Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

Ushauri: Nataka kununua home theatre!!

ni kweli ndugu yangu PANASONIC ni wazuri sana tu au kama anajiweza pia aangalie JVC lakini asihangaike na SAMSUNG kwenye music si wazuri mimi huwa hata sihangaiki kujaribu music wa SAMSUNG najua ni mbwembwe tu na bei kubwa lakini kitu chepes kama mabox ya mchina. MUSIC utapata PANASONIC,SONY,JVC na hata LG ukiwa na mtu nje au ukiweza kumaliza biashara nunua BOSE. hii ndo majirani wataandamana kukutaka uhame mtaani maana utabomoa nyumba zao na kila siku mabint watakuwa wanakuja kwako waje kusikilizia nyimbo zao.
 
Wadau baada ya kuchoshwa na saboofer za mchina nataka nijiongeze kidogo, maana kila mwaka nanunua mpya!!

Napendelea brand ya samsung, ila hata kama kuna nyingine nzuri sawa!! Nahitaji kujua bei zinaanzia kiasi gani na ubora wake pia!!
Bajeti niliyonayo ni 600k!!

Kila lililo la kheri mkuu...
 
Nina Samsung nilinunua 2011 kwa 280,000, iko Poa sana, muziki wa wastani wa kusikiliza ndani uliochujwa vizuri, nilinunua pale lumumba street Dar kwa dealer, haijasumbua chochote mpaka leo ni 5.1
 
ni kweli ndugu yangu PANASONIC ni wazuri sana tu au kama anajiweza pia aangalie JVC lakini asihangaike na SAMSUNG kwenye music si wazuri mimi huwa hata sihangaiki kujaribu music wa SAMSUNG najua ni mbwembwe tu na bei kubwa lakini kitu chepes kama mabox ya mchina. MUSIC utapata PANASONIC,SONY,JVC na hata LG ukiwa na mtu nje au ukiweza kumaliza biashara nunua BOSE. hii ndo majirani wataandamana kukutaka uhame mtaani maana utabomoa nyumba zao na kila siku mabint watakuwa wanakuja kwako waje kusikilizia nyimbo zao.

mkuu,!!hii BOSE inauzwa bei gani?
 
mara ya mwisho mlimani city ilikuwa mil 3.5 mwaka 2010 kama sikosei but zipo bei tofaut tofaut hii ni machine toka kwa obama kaka akina dong tu su hawajaweka mikono yao . ni ndugu zake obama tu ndo wamefanya mautundu yao. ina guarantee ya kufa mtu. kitu kinagonga asikwambie mtu
 
ni kweli ndugu yangu PANASONIC ni wazuri sana tu au kama anajiweza pia aangalie JVC lakini asihangaike na SAMSUNG kwenye music si wazuri mimi huwa hata sihangaiki kujaribu music wa SAMSUNG najua ni mbwembwe tu na bei kubwa lakini kitu chepes kama mabox ya mchina. MUSIC utapata PANASONIC,SONY,JVC na hata LG ukiwa na mtu nje au ukiweza kumaliza biashara nunua BOSE. hii ndo majirani wataandamana kukutaka uhame mtaani maana utabomoa nyumba zao na kila siku mabint watakuwa wanakuja kwako waje kusikilizia nyimbo zao.

shukrani!!
 
Hivi mda wa kusikiliza mziki mnaupataga wapi ?natamani siku moja na mm niskilize mziki nyumbani.!!
 
zinaanzia bei gani?

Laki 5.5 ya Watts 1000. Watts chini ya hapo bei hushuka pia. Nilinunua toka 2013, haijanipa tatizo lolote. Ni Sony DVD home theater DAV-D640K, 5.1 surround sound, Dolby digital included. Hii inacheza movies za format ya DIVX pekee kwenye flash drive, tafuta model ya kisasa ambayo inacheza format nyingine pia ili hata ukiwa na movies kwenye flash drive basi unaweza hook it up na flat screen yako kupitia HDMI na ukacheki movies vzr kbs.
 
Mwaka wa tatu huu hata vumbi sijaifuta na inapiga balaa. Format zote za video dvd's unazozijua inacheza. 3D BR dvd to the rest.
samsung_ht_d7500w-180911.jpg
 
Tafuta Sony model DAV-275 ni model ya nyuma kidogo inaingia DVD tano, hii home theatre nadhani subwoofer lake ndio lenye power sana kuliko zingine ina watts 285 r.m.s wakati matoleo yaliyofata yalikuwa na 185watts pekee, na lens yake wameificha sana inakuwa ni ngumu kuchafuka Mimi huu ni mwaka wa saba sijaisafisha na inacheza DVD bila tatizo lolote
 
Wakuu kwa wanaohitaji vitu vya eloctronics vyovyote vile ani pm namba yake nimtumie toka huku zanzibar.
Ntumie ujumbe namba yangu ni0764411446 nataka mashine hometheater
 
  • Thanks
Reactions: lup
Back
Top Bottom