Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,712
Reaction score
1,660
Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine.

Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.

Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie moja ya mkoa ambao ni Tanga ila natamani kupata mengi zaidi kwa wenyeji au wanaojua hali,tamaduni na maisha ya huko kwa ujumla nijue pakuanzia.

Kwanini nimeichagua Tanga,ndugu zangu wengi walikimbilia Dare-ssalam japo na wao maisha yamewakaba yani hadi kuna muda naona bora hata mimi maana kuna muda inabidi mimi ndiyo niwapige tafu mambo yakiwagomea.

Naombeni msaada wa mawazo pia wenyeji mnisaidie kutambua fursa na uhalisia wa mkoa huo,binafsi ni mchapakazi na sichagui kazi labda iwe ya kushusha utu wa mtu tu🙏
 
Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine.

Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.

Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie moja ya mkoa ambao ni Tanga ila natamani kupata mengi zaidi kwa wenyeji au wanaojua hali,tamaduni na maisha ya huko kwa ujumla nijue pakuanzia.

Kwanini nimeichagua Tanga,ndugu zangu wengi walikimbilia Dare-ssalam japo na wao maisha yamewakaba yani hadi kuna muda naona bora hata mimi maana kuna muda inabidi mimi ndiyo niwapige tafu mambo yakiwagomea.

Naombeni msaada wa mawazo pia wenyeji mnisaidie kutambua fursa na uhalisia wa mkoa huo,binafsi ni mchapakazi na sichagui kazi labda iwe ya kushusha utu wa mtu tu🙏
UJana mwisho miaka 35, nyie watu wazima hovyo hamtaki shikamoo.
Anyway ukijifanya kijana kwa umri huo tanga hutoboi, utapewa bia kwa mgongo utelekeze familia.
 
Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine.

Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.

Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie moja ya mkoa ambao ni Tanga ila natamani kupata mengi zaidi kwa wenyeji au wanaojua hali,tamaduni na maisha ya huko kwa ujumla nijue pakuanzia.

Kwanini nimeichagua Tanga,ndugu zangu wengi walikimbilia Dare-ssalam japo na wao maisha yamewakaba yani hadi kuna muda naona bora hata mimi maana kuna muda inabidi mimi ndiyo niwapige tafu mambo yakiwagomea.

Naombeni msaada wa mawazo pia wenyeji mnisaidie kutambua fursa na uhalisia wa mkoa huo,binafsi ni mchapakazi na sichagui kazi labda iwe ya kushusha utu wa mtu tu🙏
Tanga ipi.

Korogwe
Lushoto
Mlalo
Bumbuli
Handeni
Mkinga
Kilindi
Pangani
Muheza.
 
Back
Top Bottom