Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,712
- 1,660
Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine.
Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.
Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie moja ya mkoa ambao ni Tanga ila natamani kupata mengi zaidi kwa wenyeji au wanaojua hali,tamaduni na maisha ya huko kwa ujumla nijue pakuanzia.
Kwanini nimeichagua Tanga,ndugu zangu wengi walikimbilia Dare-ssalam japo na wao maisha yamewakaba yani hadi kuna muda naona bora hata mimi maana kuna muda inabidi mimi ndiyo niwapige tafu mambo yakiwagomea.
Naombeni msaada wa mawazo pia wenyeji mnisaidie kutambua fursa na uhalisia wa mkoa huo,binafsi ni mchapakazi na sichagui kazi labda iwe ya kushusha utu wa mtu tu🙏
Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.
Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie moja ya mkoa ambao ni Tanga ila natamani kupata mengi zaidi kwa wenyeji au wanaojua hali,tamaduni na maisha ya huko kwa ujumla nijue pakuanzia.
Kwanini nimeichagua Tanga,ndugu zangu wengi walikimbilia Dare-ssalam japo na wao maisha yamewakaba yani hadi kuna muda naona bora hata mimi maana kuna muda inabidi mimi ndiyo niwapige tafu mambo yakiwagomea.
Naombeni msaada wa mawazo pia wenyeji mnisaidie kutambua fursa na uhalisia wa mkoa huo,binafsi ni mchapakazi na sichagui kazi labda iwe ya kushusha utu wa mtu tu🙏