Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

Tanga kibiashara in ushe ushe nyingi sana ch kufanya njoo Tanga ila uwe mfanyabiashara wa mazao ya chakula kupeleka mikoani Tanga mwaka mzima inatoa mazao yanayoliwa dar.
 
Mkuu kilimo gani lushoto kinafaa Kwa mazao ya chakula ukiondoa mazao ya biashara kama katani. je? mashamba yanapatikana Kwa bei gani?
Mbogamboga zote unazozijua zinatoka Lushoto... Nyanya, karoti, hoho, mchicha, tangawizi, kabichi, viazi vya chipsi, maharagwe nk
 
Back
Top Bottom