Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Kwa hiyo dada, wakati anaandika huo wosia, hakujua kama ana watoto wengine nje?

Hakuandika, inaonekana alihakikishiwa labda ataandika. Na labda aliandika ila mke yupo smart sanaaa na alijua kinachoendelea akanyamaza.

Yeye alikuwa anakula tu anafaidi bila kutumia akili, dhambi yake ilimfanya asiwe nazo.
Huyo ni mjinga sanaaa
 
Tulia tu katika Hio Ndoa yako uliyonayo huna Sabu ya kuhangaika

Ha ha haaa
Anaangaika kwa sababu hana mikopo alivyomwambia mumewe ya kulipa school fees. Mume hana pesa hizo, watoto lazima waende kusoma shule za fee ndogo au za serikali kanisa.

Anaonekana alikuwa anaishi maisha kuwa juu kupitia marehemu.

Hana akili,boya kabisa hilo limwanamke.
 
Hakuandika, inaonekana alihakikishiwa labda ataandika. Na labda aliandika ila mke yupo smart sanaaa na alijua kinachoendelea akanyamaza.

Yeye alikuwa anakula tu anafaidi bila kutumia akili, dhambi yake ilimfanya asiwe nazo.
Huyo ni mjinga sanaaa
Alipaswa kumwambia huyo danga lake kwamba amuandalie asset za maana kuanzia kwa yule mtoto wake wa kwanza kabla hajaanza kuongeza wengine.

Tatizo ma slay queen wanaangalia wakati uliyopo so as they can show off, wanasahau meza inaweza pinduka
 
Najalibu kuvuta taswira ya huyo jamaa ambaye analea watoto ambao si wake! Lakini kwa hekima na busara samehe tu mwachie huyo jamaa aleee watoto wasio wake!
 
Unavuna ulichopanda, sku zote dhambi ikikomaa huzaa umauti.

Itoshe kusema uliangalia leo tu na s kesho, kabla ya kujenga mnara jifunze kujua gharama ili usiishie njiani. Kila tendo huwa na matokeo sasa bas hayo n matokeo ya kutenda bla kutafakari je, itakuwaje!?


Yaan watt 3 kwelii🤔, inaskitisha sana kama n kweli. Kweli watu hawana huruma yaan mume wa ndoa kabsaa unamletea watt 3 wa nje 🤦🏻‍♀️.

Subir wakupe miongozo......
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Makuyoma
 
utapigwa kata funua halafu anakuzika mwenyewe binadam wa zama hizi si wa kufanyia mzaha
 
Wanawake wanajikutaga mastermind ila nadhani upeo wa kuwaza consequences huwaga haupo.

Ndio maana wanadumbuliza vichanga chooni kitu ambacho mwanaume hawezi kufanya

Mwanaume atauwa kama jambazi au hasira ila sio mtoto mdogo kazaliwa tu
Hawa viumbe wana roho ngumu sana nikiwaona wanachemsha maji kwa ajili ya kuku huwa najichekesha maana anaweza kukumwagia
 
Wewe umekumbuka shuka kumekucha. Ilikuwa muongee na akutengee mali kwa siri kwa majina ya watoto. Kama nyumba nk. Au awafungulie account ajaze mijihela humo.

Sasa mmh... nachelea utatema nyama ili uonje ukwaju.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
😳😳🤣🤣
 
Back
Top Bottom