Ushauri: Nahitaji ulinzi binafsi

isajorsergio

Platinum Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
4,143
Reaction score
6,562
Habari πŸ‘‹πŸΎ

Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi au security agencies?

Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.

Asante.
 
Kama ni nyumbani tu. Tumia kampuni za ulinzi.

Kwa kampuni kubwa andaa angalau Tsh 900,000 kwa mlinzi.
 
Mimi naiweza hiyo kazi mkuu..uje chemba tuone tunafanyaje..jinsia ni ke!
 
Mcheki mwarabu Fighter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…