifaham hata ningeziponda wangenishukia hapa na kusema nadanganya.

QUOTE="stickyfinger, post: 17757827, member: 128826"]Music systems za siku hizi zile original hazitoi sauti nje kiasi cha kukera watu. Ukiseti speakers vizuri kwenye setting ya redio sauti inayotoka nje ni kama ya speaker ya simu ila ndani mziki ni mkubwa alafu surround balaa. Mi natumia Dennon
[/QUOTE]

Niseme tu, ulaya hawana sound system inayotoa nje kubwa kuliko ndani kule kuna sheria zinazobana kupigiana kelele tofauti na zetu. Lazima utakuwa hujui kuseti speakers lengths kulingana na ukubwa wa chumba chako. Pia positioning ya speakers ni muhimu, soma manuals ya vyombo hizo. Natamani nikualike home ujionee.
 
Hiyo Dennon sijui ni ya wapi. mi naifaham DENON hii ni Kampun toka Japan nao ni wazuri kwenye MUSIC toka kitambo tu kwa sasa. wachina wakaiga wakawa wanatengeneza DENNON kama kawaida yao wakabadilisha jina kidogo tu kama walivyofanya kwa SAMSUNG wao wakaja na SAMSANG, Kwa SONY wakaja na SONQ. sasa wameenda hata kuiga ya DENON wewe wakakuuzia DENNON halafu unakuja kutamba hapa na music wako wa kichina.

Hayo ni makosa ya kiuandishi, nilimaanisha denon. Pia nikuaamishe kuwa speakers za bose zimeanza kutumiwa na Mercedes Benz toka kitambo sana
 
Kuna vitu vya kutumia common sense tu. Wala hata huhitaji kuwa umesoma sana. Hujui kuwa anything kinapozid huwa inakuwa harmful? Hujui hata ukiongeza sauti kwenye simu inakupa warning kuwa unaongeza sana sauti?

Suala la matumizi na ndo maana hata club huwa zinakuwa na sound proof wall ili ile saut isitoke nje lakini si kuwa zile speaker zimetengenezwa hivyo.

Ungenyamaza usingeonesha kuwa umjinga. Gari zina speed mpaka 300 but kuna nchi zina speed limit. Then wangetengeneza gari mwisho speed 80.

Niseme tu, ulaya hawana sound system inayotoa nje kubwa kuliko ndani kule kuna sheria zinazobana kupigiana kelele tofauti na zetu. Lazima utakuwa hujui kuseti speakers lengths kulingana na ukubwa wa chumba chako. Pia positioning ya speakers ni muhimu, soma manuals ya vyombo hizo. Natamani nikualike home ujionee.[/QUOTE]
 
Unazotumia ni za mchina zipo DENNON. Nimewah ziona hata kariakoo. Mi nmekwambia waliamua kuzitangazia gari zao kuwa zimefungwa huo music sikusema hawajawa kuzifunga makampuni mengine. Mbona natumia kiswahil chepes tu.


Hayo ni makosa ya kiuandishi, nilimaanisha denon. Pia nikuaamishe kuwa speakers za bose zimeanza kutumiwa na Mercedes Benz toka kitambo sana
 
Kuna vitu vya kutumia common sense tu. Wala hata huhitaji kuwa umesoma sana. Hujui kuwa anything kinapozid huwa inakuwa harmful? Hujui hata ukiongeza sauti kwenye simu inakupa warning kuwa unaongeza sana sauti?

Suala la matumizi na ndo maana hata club huwa zinakuwa na sound proof wall ili ile saut isitoke nje lakini si kuwa zile speaker zimetengenezwa hivyo.

Ungenyamaza usingeonesha kuwa umjinga. Gari zina speed mpaka 300 but kuna nchi zina speed limit. Then wangetengeneza gari mwisho speed 80.


Niseme tu, ulaya hawana sound system inayotoa nje kubwa kuliko ndani kule kuna sheria zinazobana kupigiana kelele tofauti na zetu. Lazima utakuwa hujui kuseti speakers lengths kulingana na ukubwa wa chumba chako. Pia positioning ya speakers ni muhimu, soma manuals ya vyombo hizo. Natamani nikualike home ujionee.
[/QUOTE]

Wewe ndio mwenye tatizo la uelewa. Sasa kama unapiga mziki ndani unakuwa mdogo ( sio harmful kwako) alafu nje ndo unakuwa harmful huo si mziki. Elimika ndugu
 
Unazotumia ni za mchina zipo DENNON. Nimewah ziona hata kariakoo. Mi nmekwambia waliamua kuzitangazia gari zao kuwa zimefungwa huo music sikusema hawajawa kuzifunga makampuni mengine. Mbona natumia kiswahil chepes tu.

Hiyo nilitoa zanzibar, used
 
above all sony ni baba lao aiseee
Huyu muhuni kama hajapata woofer anatakiwa akachukue mashine hii hapa Sony model dav-dz650, ninayo ghetto now aisee ni kufuru wazee, unaweza ukaangusha ceiling na ina jumla ya 1000watts tu kama output. Ina digital sound amplifier "S-master" inayotoa dynamic sound hatari mno waweza dhani ni hi-fi system ila tofauti hii theatre bass yake ni kali zaidi!
sony.jpg
 
mimi sikushauri kununua samsung music. kiukweli samsung kwa upande wa music si wazuri. nenda kanunue SONY hawa wanamusic wa maana hasa. kuna radio alinunua mzee miaka kama 15 iliyopita mpaka sasa inapiga music achaa.... akigonga hadi mapigo yako ya moyo yana badilika yanaanza kufata mdundo wa wimbo unaopiga. kama upo ndani husikii sana ila jaribu kutoka nje ndo utasikia kitu kinavyogonga. kama ni nyumba haikujengwa imara unaweza kuta inapata ufa na baadaye kubomoka kabisa. na pia nliona PANASONIC wapo vizur na LG kwa Samsung mi napenda TV zao tu ila kwa music hawana kitu pamoja na bei zao kuwa juu lakini si kitu. ukiwa na mfuko mkubwa kanunue BOSE MUSIC SYSTEM.... Hii inatisha kabisa ni weka mbali na watu. inagonga kaka we acha tu asikwambie mtu ila ukinunua hii machine hakikisha haufungui sana sauti na usiweke bass ya sifa unaweza kuangukiwa na nyumba unayoish.
Haha mkuu umenifurahisha Sana nazijua Bose ni za ukweli sana
 
Huyu muhuni kama hajapata woofer anatakiwa akachukue mashine hii hapa Sony model dav-dz650, ninayo ghetto now aisee ni kufuru wazee, unaweza ukaangusha ceiling na ina jumla ya 1000watts tu kama output. Ina digital sound amplifier "S-master" inayotoa dynamic sound hatari mno waweza dhani ni hi-fi system ila tofauti hii theatre bass yake ni kali zaidi!
View attachment 406655
Kiasi gani hiyo kk
 
Huyu muhuni kama hajapata woofer anatakiwa akachukue mashine hii hapa Sony model dav-dz650, ninayo ghetto now aisee ni kufuru wazee, unaweza ukaangusha ceiling na ina jumla ya 1000watts tu kama output. Ina digital sound amplifier "S-master" inayotoa dynamic sound hatari mno waweza dhani ni hi-fi system ila tofauti hii theatre bass yake ni kali zaidi!
View attachment 406655
Bei ngap
 
Back
Top Bottom