Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Jamaniii hapa ndio mr liverpool vpn ninapomkubali japo kuna washenzi wanamponda, wewe mwanamke ni kunguru, paka shume na huyo mmeo akijua huu upumbavu wako nakuomba ujiandalie jeneza nasi tukakuambia urest in peace fala wewe.
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shida, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Wewe hata shetani anashangaa ni jinsi gani umekuwa mwanafunzi bora hadi kumzidi mwalimu.
Kwa style hii nitabaki kuwa Principal bachelor endeverly.
 
Unaweza kuprove hao watoto ni wa huyo aliefariki kwa DNA? Kama ndio basi una fursa ya kupata kitu.

Ila along the way utapoteza kila kitu kingjne. Familia yako, jamii yako na hata watoto wako nao watabadilisha wanavyokuona.

Pima your sanity na mali (ambazo kesi kama hizi huchukua muda kusuluhishwa ila maumivu yataanza immediately ukianza kupursue hili). Ukishaona lipi linafaa zaidi basi liendee hilo.
 
Sasa hivi huyu dada ataumbuka, tamaa inawaponza sana kina dada. Hivi kwanini wanaume hawapendi kuwapima dna watoto wao?
 
Unaweza kuprove hao watoto ni wa huyo aliefariki kwa DNA? Kama ndio basi una fursa ya kupata kitu.

Ila along the way utapoteza kila kitu kingjne. Familia yako, jamii yako na hata watoto wako nao watabadilisha wanavyokuona.

Pima your sanity na mali (ambazo kesi kama hizi huchukua muda kusuluhishwa ila maumivu yataanza immediately ukianza kupursue hili). Ukishaona lipi linafaa zaidi basi liendee hilo.
Akianza hyo michakato vipi mume wa ndoa akajua ndoa itakua hatarini na ukute na mali nazo akakosa. Mimi naona atulie tu atafute namna gani atawalea watoto wake mambo ya urithi atemane nayo.
 
Nakusikitikia kisa unaubinafsi na sijui umemuonaje mumeo.
Usingeolewa basi ili uendelee kumzalia huyu tajiri wasajiliwe majina yake.

Umeolewa namtu mwingine bado unaenda kumzalia mwanaume mwingine mtoto wa kwanza na wapili na huyo mwanaume halali yupo wapi??

Aisee huna haya kabisa ndugu unahitaji maombi aisee .
Wewe ni mke wa mtu halafu umeolewa kanisani na unazini na mwanaume wa mtu ilihali unamumeo shame na bado unataka ukalianzishe. Huko.
Seriously......
Mmh! Kwa hapa ushauri upo juu ya uweza wangu ila Muombe Mungu akubadilishe wewe ni stress tena sio ndogo.
Nakama sijaelewa basii tu.
 
Shetani mwenyewe hapa anakaa pembeni kucheki utatoboaje kwenye hii game.

Keep going huenda ukatoboa.
 
Kama unataka wanao waishi kwaamani hapa duniani achana na tamaa... Tamaa yako mwenyewe itakuharibia watoto wako..

Kumbuka MWANAMKE MPUMBAVU HUBOMOA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE..

fikiria kwa makini hapo nilipo andika kwa herufi kubwa.. kama huelewi omba Mungu akueleweshe utakuja kunishukuru
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom