Bei?Km unataka sim yenye camera kali chukua google pixel 5,
1.76MBei?
siwezi kwambia ubaki na a21 kama una bajeti ya iphone 11,kanunue tu.ni simu nzuri wala hutajuta.
ila zijue iphone kwanza,isije kukukera kwa mambo ambayo hujayazoea.
1,hii haina maajabu sana kwenye charge ingawa sio betry mbaya.
2,hutarusha wala kupokea nyimbo/video kiswahili tu kwa vijana na washkaji mtaani.
3,sisitiza kupata ya line mbili,ili upunguze zaidi ili upunguze usumbufu zaidi.
4,hakuna ujanja ujanja wa kudownload movies kwenye sites mbali mbali,labda kwa link telegram.
kama haya sio ya msingi kwako,basi utafurahia simu hiyo.
Vitu gani ntafurahia zaidisiwezi kwambia ubaki na a21 kama una bajeti ya iphone 11,kanunue tu.ni simu nzuri wala hutajuta.
ila zijue iphone kwanza,isije kukukera kwa mambo ambayo hujayazoea.
1,hii haina maajabu sana kwenye charge ingawa sio betry mbaya.
2,hutarusha wala kupokea nyimbo/video kiswahili tu kwa vijana na washkaji mtaani.
3,sisitiza kupata ya line mbili,ili upunguze zaidi ili upunguze usumbufu zaidi.
4,hakuna ujanja ujanja wa kudownload movies kwenye sites mbali mbali,labda kwa link telegram.
kama haya sio ya msingi kwako,basi utafurahia simu hiyo.
siwezi kwambia ubaki na a21 kama una bajeti ya iphone 11,kanunue tu.ni simu nzuri wala hutajuta.
ila zijue iphone kwanza,isije kukukera kwa mambo ambayo hujayazoea.
1,hii haina maajabu sana kwenye charge ingawa sio betry mbaya.
2,hutarusha wala kupokea nyimbo/video kiswahili tu kwa vijana na washkaji mtaani.
3,sisitiza kupata ya line mbili,ili upunguze zaidi ili upunguze usumbufu zaidi.
4,hakuna ujanja ujanja wa kudownload movies kwenye sites mbali mbali,labda kwa link telegram.
kama haya sio ya msingi kwako,basi utafurahia simu hiyo.
hakuna kinachoshindikana kwenye iphone,ila si rahisi kama wenye android.Namba mbili nakataa natumia Xender nimerusha nyimbo pamoja na video kutoka kwenye Infinix hot 9 na zinaplay vizuri kwwnye iyo xender
Kwa wale wenzangu na mie ingia Apps tore download eSound
hakuna kinachoshindikana kwenye iphone,ila si rahisi kama wenye android.
kuna snapdrop pia.
ufanyaji kazi laini na wa uhakika kwa apps zote.Vitu gani ntafurahia zaidi
Camera?ufanyaji kazi laini na wa uhakika kwa apps zote.
iwe games au apps nyingine,hakuna kukwama kwama.
UI yenye mvuto sana,ambayo inazidiwa na ile samsung one UI tu.
speaker nzuri hata kusikilizia music sehemu tulivu(stereo)na sound booster yenye nguvu sana kama mtumiaji wa phones utafurahi.
kabisa,ukiishazijua jina hazisumbui tena.Mwanzoni ilichukua ugumu sana kuelewa hizi simu ila bdae na utundu wa hapa na pale mzigo unapiga fresh tu
camera ni nzuri sana tu.kwenye camera iphone inapata challenge kwa google pixel tu,hizi nuingine bado inaonyesha ubora sehemu nyingi.Camera?